Mwandishi gani amfuate akutane na bakora?😂Waandishi wa habari uchwara wanaokoteza okoteza Habari wasizozijua
Hawana resources za kujiendeleza na taaluma zao
Hivi hawana hela za kupanda hata boda kutafuta habari?
Eti yuko chimbo utakuta anatoka kama kawaida na familia yake kwenda shopping na kutembea tembea ila hao wamekaa ofisini wanasubiri za kuambiwa
Mtu ajifiche siku zote hizo ili iweje yaani hana maisha ama
Habari zinafuatwa kila mahali zilipo wengine wanauza kwa kuingia front wako Kiev nyie kuleni mahindi ya kuchoma tu
Safe houseYupo chimbo anajipanga au?
Katibu wa Bunge na spika watatangaza kuwa amepewa ruhusa ya matibabu ya kifamiliaVipi kuhusu muda wa mahudhurio ya vikao si una limit kama ilivyokuwa kwa akina Nassari
Mtesi wa Lissu ni Ndugai, CCM au Magufuli? mbona mnayumbayumba? na mtesi wa Mbowe Yu nani?Ndugai Hana haki ya kuishi, alimtesa Sana Tundu Lissu
Mwandishi gani amfuate akutane na bakora?[emoji23]