Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ndugai siyo binadamu asee bora hata afe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alishavuna avune nini tena?Tulimuonya hakusikia , akajivika kiburi , sasa atavuna alichopanda
Wewe ni Jobo mwenyewe nini?, Mbona hukuudhuria kikao cha Bunge??.
Wanaotakiwa kutii sheria bila shuruti Ni vyama vya upinzani pekee ccm wao wanakinga ya kuvunja sheria...Huyu asipoonekana vikao kadhaa huko mjengoni atolewe ubunge wana kongwa wapate kuwakilishi kama alivyomfanyia TL malipo ni hapa hapaduniani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tayari bado?...alafu mwambieni afumbe hilo domo, meno nje ka ngiriNdugai is not seen public.
View attachment 2131450
Daaa! nimeamini kabisa Malipo ni hapa hapa Duniani! yaaani inabidi niwe mpole tu kwa watu!!!! yaani ile dhambi ya kum dis Lisu bengeni itawatesa wengi ..........ngoja tusubiri!! ............hivi Bashite yuko wapi??? Muangalieni yule!!! mtaja sikia kajiua ohooooo!!Ndugai Hana haki ya kuishi, alimtesa Sana Tundu Lissu
Aisee kwa hiyo ndugu yupo Kigamboni?Ilichukua muda mrefu sana Hayati Abdul Jumbe kuonekana hadharan baada ya kuondolewa kwny Urais Znz 1984
The same to Ndugai…ikihakikisha hasira na ghadhabu zake za 'kujiuzulu kwa hiyari yake' zikiisha atatoka hadharan
Nyie endeeni kuamsha hasira zake akitoka na rungu lake kila mtu atafute njia ya kutokea.
Dr Chilongoni 😳Nyie endeeni kuamsha hasira zake akitoka na rungu lake kila mtu atafute njia ya kutokea.
Yule mbunge wa Musoma miaka mingapi hakugudhuria vikao vya bunge? Aliwahi kusikia kama aliondolewa ubunge wake?Ukiwa nje kwa vipindi kadhaamfululizo bila ya Taarifa
Nasari hakuomba ruhusa
Ohooo, kigamboni tena....Aisee kwa hiyo ndugu yupo Kigamboni?
Yule mbunge wa Musoma miaka mingapi hakugudhuria vikao vya bunge? Aliwahi kusikia kama aliondolewa ubunge wake?
Yake ni spesho case.Vipi kuhusu muda wa mahudhurio ya vikao si una limit kama ilivyokuwa kwa akina nasari
Kiti kile alikalia moto..ameondoka na moto na moto unamuunguza kongwa kidogo kidogo. Roho mbaya huungua moto... kwa alivyomtenda Lissu na apotelee huko huko. We do not need to see him anymore! Kama alikosa utu kwanini sisi tuwe na utu naye?
Kiti kile alikalia moto..ameondoka na moto na moto unamuunguza kongwa kidogo kidogo. Roho mbaya huungua moto
Msumari uliotumika kumdunga Lissu ndiyo huo umdunge na yeyeVipi kuhusu muda wa mahudhurio ya vikao si una limit kama ilivyokuwa kwa akina nasari
Wamemjazia sick sheetVipi kuhusu muda wa mahudhurio ya vikao si una limit kama ilivyokuwa kwa akina nasari