The Official Azam FC Thread

The Official Azam FC Thread

gemu ishaanza azam 1 - 1 mafunzo goli la azam ni mwaikimba..
 
gemu imeaanza ngassa babi wametoka kipre bolou na boko ndani..

ni second half
 
mambo bado mafunzo wanakomaa ni dk ya 90
 
dk ya 5 azam fc moja yanga bado hawajafunga mfungaji john bocco
 
dk 31 kipre chetche anaipatia azam goli la pili
azam 2 yanga 0
 
kipre chetche anaipatia azam goli la 3..
Azam fc 3 - 0 yanga..
 
Kwa ivo Yanga wanaingia nusu fainali?
Duh, Hongera nyingi kwao!
 
FT azam fc 3 - 0 yanga
magoli bocco na kipre tchetche. ..
 
Back
Top Bottom