REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,890
Kuna watu huwa wamekuzwa kuwaita wananchi wa nchi flani kwamba ni wavivu sana lakini hawajui chakula kilichopo mezani kila siku nchini mwao kote zaidi ya 50% kinatoka kwenye mikono ya "wavivu"
Tuachane na mambo ya vyakula, sasa tupo kwenye infrastructures, kutana na muafrika billionaire mwenye shamba kubwa kuliko shamba lolote lililopo Africa.
Tuachane na mambo ya vyakula, sasa tupo kwenye infrastructures, kutana na muafrika billionaire mwenye shamba kubwa kuliko shamba lolote lililopo Africa.