The New School of Laws in Tanzania

The New School of Laws in Tanzania

Wabongo bana utafikiri UDSM ya baba yao arghhhhhh... Y isiwezekane SAUT? Badilikeni kifikra nyie acheni ujinga.
 
...na ndio maana aliyeanzisha hii post akasema SAUT wameanzisha school of law, hata hao tumaini hawajazuiliwa kuanzisha hivyo ni matter ya maturity tu kwenye kitivo chao cha sheria
 
...ww nae ni mgumu kuelewa, mimi nimeaoma SAUT pale, lakini aliyetoa post hii alikosea kitu kimoja, kusema saut wanatoa PGDLP, pitia hizo post vizuri ili uelewe UDSM hawana Law School wala hawajahi kuwa nayo.
 
....INAONEKANA U DONT UNDERSTAND WHAT U R SAYING, SCHOOL OF LAW (AND NOT NOT SCHOOL OF LAWS) HIYO NI MOJA, PILI, WHEN YOU ARE SAYING "SCHOOL OF LAW" IT IS EQUIVALENT TO SAY FACULTY OF LAW, AND NOTHING ELSE THEY WILL PROVIDE ZAID YA BACHELOR, LLM OR PhD,
...NAFIKIRI ULIKUWA UNAMAANISHA "LAW SCHOOL" IF SO, HII IPO MOJA TU TANZANIA NA ITAENDELEA KUWA MOJA TU, KWA SABABU YENYEWE IMEKUWA ESTABLISHED KISHERIA, (AN ACT OF PARLIAMENT) CHINI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA IWE NDIO DARAJA KWA WALE WOTE WANAOTAKA KUWA ENROLLED TO THE ROLL OF ADVOCATES WA HIGH COURT. SO SAUT HAMNA JIPYA, NI CONSOLIDATION YA FACULTY TU, SO HAKUTAKUWA NA MWAKA WA TANO HAPO.
...SCHOOL OF LAW AND LAW SCHOOL ARE TWO DIFFERENT THINGS,

....NA NDIO MAANA IKAITWA "LAW SCHOOL OF TANZANIA"
View attachment 113440
................NOTE THAT...................


Assistant Tutor akili iko mingi lakini mwandiko mbofumbofu
 
Last edited by a moderator:
SAUT, three years LLB to compete with udsm four years LLB. tuache utani jamani, hivi vyuo vya mfukoni wakati mwingine ni vodafasta tu.


Uzoefu ukoje kwa vyuo vya nje mkuu je nao ni miaka 4 kama kwetu au sheria zetu nk ngumu mno,nachojiuliza miaka yote hyo 4 wanasomea nn hasa,with xception na shule za udaktari,upimaji ardhi na mainjinia
 
SAUT, three years LLB to compete with udsm four years LLB. tuache utani jamani, hivi vyuo vya mfukoni wakati mwingine ni vodafasta tu.

Hute sidhani kama saut Ni chuo cha mfukoni... nadhani upeo wako WA kupambanua utakuwa Ni mdogo sana tena utakuwa NA mapungufu
 
...watu wamekariri, i wish huyu anayesema SAUT ni voda fasta angeuliza watu wanaosoma pale SAUT khs elimu ya pale ndio angejua, kwa taarifa yake UDSM haaifui dafu kwa SAUT kwani hata kwenye moot court competition zilizifanyika kimataifa kama kule Washington DC, Nigeria na kwingineko ni SAUT pekee ndio iliyoibuka na ushindi na kuiwakilisha Tz, anayepinga hilo aseme.
 
...watu wamekariri, i wish huyu anayesema SAUT ni voda fasta angeuliza watu wanaosoma pale SAUT khs elimu ya pale ndio angejua, kwa taarifa yake UDSM haaifui dafu kwa SAUT kwani hata kwenye moot court competition zilizifanyika kimataifa kama kule Washington DC, Nigeria na kwingineko ni SAUT pekee ndio iliyoibuka na ushindi na kuiwakilisha Tz, anayepinga hilo aseme.

kufaulu mtihani sio kipimo cha uweledi, fuatilia utendaji wao maofsini na kimataifa(productivy).moot court ni ujanja wa maneno sio utendaji. sio kila anayeshinda moot court ana akili bali ni utashi wa jaji anayeamua kesi husika ndo maana hakuna rufaa, ingekuwepo watu wangekata rufaa

tupe evidenced report ili tuchangie zaidi
 
Mbona bachelor of laws in mzumbe ni miaka mitatu??? Kwann kusiwe na uniformity kuondos hizi irregularities?
 
