Naweza kusema idd Amin alikuwa mtu wa bahati kutokana na Mahakama ya The Hague kumsahau mpaka alipofariki hakuwa ameshitakiwa kabsa.Idd amini aliishi Libya na kufia huko?ama kweli huna ulijualo.Amin aliishi Saudi Arabia na ndipo mauti yalipomkuta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naweza kusema idd Amin alikuwa mtu wa bahati kutokana na Mahakama ya The Hague kumsahau mpaka alipofariki hakuwa ameshitakiwa kabsa.Idd amini aliishi Libya na kufia huko?ama kweli huna ulijualo.Amin aliishi Saudi Arabia na ndipo mauti yalipomkuta.
Leo hii Membe ni Tajiri kupitia mali zake.Dah Libya si ilikua pepo hapa duniani ,ilikua na tofauti gani na Luxembourg ama Brunei ?
R.I.P Ghadafi japo ulikua na mapungufu yako lakini ulikua ni kiongozi mwenye maono ya kipekee
Yote yamesababishwa na Gaddafi kutotii mamlaka ya wananchi. Kama angeitisha uchaguzi, wakachagua, basi yote yanayotokea yadingetokea.Sasa wamepisha wengine watawale lakini Nchi imekuwa sehemu ya mauaji hakuna raha tena wala huduma Zile zilizokuwa zikipatikana Kipindi cha Gadafi .
libya kama wewe hutoki kabila la wabedui ulikuwa huluhusiwi kua kiongozi lakini pia aliwakandamiza sana wananchi wake kihisia....katika maisha kitu cha kwanza ni uhuru...jiulize kwanini watumwa wa marekani na kwingine walidai uhuru kwani walikua hawali wa kunywa....jiulize kwanini wewe mwenyewe haupendi kuendeshwa na wazazi wako...
Kwani libya hakukuwa na UchaguziSuala sio unapewa nini ktk nchi yako, bali ni kwa kiasi gani nyote mna nafasi sawa za kimaisha ktk nchi yenu. Gaddafi hakuruhusu uhuru huo japokuwa aliwapatia huduma nyingi bure.
Mzizi, hata wewe akitokea mtu akasema anakupa kila kitu lkn usijihusishe na harakati mbalimbali za maisha utakubali?
Walibya sio wajinga, kumbuka waliitwa ni mende na panya.
Leo hii naamini kama Gaddafi angekubali kuitisha uchaguzi baada ya kufanikiwa yote hayo, angekuwa mtu maarufu zaidi duniani. Lkn kwa uroho wa kutawala yeye na familia yake, alipuuza sauti zilizodai uhuru wa kisiasa. Ni kosa kubwa sana
Walikuwa wana beep walichonacho..angalia mijengo yao ilivyobaki magovu na wanavyotapa pata na nchi sasa hivi.Kila mara kuvuka na Boti kwenda Italia na kuitwa wakimbizi.Angalia jinsi wanavyokufa Mideterenia kuhangaikia tu kutafuta maisha.Uhuru duniani hakuna hakuna kabisa.Fikiri Mungu alipoumba ulimwengu aliweka masharti ya kuishi bustanini si unaona kilichotokea kwa Adamu na Hawa?Binadamu hajawahi rizika hata umbebe,umpeleke chooni umchamb....umuogeshe umlishe ..vyote atasema hujafanya vizuri...Sasa Libya wanapata UHURU WAO WALIOUHITAJI.Ni hulka za kibinadamu kutaka uhuru uliopitiliza unadhani wangejua kwamba matokeo yangelikuwa ni haya wanayoyaona leo wangekubali kumpindua gadafi thubutuu!
Haukuwepo, na alianza harakati za kumrithisha mwanaeKwani libya hakukuwa na Uchaguzi
Ujinga wa ukasuku na kugeuka panya wa Mpiga Filimbi wa Hamelin. Hatuwasikii hapa mkisema ubaya wa Wazungu walivyofanya Afrika kuanzia Algeria mpaka Cape Town. Nyie mkisika waarabu (Your Bougey Man) basi maskio yenu yanasimama kama mabua ya mahindi waafrika kila ovu wamefanyiwa na wazungu na bado hamkumbuki wala kujiskia vibaya eti Bwana Yesu ametufundisha kusamehe. Bwana Yesu hakufundisha kusamehe watu maalum. Ujinga wa kupokea tu yale unayoambiwa kwa sababu CNN na Fox News ni Wazungu. Kweli basi yule Mzungu Donald Trump anaposema akichukuwa madaraka atawabeba na atawatupa viongozi kadhaa korokoroni na kurudisha ukoloni Barani Afrika.Yote yamesababishwa na Gaddafi kutotii mamlaka ya wananchi. Kama angeitisha uchaguzi, wakachagua, basi yote yanayotokea yadingetokea.
Kitendo cha Gaddafi kuruhusu vita, kuna watu waliuwawa. Sasa baada ya vita mtu amepoteza ndugu zake, amechanganyikiwa naye anataka madaraka.
Halafu ule usemi wa "...human creat seeds of their own destruction..." Ulitimia Libya kwa Gaddafi.
Kama unakumbuka, Gaddafi aliingia kwa kumpindua mtu na alikuwa na mass support. Baada ya mapinduzi, hakuanzisha sheria ya kudhibiti silaha mikononi mwa raia. Libya kununua smg kadhaa na risasi ilikuwa rahisi ktk utawala wa Gaddafi.
Idd zote walisherehekea kila mwenye bunduki kwa kupiga risasi hewani. Au mtu akifurahi, anaingia ndani anachukua silaha anaanza kupiga risasi. Hii pia ilimgharimu mjomba wako Gaddafi
Mkuu, usiweke udini, chambua hoja kisha ijibu. Kwani waliomuua Gaddafi ni wazungu au walibya wenyewe?Ujinga wa ukasuku na kugeuka panya wa Mpiga Filimbi wa Hamelin. Hatuwasikii hapa mkisema ubaya wa Wazungu walivyofanya Afrika kuanzia Algeria mpaka Cape Town. Nyie mkisika waarabu (Your Bougey Man) basi maskio yenu yanasimama kama mabua ya mahindi waafrika kila ovu wamefanyiwa na wazungu na bado hamkumbuki wala kujiskia vibaya eti Bwana Yesu ametufundisha kusamehe. Bwana Yesu hakufundisha kusamehe watu maalum. Ujinga wa kupokea tu yale unayoambiwa kwa sababu CNN na Fox News ni Wazungu. Kweli basi yule Mzungu Donald Trump anaposema akichukuwa madaraka atawabeba na atawatupa viongozi kadhaa korokoroni na kurudisha ukoloni Barani Afrika.
Sent from my HTC Desire 820s dual sim using JamiiForums mobile app
ni mpenda watu!!!alijenga MSIKITI Pale DODOMA
Kwa kweli enzi hizo Libya ilikuwa iko juu sana kwa maendeleo, nilikuwa sijawahi kuona walibya wakiondoka nchini kwao kutafuta maisha kwingine zaidi ya kwao.Dah Libya si ilikua pepo hapa duniani ,ilikua na tofauti gani na Luxembourg ama Brunei ?
R.I.P Ghadafi japo ulikua na mapungufu yako lakini ulikua ni kiongozi mwenye maono ya kipekee