Kwa hivo wewe unajua sana kuliko Tanzania Tourism Board huh?ππ
Leo nimewashika penyeweππ
View attachment 763367
Hawa nyangau hata abiria walioko kwenye transit wanaesabu touristsππ Sisi tunaesabu mapato ya tourists wao wanaesabu watuππ Toka lini $1.2billion ikazidi $2.3billion ?? ππ Hawa kunya wameweka akili zao kibera miguu iko CBDπEven Tanzania visit Kenya for vocation purposes. Mimi mwenye nimefanya hivyo not once or twice. Freedom of movement within EAC block give us this opportunity.
Those people are always in transit to TZ. Terminal 3 ikianza kazi ndo mtajua TZ ni nani kwenye tourismπduh,kenya inawapa hawa mafala foreign exchange kibao na wananyeta humuπ
Kenya contributes to 18.2% of the tourists in tz...wacha kujigambaThose people are always in transit to TZ. Terminal 3 ikianza kazi ndo mtajua TZ ni nani kwenye tourismπ
the Most interesting part is that 18.2% of the tourists are kenyans....So this guys survive from kenyans
NairobiWalker anasukumwa ajenda ambayo haipo, waziri wao mwenye amekiri Tanzania inawatowa jasho na hawa wanajuwa hivyo ila kichwa ngumu, June sio mbali, kipindi cha bajeti tutajuwa mbivu na mbichi.Hawa nyangau hata abiria walioko kwenye transit wanaesabu touristsππ Sisi tunaesabu mapato ya tourists wao wanaesabu watuππ Toka lini $1.2billion ikazidi $2.3billion ?? ππ Hawa kunya wameweka akili zao kibera miguu iko CBDπ
Hiyo hatujakataa tena ingekuwa 25% all we want is money. Toka lini $1.2B ikazidi $2.3 B ?? Kuna mtu kaja kujifuraisha humu na data zake za kukulupukaππKenya contributes to 18.2% of the tourists in tz...wacha kujigamba
Mkikuyu alisha lahaniwa. Vijana jobless na walevi wapo Gatundu. Walker is from that place. Sasa unategemea akuletee nini ??NairobiWalker anasukumwa ajenda ambayo haipo, waziri wao mwenye amekiri Tanzania inawatowa jasho na hawa wanajuwa hivyo ila kichwa ngumu, June sio mbali, kipindi cha bajeti tutajuwa mbivu na mbichi.
Im sorry i doubt this, i was suprised when some Tanzanians asked if war stopped in Kenya,was like WTF even somali hatakama nikubaya there are places kuna peace,this sort of ignorance should be studiedEven Tanzania visit Kenya for vocation purposes. Mimi mwenye nimefanya hivyo not once or twice. Freedom of movement within EAC block give us this opportunity.
This said is true the number of kenyans visiting dubai is very high,my first time to visit dubai was in 2011 where the company i worked with sponsored us thro bonfire ventures tours and travelOur latest popular destination is Rwanda. Dubai has also grown so much as destination for Kenyan tourists. We receive the most tourists in the region and we also tour the most. A good sign of economic growth and more people rising to middle class economic level.
Naona unamwambia mwenzako ashikilie ujinga wakati wewe hali unaijuaππ Msaidie mwenzako usimuache pekeyakeππ Hi quote imenifurahisha. I think thats how Ruto encourages UhuruπUsijali. Wewe endelea kustick with the facts. The facts will speak for themselves. Good job
Wewe unajua maana ya kutolewa jasho? Mtu akikutoa jasho haimaanishi amekushinda - kama vile Bandari ya Dar inaitoa jasho Mombasa Ila haijaishinda Wala kuifikia bado.πππNairobiWalker anasukumwa ajenda ambayo haipo, waziri wao mwenye amekiri Tanzania inawatowa jasho na hawa wanajuwa hivyo ila kichwa ngumu, June sio mbali, kipindi cha bajeti tutajuwa mbivu na mbichi.
Haha, men are making this up. We have television and internet we can read. My suspecting if that's true, Tanzanian was trying to pull your leg.Im sorry i doubt this, i was suprised when some Tanzanians asked if war stopped in Kenya,was like WTF even somali hatakama nikubaya there are places kuna peace,this sort of ignorance should be studied
Kenya contributes to 18.2% of the tourists in tz...wacha kujigamba
I wonder how much they contribute to our tourism,im sure hata haijapita 2%Our latest popular destination is Rwanda. Dubai has also grown so much as destination for Kenyan tourists. We receive the most tourists in the region and we also tour the most. A good sign of economic growth and more people rising to middle class economic level.
Huyo ndo engineerππWachana na hawa mapunguani,vichwa maji..$2bn Revenue ya Tz wana sema ni contribution to GDP. Contribution to GDP from tourism is 17% of 47bn which is 7.9bn.. Vipofu wanafuata engineer wa matofali ππ
Mtu akikitoa jasho inamaa your on his sight, chochote kikitokea you loose.Wewe unajua maana ya kutolewa jasho? Mtu akikutoa jasho haimaanishi amekushinda - kama vile Bandari ya Dar inaitoa jasho Mombasa Ila haijaishinda Wala kuifikia bado.πππ
It all sums up to one thing........ UJAMAA MENTALITY imeshika mizizi sanaHaha, men are making this up. We have television and internet we can read. My suspecting if that's true, Tanzanian was trying to pull your leg.