The political purge continues, Ndugai is not seen in public

The political purge continues, Ndugai is not seen in public

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Ndugai is not seen public.
20220226_065948.jpg
 
Ilichukua muda mrefu sana Hayati Abdul Jumbe kuonekana hadharan baada ya kuondolewa kwny Urais Znz 1984

The same to Ndugai…ikihakikisha hasira na ghadhabu zake za 'kujiuzulu kwa hiyari yake' zikiisha atatoka hadharan
 
Ilichukua muda mrefu sana Hayati Abdul Jumbe kuonekana hadharan baada ya kuondolewa kwny Urais Znz 1984

The same to Ndugai…ikihakikisha hasira na ghadhabu zake za 'kujiuzulu kwa hiyari yake' zikiisha atatoka hadharan

Duh! Ni kama yuko kizuizini....
 
Huenda washamuandikia barua ya kuomba udhuru na kisha watajijibu kwa hiyo itakuwa yupo nje ya Bunge kwa ruhusa maalum
mbona nasary aliandika barua. Mi nadhani haijalish umeandika au lah muda ukifikia limit unatolewa
 
Ukiwa nje kwa vipindi kadhaamfululizo bila ya Taarifa

Nasari hakuomba ruhusa
mbona nasary aliandika barua. Mi nadhani haijalish umeandika au lah muda ukifikia limit unatolewa
 
... kwa alivyomtenda Lissu na apotelee huko huko. We do not need to see him anymore! Kama alikosa utu kwanini sisi tuwe na utu naye?
 
Waandishi wa habari uchwara wanaokoteza okoteza Habari wasizozijua
Hawana resources za kujiendeleza na taaluma zao
Hivi hawana hela za kupanda hata boda kutafuta habari?
Eti yuko chimbo utakuta anatoka kama kawaida na familia yake kwenda shopping na kutembea tembea ila hao wamekaa ofisini wanasubiri za kuambiwa

Mtu ajifiche siku zote hizo ili iweje yaani hana maisha ama
Habari zinafuatwa kila mahali zilipo wengine wanauza kwa kuingia front wako Kiev nyie kuleni mahindi ya kuchoma tu
 
Waandishi wa habari uchwara wanaokoteza okoteza Habari wasizozijua
Hawana resources za kujiendeleza na taaluma zao
Hivi hawana hela za kupanda hata boda kutafuta habari?
Eti yuko chimbo utakuta anatoka kama kawaida na familia yake kwenda shopping na kutembea tembea ila hao wamekaa ofisini wanasubiri za kuambiwa

Mtu ajifiche siku zote hizo ili iweje yaani hana maisha ama
Habari zinafuatwa kila mahali zilipo wengine wanauza kwa kuingia front wako Kiev nyie kuleni mahindi ya kuchoma tu
Wewe ni Jobo mwenyewe nini?, Mbona hukuudhuria kikao cha Bunge??.
 
Back
Top Bottom