Hongera dia mistari ya bwana shemeji ipo mahali pake, ila kama inafanana na ya mpenzi wangu tatizo wangu haandiki bali huzungumza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tuliza kwanza presha mamaaa
Atapitia kwa Wanyarughe kwanza kabla hajaja huko kwingine
Nimeshaona neno lako tangu page ya 11 kulingana na setting za kimeo changuMwifwa bado upo page ya 5 khaaaaaa usije kusema hujaona comment yangu ukanuna bure nipo bega kwa bega kumsubiria Wiifi aje hapaaa asije kusema asanteee Kaka
[emoji23][emoji23][emoji23]Halleluyah
Halleluyah
Halleluyah
Kweli ujue nilimuangalia Shunie nikaona kijasho chembamba kina mtoka. Nikaoana na wewe uko worriedHahaha
Usiniambie ulikuwa serious aki!!! Aiseee
Next week utatuliliajamani kipenzi changu ntakucheki online
Hukufungua ukurasa wenye KEY ndugu punguza harakaRamani bila kunielekeza namna ya kuisoma hapo hujanisaidia kitu
Hahahaandugu yangu hiyo lawama ..muache mwenyew amfikishie ...hahaa ..
ntalia au ntatulia?Next week utatulilia
I love youHongera dia mistari ya bwana shemeji ipo mahali pake, ila kama inafanana na ya mpenzi wangu tatizo wangu haandiki bali huzungumza [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwamba ngozi -------
basi tu sijaamin kama unaweza fanya hiviiiKwa nini hivyo popo mwenzangu
AiseeeKweli ujue nilimuangalia Shunie nikaona kijasho chembamba kina mtoka. Nikaoana na wewe uko worried
I realy like meli yao, nikasema ngoja tufanye bidii ing'oe nanga nayo
Hata hivo jamaa alikuwa ni muelewa sana akaja.
Shunie hatakiwi kunchukulia poa ujue [emoji2]
Anzisha uzi bas na ww sio unaimba tu i love uI love you
Sawa jiraniNdio amini sasa jirani
aisee..sawa " ukiwa unataka kumpatia hzo taarifa andaa na ambulance kabisa...iwe imepack pembeni "Hahahaa
Kaka huyu Mwifwa ndio hataweza kuitoa hiyo taarifa
Yaan inafaa ndugu yake nimjulishie tu hakuna namna.