Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana. Labda washa muhackMbona kimya tena,au watusi washakupeleka Congo.
Habibu B. Anga Mkuu bora ungekuwa unaandika yote kisha ndio unatuletea. Kutusubirisha namna hiisehemu ya 3 bado??? Simulizi za The bold ni nzuri sana lakini nachoka tu kuzifwatilia long wait mpaka hamu inaisha. Ile The Kings Makers mpaka nimeiacha
Sure, me the other half, vipepeo, Kings makers zote niliacha sasa say saba saba saba saba kama ya long waitsehemu ya 3 bado??? Simulizi za The bold ni nzuri sana lakini nachoka tu kuzifwatilia long wait mpaka hamu inaisha. Ile The Kings Makers mpaka nimeiacha
Huyu jamaa anapenda watu wawe wanapata taabu sana kufatilia post zake.Habibu B. Anga Mkuu bora ungekuwa unaandika yote kisha ndio unatuletea. Kutusubirisha namna hii
The Bold naye ana majukumu yake mkuu. Ikumbukwe kuwa hakuna mtu anayemlipa hata shilingi mia kuleta kazi zake hapa. Tuwe tu wapole mpaka akipata muda ataendelea kutuburudishasehemu ya 3 bado??? Simulizi za The bold ni nzuri sana lakini nachoka tu kuzifwatilia long wait mpaka hamu inaisha. Ile The Kings Makers mpaka nimeiacha
bado sijapata connection ya utajiri Wa Kagame na mauaji ya Kabila