The Official NBA Thread

Bosh vp dah, turnover zake zinaua timu.

Kaka kuna muda I was asking myself, what is Bosh good at? coz he missed a lot and never looked like a top class player; again CHALMERS, I like that dogo.
 
Chalmers, Chalmers, Chalmers.....mzee wa 3
Yaleyaleee inauma kuona Dallas inafungwa ila Kama tunavyosema Ukiweza Kuchoma 3 na kunyoosha vidole vya taarabu juu ujue timu imeumia 3 ni noma wakati kama huu sasa ndio naona Dallas kaumia hata akirudi 2-2. Dallas lazima waweze 3 na D yao iwe ya nguvu. Sababu mtu akiwa na moto akianza zile 3 na Vidole vya Taarabu juu unasikia tu nyavu shwaaaaaaaa.
 
Babu umeibuka :biggrin:

Ndio ukubwa uliokuwa ukisema??, ukiangalia wanaoongoza kwa turnovers Dallas ni pamoja na Mjeremani na Kidd pamoja na Barrea. Dogo Barrea is overly excited and has a lot of ruff edges and I would expect kuchachawa lazima. Ila mjeremani na Kidd ndio wamejitahidi lakini ukongwe sometimes sio dawa.lol
 
Kaka kuna muda I was asking myself, what is Bosh good at? coz he missed a lot and never looked like a top class player; again CHALMERS, I like that dogo.
Bosh, ile baunser Tyson Chandler ilimgonga usoni akawa haoni vizuri. That thug is nastyy.
 
Chalmers huwaga ananshangaza sana, anachoma 3 halafu akienda kwene FT anachemsha ..dah huwaga nabaki kinywa wazi. BTW, hivi mjerumani atakosa lini FT?? ukijifaulisha tu kwake just count baskets..he he he..
 
Chalmers huwaga ananshangaza sana, anachoma 3 halafu akienda kwene FT anachemsha ..dah huwaga nabaki kinywa wazi. BTW, hivi mjerumani atakosa lini FT?? ukijifaulisha tu kwake just count baskets..he he he..

German assasin ni bora usim-foul coz;
1. He could score a basket (2 points)
2. Definetely free throw atafunga vile vile (2 points)

Sema Dallas people kama Marion I think, and Terry & Kidd wako vizuri but didn't do enough leo kumsaidia Dirk.
 
D-Wade misses a chance to tie the game. 30 secs to go. Dallas 82-81 Miami.
 
Dirk anatia kitu. Game 84-81 in favor of Dallas. Bado 14.4 secs.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…