ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Jan 7, 2012 Thread starter #141 yanga out mapinduzi cup kwa maelezo zaidi GONGA HAPA!!
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Jan 7, 2012 Thread starter #142 waendage kuogelea tu pale kwenye swimming pool yao..
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Jan 8, 2012 Thread starter #143 cheche zamwagwa kwa wahanga wa mafuriko pale jangwa na kafanya hivyo JIHABARISHE HAPA!!
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Jan 9, 2012 Thread starter #144 kikosi cha azam GK: mwidini Defenders: erasto,waziri, moradi, aggrey Midfielders: humud sureboy abdi kassim Strikers: bolou tchetche bocco kila la kheli..
kikosi cha azam GK: mwidini Defenders: erasto,waziri, moradi, aggrey Midfielders: humud sureboy abdi kassim Strikers: bolou tchetche bocco kila la kheli..
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Jan 9, 2012 Thread starter #145 Dk 20 Azam fc 1 - 0 simba sc
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Jan 9, 2012 Thread starter #146 half time Azam 1 - 0 simba..
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Jan 9, 2012 Thread starter #147 Dk 56 Azam 1 - 0 simba
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Jan 9, 2012 Thread starter #148 ngassa anaingia anatoka babi abdi kassim
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Jan 9, 2012 Thread starter #149 tchetche anatoka anaingia mwaikimba anaingia dk ya 88
M Masuke JF-Expert Member Joined Feb 28, 2008 Posts 4,610 Reaction score 1,269 Jan 9, 2012 #150 Hongereni Azam.
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Jan 9, 2012 Thread starter #151 dk 90+3 azam fc 2 - 0 simba sc
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Jan 9, 2012 Thread starter #152 game imeisha asanteni sana kina bocco na mwaikimba kwa kunishushia mawazo ya jana dhidi ya hawa mashetani..
game imeisha asanteni sana kina bocco na mwaikimba kwa kunishushia mawazo ya jana dhidi ya hawa mashetani..
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Jan 9, 2012 Thread starter #153 hongera sana kwa ushindi mnono na kuwaliwadha azam academy kwa kutolewa kwa penati..
Ta Kamugisha JF-Expert Member Joined May 17, 2011 Posts 3,541 Reaction score 2,187 Jan 9, 2012 #154 Te te te, simba wa msimbazi a.k.a wazee wa mbeleko!
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Jan 9, 2012 Thread starter #155 wazee wakuzomewa wapeleka dhahama msimbazi.. Azam Fans Club: Wazee wakuzomewa wapeleka maafa msimbazi
wazee wakuzomewa wapeleka dhahama msimbazi.. Azam Fans Club: Wazee wakuzomewa wapeleka maafa msimbazi
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Jan 9, 2012 Thread starter #156 Ta Kamugisha said: Te te te, simba wa msimbazi a.k.a wazee wa mbeleko! Click to expand... teteteteteteeteeheheeheehhh...
Ta Kamugisha said: Te te te, simba wa msimbazi a.k.a wazee wa mbeleko! Click to expand... teteteteteteeteeheheeheehhh...
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Jan 12, 2012 Thread starter #157 Leo Mchezoni! Game: Azam FC v Jamhuri ya Pemba Venue: Amaan Stadium Time: 20:30 usiku Kila la kheli azam fc!
Leo Mchezoni! Game: Azam FC v Jamhuri ya Pemba Venue: Amaan Stadium Time: 20:30 usiku Kila la kheli azam fc!
PingPong JF-Expert Member Joined Dec 21, 2008 Posts 926 Reaction score 160 Jan 12, 2012 #158 hiyo fainali itaonyeshwa na Tv yoyote hapo bongo? au ndio kimyakimya tu....mpaka kwenye taarifa ya habari.
hiyo fainali itaonyeshwa na Tv yoyote hapo bongo? au ndio kimyakimya tu....mpaka kwenye taarifa ya habari.
M mwacheni77 JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 763 Reaction score 209 Jan 12, 2012 #159 Tupeni matokeo ya mwisho
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Jan 12, 2012 Thread starter #160 PingPong said: hiyo fainali itaonyeshwa na Tv yoyote hapo bongo? au ndio kimyakimya tu....mpaka kwenye taarifa ya habari. Click to expand... ndio hivyo mkuu..
PingPong said: hiyo fainali itaonyeshwa na Tv yoyote hapo bongo? au ndio kimyakimya tu....mpaka kwenye taarifa ya habari. Click to expand... ndio hivyo mkuu..