Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Kikatiba huyohuyo, but ana madudu na hayo mengine yanakuja na bado atakuwa Raisi kwa kipindi kijacho.Nani alipaswa kuwa raisi kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikatiba huyohuyo, but ana madudu na hayo mengine yanakuja na bado atakuwa Raisi kwa kipindi kijacho.Nani alipaswa kuwa raisi kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?
Bwana ametoa cheo na Bwana atatwaa cheo jina lake lihimidiwe!Kikatiba huyohuyo, but ana madudu na hayo mengine yanakuja na bado atakuwa Raisi kwa kipindi kijacho.
Wanaahirisha kufikiri kwa nafsi, a. k. a kujizima dataJambo la kusikitisha ni kwamba hata ya kufumuka wataendelea kula na la kufanya hamna. Unajua kuna muda unafika viongozi wanasema hata wakijua watafanya nini.
Okay 👍 just a matter of time 👍🤠Wrong assumption. Angalia turn of events in next 6 months
Sioni how it’s gonna work 🙄Naam, ni yeye. Wanafanya ujinga mwingi mjini.
Tutaanika kila kitu soon. Wanajiona wajanja ila mwisho wao umekaribia
Sielewi chochote emu nipe japo clue ewe mrembo.Sana tena walianza Mama Abdul akiwa Vice P. Kwa nchi inayojitambua, Mama hakuwa na sifa za kuwa Raisi. Naona muendelezo, watakomba kila kitu. Watanzania sijui tulikosea wapi!!!
Mkuu weka hapa taarifa iliyoshiba kuonyesha hiko usichotaka tukijue ila unataka tukijadili hapa. Hatuwezi kuwa washirika nawe kwenye chuki zako binafsi!!! Tupe hiyo documentation au documentary ili tuichambue hapa!! Acha porojo na chuki zako huko!!!Kuna mambo mengi yatafunuka ndani ya siku chache zijazo kuhusiana na huu mtandao.
Kwanini tunarudishwa kwenye ujinga uleule?
Rostam, you can do better than this! Enzi za JK hukujifunza mzee?
Elewa kuwa kila hatua, kila kinachofanyika - viko well documented. Ni suala la muda tu.
Mkuu when a rat stand to threaten a cat, one should know who will end up being on menu!!! 🤣 🤣 🤣Naam, ni yeye. Wanafanya ujinga mwingi mjini.
Tutaanika kila kitu soon. Wanajiona wajanja ila mwisho wao umekaribi
Samia suluhu hassanNani alipaswa kuwa raisi kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?
Kwani anagombea?Kwani ameshashinda uenyekiti ccm Tabora!!?
🤣🤣🤣Wrong assumption. Angalia turn of events in next 6 months