Suhendra
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 1,625
- 3,307
Kiranga huwa anataka kile anacho hitaji sijuwi umenielewa,Mkuu,
Huyu jamaa kashindwa kujibu hoja kakimbia uzi kwa kuniblock lkn bado anatupa vijembe kupitia comments za wengine, sasa mm huwa sipindishi, nmemfungulia uzi apate info ajue yeye ni cheap sana na tatizo lake tumelijua
Akiona hamuendi sawa basi ana Ku ignore