The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Mji Mkuu lazima unengwe na Wala pesa hazijapotea zipo za kutosha wekezeni kwenye hicho kilimo..Morogoro mji, au Morogoro mkoa?
..Sgr italeta mabadiliko gani ambayo barabara na Tazara zimeshindwa kuyaleta Morogoro?
..Morogoro ni mkoa wenye potential kubwa ili serikali imeshindwa kuuwezesha na kutumia ipasavyo.
..Badala ya kupoteza fedha kujenga mji wa serikali Dodoma naamini tungefaidika zaidi kuwekeza ktk kilimo na viwanda Morogoro.