The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

Karibu Mr Habibu, kama ni huyu pichani usisahau kutujuza pia maendeleo ya wapinzani wake maana ni kama waasi wanataka kumtingisha
 
Yaani kwa hii trela wewe ni next level, Nikuombe ujaribu kuangalia sanaa ya filamu Tanzania nahisi inabidi watu wenye kichwa kama chako wazamie huko, kwani kuna utajiri umejificha kule afu wale mambumbu hawajui pakuanzia, Tengeneza timu na mfumo wako tofauti kabisa na uliopo naimani iko fursa pana kule kwa watu wenye uwezo mkubwa kama wewe Habibu B. Anga. Marvel studio imetuletea mtu anaye paa. Naamini kila kitu kina anza kama abstract na ww umebarikiwa hilo kwa kadirio ya nionavyo maandiko yako.
 
Mkuu,naomba uni-tag kwenye kazi zako!
 
Msome vizuri, kasema sisi sio ng'ombe tufikiri the same, andaa makara kupinga makara mkuu
 
Akili Kama Hauna utulie.. mtu Tajiri Duniani sio unaemjua wewe.. sio Billgate wala Jefd Bezos.. Mtu Tajiri ni Mwanasiasa Raisi wa Urusi VLADMIR PUTIN
Mkuu kwenye huu uzi tutaona na kujua mengi, bahati mbaya zaidi wengi source zetu zinaishia Google, halafu tunakuja kubisha hapa.
 
Kimbakuli
Introduction tu hujaelewa.
Je story yenyewe ikija si utarusha mawe kabisa.
Tulia Kaka subiri kazi iletwe mezani,utoe maoni yako.
Yallah mbavu zangu, yaaallah mbavu zangu, uuuuuwiii, Safi sana [emoji106][emoji106]
 
Andiko halijaja, kwani hapo juu hujapata picha ya anachotaka kukisema The Bold!! Kama hujui kusoma tazama hata picha mzee
Mkuu naomba busara itumike si lazima uufatilie huu uzi pia ruhusa kufungua uzi wako wasomaji tupo tutasoma tu
 
Mkuu naomba busara itumike si lazima uufatilie huu uzi pia ruhusa kufungua uzi wako wasomaji tupo tutasoma tu
Niwie radhi mkuu, ila suala la kunifukuza kwenye uzi sio sawa maana sisi wote wachangiaji hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…