The Official NBA Thread

Hawa Miami wana tabia ya ku get hot dakika za mwisho mwisho. Watu wanaweza kulia leo hapo Chicago
 
Hawa Miami wana tabia ya ku get hot dakika za mwisho mwisho. Watu wanaweza kulia leo hapo Chicago

Sidhani kama wana chao leo. Wajitahidi tu washinde game 6, wakizembea na kurudi Chicago kwa ajili ya game 7 basi hakuna wa kumlaumu ila the BIG 3 (kama hawatakuwemo kwenye 2011 NBA finals)
 
with 3:53 mins to go bulls 76 kwa heat 64....
Leo kwa kweli bulls wakifungwa ntawaomba wachezaji wao wote wastaafishwe
 
Ngosha vipi leo......nilikuambia kuwa haya "Mang'ombe dume" yatawashangaza mazee............
 
Dah Miami kitu kimetinga hiki tayari, wajipange game ijayo
 
Heat wakumbuka shuka kushakucha... Ila wakiforce turnover alafu wapige tatu hii ngoma inakwenda overtime.
 
Heheheheheheheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
WOW! Wapenzi na Washabiki wa Miami wanashangilia kule jijini kwao
 
duuuh.......hili licheza mieleka balaaa.....Ngosha gemu lako hili...nimekubali
 
Ogah...next time nisikilize ninachokisema. Hii gemu mi naijua bana teh teh teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…