The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

Niwie radhi kamaradi... nitatoa taarifa karibuni
 
Shukrani sana mkuu kwa ushauri huu
 
Here comes Kichwa. The new Juventus fan!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Treller kama muvie. Nishaagiza popcorn ba mkwe!
 
Mkuu Habib, ingawa huwa hufanyi taging kwangu, lakini huwa nakufuatilia kwa mbali na naona jinsi unavyoweza kutumia hiyo kalamu.

Kalamu ni Silaha kali sana na hapo unapoingia sasa hivi ndipo penyewe khasa.

Shusha nondo na hii itakuwa ni moja ya makala za mwaka.

Hawa viongozi wako wengi hata kule Angola, Equatorial Guinea na kadhalika tunaona jinsi wananchi wa kawaida wanavyowezeshwa kusahau kufikiri.

Lete Darsa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…