The power of positive thinking sio?
Lakini na nyie kinadada tukiwapenda pendekeni basi sio muanze minyodo na kutupasua vichwa,mwisho tutawapiga chini tu,halafu siku hizi kinamama kwenye mahusiano uaminifu umekuwa zero,mnakeraaaaaaaaaaaaaaa[/QUOTE]
Bishanga hapo kwenye red ni kina mama tu? kwani siye huwa tunatoka na nani zaid?
gfsonwin acha falsafa,you know what i mean.
Unanzarau? We subiri tu........--hebu usiniletee uchuro, nikupeleke wapi na sura kama panga la shaba??
Ushajizeekea hata kwa P.O.P husimami lol
Kwa kweli nimeondoka na somo la King'asti lol kuachwa ni baraka hahah we mdada nakufananisha na dadangu flani aisee.
Namwona Soulmate Mbu hapo kaja kamwaga maziwa saksafuni kisha kayafuta ila kaacha michirizi . mh hata sijui ni dongo gani nlikuwa nimetupiwa yarabi mie.
We Soulmate hebu bwana rudi hapa unifunze mie nielewe akha!
Its very hard but its the wisest thing to do when some thngz dnt work out. Huwa inapunguza maumivu kiasi if both of you understand that even though mnapendana lakini mnalazimika kuachana.kila mmoja akiwa na busara na kuyatafakari mambo kwa kutumia akili na sio moyo,then u will let go without any hatred, anger or any sort of enemity.mtakuwa marafiki wazuri tu bt thats only possible through understanding.
mimi nilishaweza kuachia sehemu ambayo ilikuwa ngumu mno{ndoa}na kukubalika kijamii ilikuwa ni ngumu sana tena sana,nililia weee mpaka mwisho nikasema hapana be strong,you can do it.ila kiukweli,i did the right thing.maana miaka ingeenda tu,na ndani kulikuwa hakuna mapenzi tena.na leo huyo huyo mtu,ni rafiki yangu na tunaelewana kwenye shida na raha.ila siombei yamkute mwenzangu yoyote yule
Namwona Soulmate Mbu hapo kaja kamwaga maziwa saksafuni kisha kayafuta ila kaacha michirizi . mh hata sijui ni dongo gani nlikuwa nimetupiwa yarabi mie.
Bishanga it is the matter of telling the reality and not philosophizing. You know always women are the victims of cheating and the breaking relationships. we are always prone to whatever is seen as immoral according to our culture but also we do love men in true and with all our hearts but its you men who bait us in these bad behaviors.gfsonwin acha falsafa,you know what i mean.
Wapendwa,
Ni matumaini yangu kuwa mu wazima na mnaelea kwa raha kwenye bustani zenu za mapenzi. Napenda kuwapongeza sana wanaowapenda (Wapenzi wenu) na ninyi mnaopendwa kwani kwa pamoja mna-make the world a better and colouful place to live! Bravo.
Kwa asilimia kubwa, kilicho nyuma ya "kushindwa kulet go" inatokana na kujihisi usiyefaa tena kwa anayekuacha, nafsi inahisi kudharauliwa, kuchokwa na anayekuacha.. Kumbukumbu ya the "love moments you had together" comes next. Na ndo maana kunakuwa na kachuki kwa anayekuwa na "X" wako!!
Ways to Let it go ni kudiscover your pottentials in all aspects, Socially and Economically na kumake use of them in taking your life on. Hii inasaidia kutambua kwamba wewe(uliyeachwa) una qualities zako za kufaa kuishi vyema na kwa furaha. Ofcourse it may still happen ukakumbuka the past lakini kwa njia hii utasahau mapema zaidi. Pia itasaidia kufurahia fully your next love life. All the best.
It may not be immediate but believe me, it is efficient and effective.
Hivi ni kweli kwamba aliyeachwa ndo ataumia, mi nilidhani kwamba wote wawili mtakuwa na maumivu isipokuwa tu yanatofautiana extent
Bishanga it is the matter of telling the reality and not philosophizing. You know always women are the victims of cheating and the breaking relationships. we are always prone to whatever is seen as immoral according to our culture but also we do love men in true and with all our hearts but its you men who bait us in these bad behaviors.
The power of positive thinking sio?
Lakini na nyie kinadada tukiwapenda pendekeni basi sio muanze minyodo na kutupasua vichwa,mwisho tutawapiga chini tu,halafu siku hizi kinamama kwenye mahusiano uaminifu umekuwa zero,mnakeraaaaaaaaaaaaaaa
Gfsonwin, I beg to differ ur honor!
Men get cheated too, they also get abused, Bishanga for one has been there. Why do we, women, have to make such a big out of it? Becoz we have been taught and groomed to behave like victims! Act like a lady but think like a man! What's the big deal? Mie nawaheshimu sana wanawake na wanaume walioweza kujikwamua from useless relationships! Sasa ushinde kombe, afu ulie for most of ur remaining life? Oteeeee!
... 😉
Soulmate, Sina la kukufunda upya mpendwa, ur good friend ametoa funzo zuri tu. Dawa chungu ndio inayoponya.
....kuna jambo wengi wetu hatupendi kukubaliana nalo, kwamba ndoa ni muungano mtakatifu. Nguvu ya sala, maombi na dua mbali mbali kama ni kweli unataka jibu Mw'mungu anakupa jibu mapeema sana.
Tunasali na kuomba mwongozo wa mw'mungu, akitupa ishara (huyo sio!,) ...tunamhoji tena YEYE mjuzi wa yote kwanini isiwe kama tunavyotaka. Mbaya kuliko yote, tunajiambia "potelea mbali" tutaoana hivyo hivyo,
Sali, Omba na Mw'mungu siku zote anakujibu ndani ya siku tatu mpaka ishirini na moja (hata kama hutataka kuamini jibu)
Na hapa ndo tatizo langu na wewe (huyo dadako kama ni Nyamayao anapaswa awe anakuchapa!). Unabakia kuwaza michirizi ya maziwa, nje anapita muuza maziwa hata kengele ya baiskeli huisikii! Unawaza maziwa sijui yaliyofutwa yalikuwa ya pink (kama ya hippopotumus) ama ya mgando. Hebu acha past iende zake, u are crowding your future and your present as well! Bible inasema 'acha wafu wazike wafu wao'.
Hivi leo si ni jumapili?
Kwenye miti hakunaga wajenzi dearest. So mie najipimia baraka zangu, hata kuachwa ni baraka. Sasa mbona mie ndo napeenda tena kwa uaminifu ila ndo natendwa! Nna mpango wa kustaafu uaminifu recently, u can be my guinea pig!
Ila mie naona the worst thing ni kufiwa na mpenzi, kama ananiacha tu it is his loss aisee! I believe I'm a good woman and a good lover too. I can brag about that, hehehe!