The reason Gaddafi was ousted..he intended to withdraw all of the Libyan oil billions from Europe

The reason Gaddafi was ousted..he intended to withdraw all of the Libyan oil billions from Europe

Sasa wengine wanasema hizo ni facts. Wengine wanatuambia sio kweli ni propaganda. Sasa sijui tumsikilize nani!!

Mkuu ni kawaida propaganda kuenezwa nje ya nchi husika utasikia wanamaisha mazuri na mambo kibao ni kweli wanaweza kuwa na maisha mazuri kulinganisha na nchi zingine ila sio kiasi hicho

Mf. Venezuela kipindi cha Hugo Chavez kweli walikua na maisha mazuri kiasi chao ila sio kwamba hawakuwa na shida kabisa nchi yote
 
Mkuu ni kawaida propaganda kuenezwa nje ya nchi husika utasikia wanamaisha mazuri na mambo kibao ni kweli wanaweza kuwa na maisha mazuri kulinganisha na nchi zingine ila sio kiasi hicho

Mf. Venezuela kipindi cha Hugo Chavez kweli walikua na maisha mazuri kiasi chao ila sio kwamba hawakuwa na shida kabisa nchi yote
Kwa Venezuela ni kweli kuwa jamaa alisaidia wananchi lakini haikuwa wote. Ilikuwa ni baadhi. Nilivyosikia nchi yenye mambo ya dezo dezo dizaini hizo kwa wananchi wake ni Brunei wengine wanasema Qatar.
 
Kama unapewa nyumba bure, elimu na afya bure na kwa $0.15 unanunua mikate 40 watu huko wanafanya kazi kwaajili gani? Wapate nini zaidi

Mkuu ina maana wewe usingefanya kazi kama hivyo vyote ungepata bure?Je hujui kuna watu wanautajiri wa kupindukia na wanafanyakazi kwa bidii sana ili waendelee kutoa msaada kwa wengine?Je unadhani ukipewa $ 50000 za kujenga nyumba huna haja ya kufanya kazi upate zaidi ili ujenge nzuri zaidi na ya kifahari?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Haina mchango kwa watanzania. Inawezekena wewe mleta mada hii ni pro-CCM ambayo imefanya yote haya yashindikane. Upuuzi mtupu kutuleta hapa.

cnniReport.jpg

Here are some Facts you probably do not know about Libya under Muammar Gaddafi:
• There was no electricity bills in Libya; electricity is free … for all its citizens.
• There was no interest on loans, banks in Libya are state-owned and loans given to all its citizens at 0% interest by law.
• If a Libyan is unable to find employment after graduation, the state would pay the average salary of the profession as if he or she is employed until employment is found.
• Should Libyans want to take up a farming career, they receive farm land, a house, equipment, seed and livestock to kick start their farms –this was all for free.
• Gaddafi carried out the world’s largest irrigation project, known as the Great Man-Made River project, to make water readily available throughout the desert country.
• A home was considered a human right in Libya. (In Qaddafi’s Green Book it states: “The house is a basic need of both the individual and the family, therefore it should not be owned by others.”)
• All newlyweds in Libya would receive 60,000 Dinar (US$ 50,000 ) by the government to buy their first apartment so to help start a family.
• A portion of Libyan oil sales is or was credited directly to the bank accounts of all Libyan citizens.
• A mother who gives birth to a child would receive US $5,000.
• When a Libyan buys a car, the government would subsidizes 50% of the price.
• The price of petrol in Libya was $0.14 per liter.
• For $ 0.15, a Libyan local could purchase 40 loaves of bread.
• Education and medical treatments was all free in Libya. Libya can boast one of the finest health care systems in the Arab and African World. All people have access to doctors, hospitals, clinics and medicines, completely free of charge.
• If Libyans cannot find the education or medical facilities they need in Libya, the government would fund them to go abroad for it – not only free but they get US $2,300/month accommodation and car allowance.
• 25% of Libyans have a university degree. Before Gaddafi only 25% of Libyans were literate. Today the figure is 87%.
• Libya had no external debt and its reserves amount to $150 billion – though much of this is now frozen globally.
Gaddafi wrote, “They want to do to Libya what they did to Iraq and what they are itching to do to Iran. They want to take back the oil, which was nationalized by these country’s revolutions. They want to re-establish military bases that were shut down by the revolutions and to install client regimes that will subordinate the country’s wealth and labor to imperialist corporate interests. All else is lies and deception.”

Finally, the gold bullion held by the Libyan Central Bank (March 2011) was among the 25 largest reserves in the world, as reported by the Financial Times, citing the International Monetary Fund. This provided Libya a critical lifeline after billions of Libya’s assets were seized by the United States and the 27 member states of the European Union.

Many believe the NATO-led invasion of Libya was/is about oil and a vast wealth of other natural resources. Yet another critical element that few are aware of is the fact that Gaddafi had planned to introduce a single African currency made from gold. [Of this proposed African currency] Dr James Thring stated, “It’s one of these things that you have to plan almost in secret, because as soon as you say you’re going to change over from the dollar to something else, you’re going to be targeted … There were two conferences on this, in 1986 and 2000, organized by Gaddafi. … Most countries in Africa were keen.” This would have eradicated the US Dollar and Euro as trade currencies for Africa.

