Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
now Azam 1 - 1 ruvu shooting
just wait and see..
pole sana kwa kipigo cha moja mi nshapoa tayari..
AZAM FC leo 29/10/2012 imemfukuza kazi kocha wao raia wa Serbia, Boris Bunjak a.k.a Boca, ambaye alikuja kurithi mikoba ya Muingereza Stewart Hall ambaye alimaliza mkataba wake mapema mwaka huu 2012.
Boca ambaye amezaliwa mwaka 1954 na ana leseni ya ukocha ya UEFA, alikuwa amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuifundisha Azam.