...kumbe ww hufahamu law inahitaji watu wa aina gani, sasa wewe jidai ni mwanasheria alafu umezubaa zubaa tu, hutakaa ukanyage hata mahakama ya mwanzo, watu wanashindwa kwa technicalities, ingawa technicality shuldnt defeat substantive law i.e. justice. Unaposema fuatilia maofisini SAUT wameanza kutoa graduatea wa law mwaka 2011, so huna surviving report kuhusiana na hilo, vinginevyo utakuwa unawabeza tu.
 
kufaulu mtihani sio kipimo cha uweledi, fuatilia utendaji wao maofsini na kimataifa(productivy).moot court ni ujanja wa maneno sio utendaji. sio kila anayeshinda moot court ana akili bali ni utashi wa jaji anayeamua kesi husika ndo maana hakuna rufaa, ingekuwepo watu wangekata rufaa



Nisaidie kuwaambia hawa wenye mawazo mfu wanaoidharau SAUT, kiujumla kwa sasa SAUT ndiyo inayopeperusha bendera ya ya wanasheria Africa si tu kenye moot coart SAUT imeongoza Africa nzima, lakn pia Dean wetu ndie Rais wa wa lawyers of Africa kwa sasa. Lakin wenye mawazo mgando wanajua each and everythng is found at the University of Dar es salaam! Badiliken siyo mnadis kila kitu.
 
SAUT, three years LLB to compete with udsm four years LLB. tuache utani jamani, hivi vyuo vya mfukoni wakati mwingine ni vodafasta tu.

Mbona watu mliosoma UDSM mna zarau sana?
Halafu wengi wenu ni vilaza sijawi oa? Unaweza kukoment hijafanya tafiti juu ya content ya courses kati ya hivyo vyuo ulivyovitaja?
Kiukweli mna boa sana.
 
Kweli, wanafunzi wa UDSM wanadharau sana, and ukiangalia, hawana lolote and wana poor arguments. Bahati yenu 2 hicho chuo cha zamani, and mmeanza kutoa wanasheria tangu zamani, vyuo kama Mzumbe, SAUT na Tumaini vmeanza juzijuzi lakini ukweli ni kuwa vina elimu kuliko UDSM. And please note, UDSM haina Law School.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
kitu cha kuelewa na ambacho ni cha kweli, hata SAUT palepale, ukitaka kupata kazi ya kufundisha, wanataka kama umesoma udsm uje walau na GPA si chini ya 3.0, ila kama umesoma vyuo vingine kama SAUT yenyewe, tumaini, mzumbe etc, wanataka GPA iwe si chini ya 3.5, wao wenyewe wanajijua. kuna mdogo wangu anafundisha hapo alisoma udsm, na ni mimi nilimsaidia kupata kazi hapo.
 
SAUT, three years LLB to compete with udsm four years LLB. tuache utani jamani, hivi vyuo vya mfukoni wakati mwingine ni vodafasta tu.

Kwani ukubwa wa kichwa ndo akili nyingi?
hata kama ungesoma miaka 10 hiyo law haimaanishi kwamba aliyesoma miaka 3 yuko shallow.
Rethink.
 
....hiyo sio kweli, kwanza GPA ya SAUT na UDSM ni tofauti kabisa, ya SAUT ipo juu kwa maana ya kwamba, Udsm C= 41 wakati SAUT C= 50, hiyo ni moja, pili SAUT huwa wanapolicy ya kutengeneza wahadhiri wa kwao wenyewe anayefaulu vizuri wanamsomesha then wanam recruit
 
Back
Top Bottom