Mahai
JF-Expert Member
- Jan 14, 2010
- 351
- 38
Niku toe wasiwasi ndugu yangu mimi ni mkristo kama wewe lakini mkristo kiimani si kidini. Mimi sina dini wala siamini katika yoyote ile japo kuwa naamini katika kristo na nguvu zake na pia naamini alitoa zawadi ya wokovu kwa binadamu wote bila kujali dini, dhehebu ama race kwahiyo kila anayeliitia jina la Yesu kwa kujua au kutokujua anaokolewa. Hilo ni kuhusu imani.
Kuhusu udictator wa Yesu naomba ni kwambie kabisa sioni tofauti kati ya Yesu na Ghadaffi kama wote wanasimamia katika lile wanaloamini tofauti na dunia inavyoamini. Yesu katika dhambi alisimama peke yake japo kuwa dunia yote ilikubali kuishi katika dhambi je hapo alifuata democrasia au ukweli aliouamini yeye? Alikuwa tayari kufa kwajili yakukataa mawazo ya mafarisayo na masadukayo ambao ndiyo walikuwa wabeba maono ya viongozi wa wakati ule katika taifa la Israel je hapo alikuwa mwana demokrasia? Sasa hapo utamtofautishaje Yesu na Ghadaffi? Hofu yako ya identity ya ukristo ndiyo inayopelekea wewe kumwona Ghadaffi aonekane vile hao wanaotaka kum demonize aonekane huku wao ndiyo wakiwa wapinga hiyo demokrasia wakwanza inapokuja kwenye issue ya ukweli wanaouamini. Kwani hao ndiyo wenye kura ya veto huko UN au na hiyo utaiita demokrasia kwakuwa amesema mzungu?
Kwaufupi ni kuwa ugomvi kati ya Ghadaffi and rivals ni due to selfishnes ya kila upande huku wakitumia mwavuli wa demokrasia na dini kujificha ndani yake ili mvua ya lawama zisiwafikie. Hiyo mimi kama mkristo tena mhubiri wa habari njema ya kristo nisipolisema ole ni kwangu maana nashiriki laana hiyo ambayo the authour of all this is the prince of this world the Devil in the name of diplomacy; is a sin and actually an abomination to our good and loving God who is not respector of persons. Mataifa hayo hayasemi wazi lakini wanajua Ghadaffi anasaidia uislamu so kwao hiyo ni worry kubwa lakini wamewatoa mamilioni ya wa Libya kama kafara ku serve selfish desire yao tena kwakutumia sababu za uwongo. Kama wana mwamini Mungu kwanini wasiamini kuwa anauwezo wa kuwalinda hata pasipo kuwafanyia wenzao uovu? Kwanini wasiamini katika nguvu na uwezo waroho mtakatifu katika kuwaleta watu katika mwanga na kuamua kutumia silaha za damu na nyama? Kama babu wa loliondo ameweza kuvuta maelfu na maelfu ya dini zote kwa imani ya kikombe si zaidi kama wangemtumia roho mtakatifu kuleta tumaini jipya duniani nakuleta ustaarabu kwa wote duniani? Huo ukristo wako uko wapi wewe kama unataka kuushinda ubaya kwa ubaya na wala si ubaya kwa wema? Utaona kuwa hakuna ukristo hapo ni selfishness kwakwenda mbele japo sababu za ndani ya mioyo yao ndiyo hiyo pamoja na malighafi za dunia ya walala puuh japo kuwa hawatakwambia hizo na watakuja kwa jina la diplomacy. The devil is a liar!
I really cant follow you, forgive me if I am mistaken but are saying NATO walitakiwa waamini katika nguvu na uweza wa Roho Mtakatifu ili watu wasife huko Libya? Help me please!
I am not agreeing with you hapo mahali nilipoweka red. There is NO WAY you can compare someone yaani I mean anyone with Jesus if you love HIM like you said. If you know Jesus then you cant compare him with people like us who are NOT perfect. Because he is beyond us and beyond even our capacity of understanding hata vitu tunavyoelimishana hapa. Ghadaffi is a dictator who can KILL his citizens just because they want him out, can you really compare him with Jesus?
