Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,321
- 10,075
The power of positive thinking sio?
Lakini na nyie kinadada tukiwapenda pendekeni basi sio muanze minyodo na kutupasua vichwa,mwisho tutawapiga chini tu,halafu siku hizi kinamama kwenye mahusiano uaminifu umekuwa zero,mnakeraaaaaaaaaaaaaaa[/QUOTE]
Bishanga hapo kwenye red ni kina mama tu? kwani siye huwa tunatoka na nani zaid?
gfsonwin acha falsafa,you know what i mean.
Last edited by a moderator: