The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

Salute mkuu.
Karibu sana mkuu. Hujawahi kuniangusha endelea kutupa vitu...
Mkuu naomba hapo kwenye tag hilo jina ulibadili liwe Da'Vinci
Ahsante.
😉😎🙂🙂
Salute comrade... shukrani sana
 
Wewe nae ni jipu.. Dola Millioni. 1,380,000 ni sawa na Trillion 3,174,000,000 kweli ????!! Au wewe ndie umekula hayo maharage uliyoyataja mjomba??! Kabla hujasimama kukosoa, jitazame kuwa wewe uko sawaa au laa!!!. ADHANIAE AMESIMAMA, AANGALIE ASIJE AKA ANGUKA...
 
Mimi nimekula maharage ya koromije mkuu
 
Hongera sana mkuu tunasubiri kwa hamu. Nilibahatika kuchukua namba yako kwa ajili ya kupata vitabu vyako na nina kumbuka ulisisitiza ni whatsapp lakini haukunijibu text zangu mpaka nilipokata tamaa.

Tunapenda kazi zako na tunahitaji kukusapoti lakini jaribu kuonyesha ushirikiano pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…