The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake


Chaaa umeona mimi mlaku laku ukwendeee uko au unathani nimekuzimia wewe?

Anyway rudi tu nyumbani sasa maana na hizo sura zenu na vipua vidonko mnavyobagua sijawahi kuona dunia hii. Ila mjifunze na muachane na siasa kali kisije kutokea kma kule Uturuku mambo ya Armenia genocide
 
Heshima yako Mkuu. Nimesema leo sinywi chai mpaka nimalize kusoma ila nimekasirika sana kuona umeishia sehemu ya pili tu. Ila Mkuu uko njema sana kipaji hiko ni wachache sana

nasubiri kumuona "Asset wa serikali ya Marekani" PaKa

Habibu B. Anga
 
Last edited:
Aah! Asa mbona Story tuu husemi utajiri walionao?
Je wamefungua Miradi gani inayowapatia Utajiri ili nasisi tuangaliye hiyo fursa!
 
Mkuu hii kitu safi sana..Fanya kunitag Mkuu
 
To infinity and beyond
kazi nzuri mkuu threads zako zinatuelimisha sana na kutupa mwangaza katika mambo mbali mbali
 
Heshima yako Mkuu. Nimesema leo sinywi chai mpaka nimalize kusoma ila nimekasirika sana kuona umeishia sehemu ya pili tu. Ila Mkuu uko njema sana kipaji hiko ni wachache sana

nasubiri kumuona "Asset wa serikali ya Marekani" PaKa

Habibu B. Anga
[emoji23]

Chai ya saa mbili sasa hivi mi saa tatu,
Endelea kuihifadhi mpaka atakapo tupia episode 3,
Ikigeuka kuwa asali pouwa tu.

Huyu jamaa ni kichwa
 

Et unizimie una uzuri gani mpka upate hadhi ya kuzimiwa na mimi ungekua na bahati sana kama ngekewa, kumbe tatizo pua ndio linalokusumbua ,Nyumbani ndio wap mana najua nyumbani ni sehemu yoyote duniani UTZ MZIGO SANA. Kichwa yako imejaa mapezi ya samaki na ule ute wake.PROUDLY RWANDESE.[emoji3]
 
Shikamoo...,arghh sorry,,,, mambos?
 
[emoji2] [emoji2] kweli wazuri wa sura japo mnakunya Kama binadamu wengine, ila wanyarwanda maisha yenu mafupi sana kwa uuaji wa kimbari....hivi wako njiani wanakuja Kigali....[emoji23]
 
[emoji2] [emoji2] kweli wazuri wa sura japo mnakunya Kama binadamu wengine, ila wanyarwanda maisha yenu mafupi sana kwa uuaji wa kimbari....hivi wako njiani wanakuja Kigali....[emoji23]

Sawa muuaji karibu ila Proudly Rwandese.
 
Mi kwetu bongo nikuuweni nyinyi kwa lipi wakati dhiki zenu tu uuaji tosha& najihisi Raha furaha na amani tele moyoni kwa kila tulichonacho hatutegemei vya wizi kutoka Congo....

Kelele zako hapa hazibadilishi kitu rwanda we endelea kupoteza muda tu Proudly Rwandese na nyie mkaibe Kongo mbona mna jeshi lenu kule.Amani na umaskini .????? makinikia mshalipwa bro .??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kelele zako hapa hazibadilishi kitu rwanda we endelea kupoteza muda tu Proudly Rwandese na nyie mkaibe Kongo mbona mna jeshi lenu kule.Amani na umaskini .????? makinikia mshalipwa bro .??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jeshi letu Congo lipo kwa Sheria za kimataifa, si kwa ajili ya wizi Kama jeshi lenu tunashukuru siku hizi mna adabu baada ya kuwanyoosha na wahuni wenu wale wa M23....makinikia kwetu si tatizo Kama watalipa wasipotulipa si shida, Tanzania tuna Mali chini ardhi zisizomithilika.....zingine hatujui tutaanza kuchimba lini....karibu Sana nchi ya amani isiyo na ukabila Wala ubaguzi wa aina yoyote ile....na wengi tu rwandese wako hapa wengine wanauza biashara haramu yakuvunja amri ya sita...karibu Sana...
 

Tuna Mali nyingi CCM INAWATAFUNA NJAA NI KALI KWELI UMASKINI WA KUFA ET TUNA AMANI SEMA MNA UTULIVU HAKUNA AMANI PENTE UMASKINI HAYA NIMEMALIZA MZEE WA KULIPWA KISHIKA UCHUMBA CHA MAKINIKIA.always Proudly Rwandese.Go east or West Rwanda is the Beast not the Best [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Imekua kawaida siku hizi, uzi ukihusisha Rwanda lazima watu wavurugane kwa vita ya maneno!

More popcorn please!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…