Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,494
wewe mbona hujasema ni kipi ambacho hukujulisha he is MR. RIGHT? Jibu hilo halafu nitakupa ufafanuzi tosheleza kabisa.........
I just knew, nilipenda kila kitu chake, nilipenda kila alichokifanya, sikuona upungufu wowote na sikuona dhambi wala dhamira haikunisumbua kuwa naye! Sijafeel hivyo kwa mtu mwingine yoyote so far!