Kevin85ify
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 2,684
- 3,429
Mturuki amebaki tu ku upload video za zamani akirudia kwenye channel yao ya youtube.Sijui miaka ngapi sasa imekua stori, mlituambia mwaka jana 2019 kale kasafu ka Dar-Moro katakua kakitumika, tunaelekea 2021 bado mnakachimba chimba, jameni Waswahili, sasa mnatumia nini kuombea kura maana sijaona chochote mumetimiza.
Sijui miaka ngapi sasa imekua stori, mlituambia mwaka jana 2019 kale kasafu ka Dar-Moro katakua kakitumika, tunaelekea 2021 bado mnakachimba chimba, jameni Waswahili, sasa mnatumia nini kuombea kura maana sijaona chochote mumetimiza.
i) Tanzania sgr imekwama na mturuki amefilisika
ii) Nyinyi mko BRT phase 2 ambayo haijakamilika (km 20) na phase 1 (21 km) , ilhali sisi tuko kwa 200 km mass commuter rail. BRT itakuja baadaye kama support ya commuter rail.
Mturuki amebaki tu ku upload video za zamani akirudia kwenye channel yao ya youtube.
Nimeona ninazungumza na mtoto mchanga. Hii ni jukwaa la watu wazima . Nenda kanyonye maziwa.
Na wengine wanashangilia kibaka highway ya 6 lanesMombasa road will be 18 lanes at its widest... very nice
kwani hizi huko kenya ni kwa ajiri ya uhuru kuombea kura??
Tofauti yetu na nyie watu ipo kwenye katiba, haya maendeleo unayoyaona Kenya yanatekelezwa kwa mujibu wa katiba na muongozo wa dira ya 2030, kwamba rais yeyote akija lazima atekeleze kama ilivyo elekezwa kwenye dira. Na kampeni zake anaeleza kile amekifanikisha kwa kulinganisha na dira ya taifa.
Kwenu huko rais ndiye anachagua wapi barabara ijengwe, kampeni zake anazunguka akichimba mikwara kwa maeneo ya upinzani, akiwaambia wasipoichagua CCM wasisubiri awajengee chochote, ilhali hao hao wanalipa kodi.
Anawatishia hata kwa kilugha, nyie watu bado mko nyuma sana, na mtachelewa kwa kipindi kirefu kwa siasa zenu hizo...
na ndio maana unaona miaka 5 kazi kubwa imefanyika kuliko miaka yote 45 iliyopita.
raha ya katiba yetu ni kwamba inahitaji rais mzalendo tu kila kitu kiko mikononi mwake,sasa hiyo yenu inaruhusu kila mtu kuwa na ndevu.ndio maana watu wananyang'anyana fito tu 24 hrs,uhuru anaenda kukopa makamu analia kwanini akope!!!
anyaway mmeamua wenyewe kufuga mbuzi wa mbao,hatuna la kuwashauri.
Sasa unathani barabara itasimama ju yao[emoji23][emoji23]. My friend utangoja sana.
Kazi yenyewe ipi hatujaona hata kimoja kinachotumika, SGR imewashinda.
Roho zinawauma wabongo wakiona speed ya maendeleo ya kenya,na bado sasa ndio tunaanza na projects kibao kama hiziView attachment 1576475
Sent from my Infinix NOTE 2 using JamiiForums mobile app
imetushinda,kwa makusudi kabisa unaamua kuiponya roho yako kwa kuukataa ukweli.
baki hivyo.
Labda mpike takwimu mtupiku Kaka 😁unawashwa wewe.eti maendeleo mna maendeleo ya kuisumbua tz nyinyi safari hii???kitu mmebakiza ni gdp tu ambayo nayo tuko nayo maabara.
Labda mpike takwimu mtupiku Kaka [emoji16]
Lahaula!!!! Yani kutoka 2018 mpaka 2020 bado 19km haijaisha. Ilhali nairobi express way iliyoanza mwezi uliopita itakuwa tayari december 2022 itachukuwa mda kidogo kuliko hii kibaha na nairobi expressway inapaa juu kwa juu ikiwa na 8,6 na 4 lanes.
usilieee