The Official NBA Thread

Kutizama Game za Lakers ni Pesha tupu!

...Pole zako Mkuu....mie enzi zile za Michael Jordan and Da Bulls katika playoffs game za kukata na shoka na Detroit, Knicks, Miami Heat kwa upande wa Eastern conference na kwenye NBA finals na Lakers, Blazers, Utah Jazz, Phoenix Suns, Seattle nilikuwa nazima TV kwa muda nikiona mambo yanazidi kuwa magumu...lakini siku hizi pamoja na kuwa bado upenzi wa BB upo lakini naangalia kwa raha zangu.
 
SAS wanaongoza series kwa 3-0 dhidi ya LAC.
Philadelphia 76ers wako 2-2 na Boston Celtics.

Bado naendelea kuamini Spurs ndiyo itakayokuwa kikwazo kwa OKC katika WC finals. Jamaa wamekuwa na consistency nzuri katika kushinda tangu break ya Allstars ilipoisha.
 

Enzi za akina Karl Malone 'the mail man'...
Siku hizi kwa kweli pressure imekwisha...:hat:
 
Reactions: BAK
3.20 minutes to go....Miami are leading Indiana 92-85
 
Thanks to tremendous efforts by The King, Wade & Co....the series is tied 2-2...Miami won 101-93
 
nilifanikiwa kuichungulia game ya all stars ya majuzi kati dah kuna dogo anaitwa Kevin Durant...aisee dogo anakidunda kikapu cha haja yani.
Na hata alipochukua MVP niliridhika na kiburi changu choote.
 
bwah ha ha ha LA LAkers kama ni chama basi ni UMD.....
 

OKLAHOMA CITY, OK - MAY 21: Russell Westbrook #0 of the Oklahoma City Thunder goes up for a shot over Kobe Bryant #24 of the Los Angeles Lakers in the first quarter during Game Five of the Western Conference Semifinals of the 2012 NBA Playoffs at Chesapeake Energy Arena on May 21, 2012 in Oklahoma City, Oklahoma.

ussell Westbrook #0 of the Oklahoma City Thunder reacts after scoring while fouled
 
safari ya mwisho ya LA.......nilishasema mwaka wa OKC....hata spurs hapa watashindwa tu...kule east timu inaotishia OKC ni Boston tu....
 
Yo-Yo mie Mshabiki wa Lakers ila siichukii OKC wala timu za WEST kasoro Clippers tu ila OKC kwa San Antonio watagonga mwamba Playoff ni D kuwa Strong na uwe na wapiga 3 wazuri ndiocho kimeiangusha LA Lakers.

Sababu yakupenda timu za West ni wanacheza Basic Basketball hakuna maonyesho ya kuringishia kama Tabia za "MIAMI HEAT" timu yoyote OKC au San Antonio lazima watamchapa atayekuja kutoka EAST Ila OKC mwisho wake ni kwa San Antonio utaniambia. timu pekee EAST naitakia mafanikio ni Philly. Durant ila ni mashine nyengine uzuri wa huyu Dogo anajifunza kwa mtu kama Mjerumani wa Dallas akiongeza na yake ndio inamsaidia Westbrook kuna vitu vingi pia nimeona anafanya anavyofanya Kobe Bryant aki Fake Shot OKC ni timu nzuri ya Vijana wanasikiliza na ukitizama timu za West Wengi wanasikiliza kasoro Mtu kama Bynum Jeuri sana.
 
Enzi za akina Karl Malone 'the mail man'...
Siku hizi kwa kweli pressure imekwisha...:hat:

Ni Kweli ila kumbukeni pia Siku Hizi Wengi wana skills na wengi wakali nakumbuka enzi za Karl Malone sababu Sikutokea kuipenda Chicago Bulls japokuwa na Jordan kuwa mkali sikuipenda hiyo timu Bro wangu ndio alikuwa mshabiki mkubwa wa Chicago ila Mjinga Reggie Miller alikuwa Balaa Indiana na zile 3 zake nilitokea kuipenda Lakers toka 1992. ila na wapa sifa zao Chicago bulls ndio sababu ya NBA kupendwa nje ukiacha Logo ya Jerry West NBA Logo ya Jordan kiboko yao.
 
Miami on course here, wakaze 'makato' wasiende game 7, inachosha sana.
 
Reactions: BAK
...Naona wameshashinda hii game sasa wanasubiri mshindi wa game 7 kati ya Boston na Philadelphia.
 
...Naona wameshashinda hii game sasa wanasubiri mshindi wa game 7 kati ya Boston na Philadelphia.
Haya matimu yanacheza defensive, ndio wacha yaende kwene tie-breaker. Yakija yamechoka yataishia kupigwa tu. BTW, hivi Bosh vipi, any news?
 
Reactions: BAK
Bynum ni jeuri na ana nyodo sana. Lakini kaka OKC kweli wanasikiza, utaona Westbrook saivi halazimishi kupenetrate kila wakati. Sasa hivi anaonesha variety of his game na inamsaidia kutokuwa predictable kama msimu uliopita. Durant, yuko juu ya Mjeremani ambaye amekosa agrressiveness kabisa. Pia kuna babu Fisher na Mkongoman Ibaka, Spurs wanaweza wasipenye hasa ukizingatia factor ya athletism na umri kwa kiasi fulani. Lakini it is all about match-ups, tutaona itakueje.
 
Mie nataka sana OKC washinde na wana advantage kwenye umri mdogo na hiyo factor nyingine ya athletism, ila Spurs wana experience ya hali ya juu ambayo inaweza kuwasaidia sana kuibuka kidedea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…