The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

Mmmh!!! Au PK ameshatuma watu wamempiga pini? Ameona anataka kumuumbua, maana PK sio wa mchezo mchezo.
 
Mmmh!!! Au PK ameshatuma watu wamempiga pini? Ameona anataka kumuumbua, maana PK sio wa mchezo mchezo.
Inawezekana kabisa. Ukizingatia naye inasemekana amewekeza nchini. Alitakiwa amaliz kuandika yoote ndio analeta. Sio kipande kipande hivi
 
Imekua kawaida siku hizi, uzi ukihusisha Rwanda lazima watu wavurugane kwa vita ya maneno!

More popcorn please!
Mwambie muuza popcorn aongeze na huku kwangu[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
habib B. Anga

Japokuwa mzazi wangu mmoja ni mzaliwa wa rwanda, mwaka jana alinipeleka sehemu akaueleze ukweli wa mambo. Japo alisema mambo mengi ambayo sikuwa interested nayo ila hawa jamii ya hamites ni shida kwa kweli. Hawa watutsi ni wana roho za visasi kma ndugu zao waarabu.

Nahisi siku moja yatatokea mauaji wa kimbari tena na haya yatakayotokea tena nadhani yataishinda hata yale ya Rohingya.

Watutsi jamani embu badilikeni acheni roho za visasi kama waa-Afganstan itawasaidia
Watutsi hawana undugu na Waarabu acha kuzusha mambo.
 
Hii stori imeishia hapa hawezi endeleza ambao mnataka kuisoma yote njooni PM 😀😀😀😀
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom