The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

Mbona kimya tena,au watusi washakupeleka Congo.
 
sehemu ya 3 bado??? Simulizi za The bold ni nzuri sana lakini nachoka tu kuzifwatilia long wait mpaka hamu inaisha. Ile The Kings Makers mpaka nimeiacha
 
sehemu ya 3 bado??? Simulizi za The bold ni nzuri sana lakini nachoka tu kuzifwatilia long wait mpaka hamu inaisha. Ile The Kings Makers mpaka nimeiacha
The Bold naye ana majukumu yake mkuu. Ikumbukwe kuwa hakuna mtu anayemlipa hata shilingi mia kuleta kazi zake hapa. Tuwe tu wapole mpaka akipata muda ataendelea kutuburudisha
 
aiseee hii kitu bado tu sehemu ya tatu? maana ni very confidential story kama mtu wa kufuatilia siasa za maziwa makuu wakati unasoma unakuwa unaonganisha dot tuuu kichwani na kumuona jakaya such a genius!!!! man we never had after nyerere kwenye siasa za kucheza na matyrant[emoji23][emoji23][emoji1241]

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
bado sijapata connection ya utajiri Wa Kagame na mauaji ya Kabila
 
Back
Top Bottom