The Official Azam FC Thread

sasa viingilio ni jukumu la TFF wao ndio wanapanga sie wengine ni wafuataji tu gharama ni kama zifuatazo:-

mzunguko ni TZS 1,000 badala ya TZS 3,000
jukwaa kuu ni TZS 5,000 badala ya TZS 10,000

Karibuni Sana Azam Stadium, Chamazi
 
leo uwanjani
game: simba sc v azam fc
muda: 16:00 PM
venue: U/Taifa

viva la azam fc
 
Ndetichia: leteni hayo matokeo saa 10 tayari bilashaka uko uwanjani.
 
Simba 2 Azam 0. Emmanuel Okwi tena ! Dakika kama ya 23 hivi kipindi cha pili.
 
naona leo tunakuwa looserpool aisee..
 
moradi kauumia anawaishwa hospitali..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…