The overpass over Mombasa road has started, is this part of the express way project?

The overpass over Mombasa road has started, is this part of the express way project?

Lahaula!!!! Yani kutoka 2018 mpaka 2020 bado 19km haijaisha. Ilhali nairobi express way iliyoanza mwezi uliopita itakuwa tayari december 2022 itachukuwa mda kidogo kuliko hii kibaha na nairobi expressway inapaa juu kwa juu ikiwa na 8,6 na 4 lanes.

Tokea 2018 umeonea wapi hizo taarifa ndugu yangu, maana naona unatafuta uchochoro uhepe.
 
imetushinda,kwa makusudi kabisa unaamua kuiponya roho yako kwa kuukataa ukweli.

baki hivyo.
Mkuu, kubali yaishe tu. hakuna namna.

Hebu mjibu jamaa kwa hoja hapo juu, nikweli tuliskia kwamamba mwaka jana tulikuwa tuanze kutumia treni vp?
Mlisikia wapi? Huo mradi ulitakiwa kukabidhiwa 2020 sept.hali ya hewa imesababisha usitishwaji wa kazi kwa kipindi kirefu.ndio maana unaona tumeachwa na muda.

Ila mpaka kufikia sept 2020,tutafanya tathmini rasmi ni kwa kiasi gani tumeachwa na muda.

So tuliza mpira.
 
Nikama Estim construction wako experienced on buildings only if this road is taking them all this time
Utanzania inawasumbua hao estim !!! Akili hakuna lakini mdomo wanapayuka kama yote, hata barabara ya 19 km imewasumbua kutoka 2018.
 
mbuzi ujenzi umeanza lini???au unajitia kichaa??
Angalia hapo ama pia kusoma ni shida? Hao wenye kujenga wamesema 2018 wewe ni nani? Wacha ujinga ya Kitanzania. Miradi yenu yote imekwama.

i) Mwanza airport kutoka 2014 bado imebaki ile vibanda ya ngombe
ii) SGR km 200 mturuki amefilisika.
iii) Kibaha Highway, estim bado wanasoma jinsi ya kutandaza lami.
iv) Rufiji aliyekuwa supplier wa chuma alifilisika

Kuna kitu kweli mtanzania anaweza fanya kizuri, ama ni hii mdomo ya kawaida yenu. Mdomo mingi na akili hakuna.

Hii kweli ni Ujinga ya Kuzaliwa, hii hata mungu hawezi kurekebisha!!
 
Angalia hapo ama pia kusoma ni shida? Hao wenye kujenga wamesema 2018 wewe ni nani? Wacha ujinga ya Kitanzania. Miradi yenu yote imekwama.

i) Mwanza airport kutoka 2014 bado imebaki ile vibanda ya ngombe
ii) sgr km 200 mturuki amefilisika.
iii) Kibaha highway, estim bado wanasoma jinsi ya kutandaza lami.
iv) Rufiji aliyekuwa supplier wa chuma alifilisika

Kuna kitu kweli mtanzania anaweza fanya kizuri, ama ni hii mdomo ya kawaida yenu. Mdomo mingi na akili hakuna.

Hii kweli ni Ujinga ya Kuzaliwa, hii hata mungu hawezi kurekebisha!!

Wewe mbuzi denial haitakuweka sehemu salama shangazi.

Maumivu yako hayafanyi hiyo miladi kusimama au kusua sua.nimekuuliza toka 2018 mpaka leo ni miaka kumi na ngapi??[emoji2][emoji2]hujibu unarukia mengine.

Mimi naweza kukupa picha za site hapa sasa hivi miladi yote mitatu uliyotaja.lakini naogopa usije jiua kwa maumivu.pole budaa.
 
Wabongo, mkitokea side ya Namanga kuja Nairobi, hii ndio barabara mtakua mkitumia. Welcome to Nairobi (they should put a signage with those words pale JKIA interchange.

Hiyo ubishi tuliishaua kitambo na wasafiri kutoka kwenu walikiri kwamba baada ya kuingia tz,ni barabara kweli kweli.
 
wewe mbuzi denial haitakuweka sehemu salama shangazi.

Maumivu yako hayafanyi hiyo miladi kusimama au kusua sua.nimekuuliza toka 2018 mpaka leo ni miaka kumi na ngapi??[emoji2][emoji2]hujibu unarukia mengine.

Mimi naweza kukupa picha za site hapa sasa hivi miladi yote mitatu uliyotaja.lakini naogopa usije jiua kwa maumivu.pole budaa.
HAHAHA, Kusoma imekushinda sasa umeruka kwa ujinga ya kitanzania. Umia na hii bara bara yetu, ya kwanza ukanda huu wa afrika mashariki.
Hiyo miradi yenu kama sgr ambayo mturuki amebaki ku upload video za kitambo akirudia.

Boss mimi si mtanzania mwenye mutadanganya kwa kumnunulia chips na mayai.

Mwenye kujenga hiyo bara bara mwenyewe anasema alianza 2018, wewe kwa ujinga ya kitanzania unajiliwaza na uongo.
 
Miundombinu bora EA[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]

My Take: bado mna safari ndefu kufika mahali tupo kwa ss.
tapatalk_1600937167894.jpeg
tapatalk_1600937161888.jpeg
tapatalk_1600937148368.jpeg
tapatalk_1600937154770.jpeg
 
Back
Top Bottom