Facts about Libya under Gaddafi that you probably did not know about ! - CNN iReport
 
Haina mchango kwa watanzania. Inawezekena wewe mleta mada hii ni pro-CCM ambayo imefanya yote haya yashindikane. Upuuzi mtupu kutuleta hapa.
I report you decide.
Kama majibu ya great thinkers siku hizi ndio hayo, pole sana
 
Ulitaka kufindisha nini na ripoti yako. Acha maswala ya kukopi na kupesti changanua hii hali inavyowezekana kwa tanzania na si kuweka tu alafu ukaishia hewani
I report you decide.
Kama majibu ya great thinkers siku hizi ndio hayo, pole sana
 
Waliwahi kuletwa wanafunzi UDSM kutoka Libya nadhani walikuwa kama 15 hivi,miaka ile ya mzee Punch.Walikuwa na nyodo kuzizd hata wanafunzi waliotoka Ulaya.Kwanza wakilikataa kula chakula Cafeteria wakidai hawana imani na nyama inavyochinjwa heti wanaogopa kula haramu,enzi izo hata na nyati walikuwa wanapikwa cafeteria.Ubalozi wa Libya ukawa unawaletea chakula maalumu kutoka ubalozini,kuanzia breakfast na vinginevyo.Baadae wakadai hawataki vyoo vya kukaa,wakaomba chuo kiwabadilishie vyoo vyumbani mwao viwe vya kuchuchumaa,chuo kilipokataa walikatisha masomo na kurudi kwa.
 
Ulitaka kufindisha nini na ripoti yako. Acha maswala ya kukopi na kupesti changanua hii hali inavyowezekana kwa tanzania na si kuweka tu alafu ukaishia hewani
Jifunze spelling kwanza kabla hujaposti chochote
 
Sasa wengine wanasema hizo ni facts. Wengine wanatuambia sio kweli ni propaganda. Sasa sijui tumsikilize nani!!

Libya ina vuna mapipa Milion 2.9 kwa siku na bei ya pipa la wese kwenye soko la dunia ni above $ 80

Ukipiga hesabu ni kuwa Gadafi alikuwa anaweka Hazina Dola Billion kadhaa kwa siku na Libyans wapo chini ya watu Million 7 tu

Kweli ningekuwa Libyan ningefurahia unipe elfu 50 ktk maisha yangu yote ili hali wewe a day unakunja billions?Gadafi asingepona ktk dunia hii ya facebook!

Waliokuwa wanafaidika na mafuta ya Libya ni wanajeshi wanao muunga mkono tu
 
Acha uongo
Kinachotokea sasa ni kundi la majambazi likifanya kazi ya kuuza mafuta na imefika wakati serikali ya libya ya sasa imebidi ikae chini na gang hilo ili waweze kuongea na kupanga jinsi ya kuuza mafuta hayo.enzi za gadafi haya hayakuepo
 
Kama hayo ni kweli kwanini WALIBYA WENYEWE walimpindua GADDAFFI walikuwa wamechoka hizo neema zote? naongezea fact nyingine, GADDAFI alimsaidia IDDI AMIN wakati wa ile vita yetu ya Kagera, something to think about for a true TANZANIAN!
 
Ni kweli kwamba Wa Libya walifurahia huduma za jamii nyingi sana zilizotolewa bure na serikali kwa namna ambayo huenda ilikuwa ni ya kipekee duniani. Tatizo kubwa lilikuwa kwamba hawakuwa huru, au hata kudiriki kuisema vibaya serikali, jambo ambalo lingekuletea hata kuuwawa. Ghadafi alitawala Libya kwa namna ambayo iliwafanya raia wote kuwa watumwa wake aliowapa zawadi nyingi kila siku. Libya haikuwa demokratiki chini ya Ghadafi, ambaye alikuwa ndiye polisi, mwendesha mashtaka, hakimu na mnyongaji.

Swali la kujiuliza ni moja; Je ni bora kuwa mtumwa wa tajiri kuliko masikini huru?

NI swali ambalo si rahisi kupata jibu moja.
 
Mkuu ina maana wewe usingefanya kazi kama hivyo vyote ungepata bure?Je hujui kuna watu wanautajiri wa kupindukia na wanafanyakazi kwa bidii sana ili waendelee kutoa msaada kwa wengine?Je unadhani ukipewa $ 50000 za kujenga nyumba huna haja ya kufanya kazi upate zaidi ili ujenge nzuri zaidi na ya kifahari?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Ni nature ya binadamu kuwa mvivu akipata chakula cha bure tu sasa habari gani apewe chakula, nyumba, elimu, afya na huduma zote hizo bure.. Achana na maisha ya matajiri wao tayari wana mzunguko endelevu wa vipato vyao tofauti na Libyans ambao mnasadiki walipewa bila kufanya kazi yeyote. Na tuseme waliendelea kufanya kazi ili wasaidie wengine kama unavyodai; sasa wamsaidie nani akati kila mtu anacho cha kupewa na serikali ama unataka sema walikua wanasaidia nje ya nchi yao
 
Haina mchango kwa watanzania. Inawezekena wewe mleta mada hii ni pro-CCM ambayo imefanya yote haya yashindikane. Upuuzi mtupu kutuleta hapa.

Utakua mgonjwa wa akili kama kila utendalo unataka lilete mabadiliko Tanzania
 
Libya ina vuna mapipa Milion 2.9 kwa siku na bei ya pipa la wese kwenye soko la dunia ni above $ 80

Ukipiga hesabu ni kuwa Gadafi alikuwa anaweka Hazina Dola Billion kadhaa kwa siku na Libyans wapo chini ya watu Million 7 tu

Kweli ningekuwa Libyan ningefurahia unipe elfu 50 ktk maisha yangu yote ili hali wewe a day unakunja billions?Gadafi asingepona ktk dunia hii ya facebook!

Waliokuwa wanafaidika na mafuta ya Libya ni wanajeshi wanao muunga mkono tu

Mods wametoa icon ya LIKE anyway chukua LIKE toka kwangu mkuu
 
Back
Top Bottom