The Official NBA Thread

The Official NBA Thread

Timu yoyote inaweza kuchukua ushindi lakini naipa nafasi kubwa sana kwa Dallas kutona na bench lao linatoa msaada mkubwa.

Miami akizimwa Lebron na Wade mchezo umekwisha.

Na pia na predict Dallas watashinda kwa 4-0, ni mtazamo wangu tu wakuu msiwe wakali lool. Bonge la sweep linakuja lool.

Mhhhh! AW umekunywa nini usiku huu....hahahahah lol! Dallasa wanaweza kabisa kushinda lakini sidhani kama itakuwa sweep.
 
Gemu imeisha hii. Miami huwaga hawaachii lead kwenye 4th qt.
 
5 points difference with 4:35 to go! bado sana hii game!
 
Wow, MAVS sasa mziki hauchezeki. Labda wachome 3 za fasta
 
Its over , dallas walishindwa kuchukua advantage wakati miami game lilikuwa linawakataa.sasa game limewakubali na wanafunga biashara.

James na masifa juu sasa utamwambia nini.
 
Lebron James...in your face....and a foul!!!!...Mumeona hio kitu?...:dance:

902766b533767164c1feed076eee3ccd-getty-114832789mw112_dallas_maver.jpg
 
AW upo au umeanza kutetemeka kama sir Alex?
 
Show game sasa kufunga siku.

Dallas inabidi sasa wa step up game 2.jason terry second half hajaonekana,barea hakutoa mchango, chandler bure kabisa .
 
AW upo au umeanza kutetemeka kama sir Alex?

Nipo mkuu lol, bado naamini dallas watachukua ubingwa.

Lazima wafanye kila njia washinde Thursday wasizubae kama leo huku wenzao wamekuja kuwamaliza forth quarter.
 
Back
Top Bottom