Tim Choice
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 2,088
- 1,261
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
By december 2022 it will be complete but at this pace it might be sooner. Wengine walianza highway ya 19 km 2018 na mpaka sahi bado haijaisha.This is thunderous speed. It will be completed soon.
Kama nyumba pekee ndio imewashinda kumaliza since 2013, do you think hii ndio watamaliza on time?By december 2022 it will be complete but at this pace it might be sooner. Wengine walianza highway ya 19 km 2018 na mpaka sahi bado haijaisha.
Hii ndiyo inaitwa bias confirmation. Umeenda twitter kutafuta watu wanne ama watatu ili ujifurahishe. Hii barabara ni ya kwanza ukanda huu wa afrika, na bado thika road hamujaweza kuvunja rekodi yake.
shugulika kwanza na hizi
You must be familiar with.... The Laws of Human Nature by Robert Greene.Hii ndiyo inaitwa bias confirmation. Umeenda twitter kutafuta watu wanne ama watatu ili ujifurahishe. Hii barabara ni ya kwanza ukanda huu wa afrika, na bado thika road hamujaweza kuvunja rekodi yake.
Hii ndiyo inaitwa bias confirmation. Umeenda twitter kutafuta watu wanne ama watatu ili ujifurahishe. Hii barabara ni ya kwanza ukanda huu wa afrika, na bado thika road hamujaweza kuvunja rekodi yake.
Kitu ndio hicho kimeanza kuchimbwa, mtakoma ubishi....muundo bora kuzidi yote Afrika mashariki na kati.
Na tutaanza kukitumia bado mkiwa kwenye ngonjera za SGR....
Unaita expressway kifusi? Hebu tazama hio video kwanza. Mna ushamba mwingi hadi mnaudhiTZ SGR ni kitu premium wacha kuitaja pamoja na huu uchafu hapa.
endeleeni kuchimba kifusi hapo.
Unaita expressway kifusi? Hebu tazama hio video kwanza. Mna ushamba mwingi hadi mnaudhi
Nimeona ninazungumza na mtoto mchanga. Hii ni jukwaa la watu wazima . Nenda kanyonye maziwa.hiyo video hata comments zinefungwa[emoji28][emoji28]
unajua ni kwanini??endeleeni kuchimba kifusi.
sisi tuko BRT phase 3.[emoji23][emoji23]mtajua hamjui.
TZ SGR ni kitu premium wacha kuitaja pamoja na huu uchafu hapa.
endeleeni kuchimba kifusi hapo.
i) Tanzania sgr imekwama na mturuki amefilisikahiyo video hata comments zinefungwa[emoji28][emoji28]
unajua ni kwanini??endeleeni kuchimba kifusi.
sisi tuko BRT phase 3.[emoji23][emoji23]mtajua hamjui.
TZ SGR ni kitu premium wacha kuitaja pamoja na huu uchafu hapa.
endeleeni kuchimba kifusi hapo.