The Official Azam FC Thread

leo uwanjani
game: azam fc v fuoni fc
time: 10:30 jioni
venue: chamazi stadium

ni mchezo wa kirafiki...
 
kikosi cha leo
aishi salum, shikanda,haji, luckson, morad, jabir, humid, mwaipopo, zahor, viali na ngassa
 
azam fc wanapata goli la pili kupitia kwa ibu mwaipopo
 
ni kipindi cha pili kimeshaanza na hilo goli ni la kipindi cha pili
 
azam inakataliwa goli la tatu na refa kutoka kwa mchezaji jose kimwaga..
 
FT: Azam FC 2 - 0 Fuoni FC

kila kheli azam fc na mbio za ligi kuu...
 
ligi ndo ishaanza makamuzi yanaendelea viva la azam FC
 
leo katika mchezo..
Azam FC v African Lyon 2 - 1
bocco na samm kessy wa lyon goli la kwanza wamejifunga..
 
leo katika mchezo..
Azam FC v African Lyon 2 - 1
bocco na samm kessy wa lyon goli la kwanza wamejifunga..

Safi sana Azam endelea kuzitia Simba na Yanga preshapresha, ila zijue kujipanga.
 
leo kocha wa azam fc, Stewart Hall amehojiwa na redio ya TALKSPORTS ya England-Amesema mpira tanzania ni taabu sababu administration na organisation ya mpira tanzania ni poor,kuhusu uchawi alishangaa timu pinzani ilipovunja mayai kwenye mlango wa dressing room ya timu yake na kuanza kuperform ceremonial dance-wachezaji wake wakagoma kutokea mlangoni na wakapitia dirishani,amesema anajaribu kuvunja stranglehold ya yanga na simba,tanzania.Ameendelea kusema AZAM fc inachukiwa sababu ina hela na ilivunja record ya transfer fee ilipomchukuwa ngassa
 

bora kesha liona hilo ndio maana hadi timu za mchangani wanaloga yaani acha tu..
 
azam mtibwa na simba zaongoza kuidai TFF mamilioni ya shilingi huko azam ikiwa inaidai TFF zaidi milioni 22 habari zaidi GONGA HAPA!!
 
kipindi cha pili dk ya 30 azam fc 1 moro 0..
 
mfungaji wa goli ni john boco dk ya 15 kipindi cha kwanza..
 
jumatano tarehe 1 feb kutakuwa na mechi kati ya azam academy na shein rangers ya sinza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…