The Power of Levarage

The Power of Levarage

Bizness ina watu wa aina mbili
1.Ndege, 2.Chura.

1.Ndege.
Ni watu wenye visiona na maono ya mbali. Anafahamu na kuona kwa mbali kuwa ule ni msitu, umeanzia hapa na kuishia pale.

Ndege huona hata nje ya msitu, huona bahari, hayupo limited na wapi anaona. Na vision zake huenda fasta sana.

Hujua vitu vingi sana, kwa kidgo kidgo. So utajua masoko, huduma nzuri kwa wateja, kuhifadhi fedha, uongozi nk

2.Chura.
Huwa ardhini, hawaoni pori lote kiujumla, hawaoni bahari wala nin, wanachokiona kipo limited. Lakini kile wakionacho mbele ukifahamu kiundani sana kuliko ndege.
Kama ni pori, akiona mti mmoj mmoja. Anajua ukubwa wake, mizizi yake na taarifa zote kiujumla, kuhusu mti

Sasa utakuta chura huyu anajua ujenzi, ni fundi mzuri, mchoraj mzuri, mkulima mzuri, lakina hana ujuzi na skillz zingine hana maono mengi.


Ila sasa akiwa na ndege akamuongoza, ndege huweza chukua chura kutoka miti tofauti tifaut, wenye taarifa za kutosha akatengeneza combo moja matata sana. Ikawa biashara kubwa.


So, usikomae kutafuta ujuzi mmoja, jua vitu vingi kwa kidgo kidgo, then utaanza kutafuta mtu anayejua sana kitu kimoja wapo kiundani, then Ona mbali jinsi ya kumtumia.

Mmiliki saluni, hajui kunyoa, lakini anajua taarifa nyingi kuhusu saluni, akamtafuta mjuzi wa kunyoa akajua kumtumia.

Mtaalamu wa upasuaji ni chura, mmiliki wa hospital ni ndege. Cheza na hizo mbinu mzeee
Mkuu ufafanuzi makini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😅😅..inauma...mie kila nikitqka walau kwenda kupumzika hom kuna kasauti kananiamba ss hv utapigwa parefu..yaan unaibiwa had unakaa chini huwez nyanyuka dah...!mazingirw ya biashaera kwa Tz ni bora ujitoe mwili na akili mwenyewe! Bora ujitese tu
Hii fikra ya kwamba biashara lazima usimamie mwenyewe mwanzo mwisho ili usiibiwe ndio utajirike itakuchelewesha sana kutajirika.

Binafsi nachofanyaga ni kusimamia kwa muda Fulani ili niwe na idea ya mapato yangu, changamoto za biashara yangu, kujua wapi kwenye mianya ambapo vijana wanapiga then baada ya hapo nakaa pembeni kutengeneza systems zit amazon I were aha kuiendesha hiyo biashara bila ya Mimi kuhusika moja kwa moja kwenye daily operations.

Nikishafanikiwa na hilo basi natumia muda wangu mwingi kuiscale(kuikuza) iyo biashara. Kwenye kuscale ndipo different strategies zinapotumika kukutoa from zero to hero.
 
Hii fikra ya kwamba biashara lazima usimamie mwenyewe mwanzo mwisho ili usiibiwe ndio utajirike itakuchelewesha sana kutajirika.

Binafsi nachofanyaga ni kusimamia kwa muda Fulani ili niwe na idea ya mapato yangu, changamoto za biashara yangu, kujua wapi kwenye mianya ambapo vijana wanapiga then baada ya hapo nakaa pembeni kutengeneza systems zit amazon I were aha kuiendesha hiyo biashara bila ya Mimi kuhusika moja kwa moja kwenye daily operations.

Nikishafanikiwa na hilo basi natumia muda wangu mwingi kuiscale(kuikuza) iyo biashara. Kwenye kuscale ndipo different strategies zinapotumika kukutoa from zero to hero.

Kuna biashara na biashara unaweza fanya hizo strategies mkuu...!sio zote
 
Kwa 10 years nafikiri he was fair.Sidhani kama alikuwa Mwizi nafikiri labda hakukuwa na usimamizi mzuri kwa upande wa mmiliki.
Kwanza walikuwa hawapigwi, kama alikuwa anafikisha malengo ndo maana kakaa muda wote huo, suala la yeye kujenga gesti zake ni mbinu zake. Naamini kama angekuwa anawapiga msingemuacha for 10yrs
 
BOX la PRECONCEIVED BELIEFS
Hapana mkuu kilichonifanya ni comment ni jinsi jamaa alivyomwendea direct mtoa mada ,kwamba asizunguke mnazi sana bali aende moja kwa moja kwenye pointi.
 
Hapana mkuu kilichonifanya ni comment ni jinsi jamaa alivyomwendea direct mtoa mada ,kwamba asizunguke mnazi sana bali aende moja kwa moja kwenye pointi.
Mimi ndo mleta mada,Sababu ya kusema kwamba uko kwenye Box ni kwa sababu ya kuwa na conclusions ambazo ni unfounded kwa sababu tu ya mtazamo wako.Katika maisha hii inaweza kukufanya upishane na gari la mshahara au fursa.Lazima tujijengee desturi ya kuwa na open mind na kukwepa sana kufanya au kutoa hitimisho kabla ya kuwa na facts kamili.Ni mtazamo wangu tu katika eneo hili ila ningependa zaidi kufahamu uelewa wako kuhusu LEVERAGE na namna ambavyo inaweza kukusaidi kufanikiwa katika maisha yako binafsi na biashara.ATB
 
Back
Top Bottom