Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Sasa wengine wanasema hizo ni facts. Wengine wanatuambia sio kweli ni propaganda. Sasa sijui tumsikilize nani!!
Mkuu ni kawaida propaganda kuenezwa nje ya nchi husika utasikia wanamaisha mazuri na mambo kibao ni kweli wanaweza kuwa na maisha mazuri kulinganisha na nchi zingine ila sio kiasi hicho
Mf. Venezuela kipindi cha Hugo Chavez kweli walikua na maisha mazuri kiasi chao ila sio kwamba hawakuwa na shida kabisa nchi yote