Timu yoyote inaweza kuchukua ushindi lakini naipa nafasi kubwa sana kwa Dallas kutona na bench lao linatoa msaada mkubwa.
Miami akizimwa Lebron na Wade mchezo umekwisha.
Na pia na predict Dallas watashinda kwa 4-0, ni mtazamo wangu tu wakuu msiwe wakali lool. Bonge la sweep linakuja lool.
Mhhhh! AW umekunywa nini usiku huu....hahahahah lol! Dallasa wanaweza kabisa kushinda lakini sidhani kama itakuwa sweep.
Ha ha ha nilikuwa nasaidia kuchangamsha jukwaa lakini pia bado naendeleza utabiri huo huo mpaka sasa lool.
Lebron James...in your face....and a foul!!!!...Mumeona hio kitu?...:dance:
Ahhhhhh! Naona Mkuu unaegemea upande gani katika hii 2011 NBA finals lol!
AW upo au umeanza kutetemeka kama sir Alex?