The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi


Sir he just did this in few minutes ago through an audio recording on the state TV, though he did not say where he was. The good thing, he confirmed there were some "rats" in Tripoli but they have been eliminated. Who know, these "rats" may come back?
 
......................................

Mkuu fuatilia huu mlolongo wa hizi habari utaona kuwa waasi ktk miji mingi huwa wanafanikiwa kuingia, lakini kabla ya Jua kuzama wanakuwa wameshavurumushwa na kurudi walikotoka.
Wao wanachofanya ni kusubiri ndege za NATO zishambulie sehemu fulani then wao ndio waingie na kisha faster TV zao zinazomilikiwa na mbwa koko zinawachukua na kuja kujaribu kutuokota na kuamini kuwa Baba etu kipenzi anazidi kudhoofika.

We tangu hawa jamaa wameivamia Libya ni mara ngapi umesikia waasi wameteka mji wa Misrata au Zawia?

Kila kukicha tunasikia mji ambao waasi waliuteka wiki iliyopita basi wameuteka na leo...hujiulizi kwa nini?
 

Ha haa haaa. Talking about forgiveness now? Dalili za kushindwa hizo. Anaanza kuwa kama Iraq's minister of information during Saddam's regime.
 

Hii post Ami imenichanganya kabisa... out of context hapa na mambo ya Libya...

yaani una maana Kikwete hata akitawala mpaka mwisho wake ni sawa tu??
 
.......................................

Mkuu fuatilia huu mlolongo wa hizi habari utaona
kuwa waasi ktk miji mingi huwa wanafanikiwa
kuingia, lakini kabla ya Jua kuzama wanakuwa
wameshavurumushwa na kurudi walikotoka.
Wao wanachofanya ni kusubiri ndege za NATO zishambulie sehemu fulani then wao ndio waingie
na kisha faster TV zao zinazomilikiwa na mbwa
koko zinawachukua na kuja kujaribu kutuokota
na kuamini kuwa Baba etu kipenzi anazidi
kudhoofika.
We tangu hawa jamaa wameivamia Libya ni mara ngapi umesikia waasi wameteka mji wa Misrata au
Zawia?
Kila kukicha tunasikia mji ambao waasi waliuteka
wiki iliyopita basi wameuteka na leo...hujiulizi kwa
nini?
 

Nimetumia hio quote kama thirty minutes ago.... Nimesoma post ya Gamba la Nyoka nikaona it is an OK post... but as a result of this post of yours na najua mostly you know what you talk about - If you don't mind i would like some justifications in blue in relation to Gamba's post...
 
Reactions: EMT

Tarehe 1 Septemba 2011 ni anniversary ya miaka 41 tokea Gaddafi awe madarakani. Now, put all the propaganda aside, do you really think, he will be in power on that date?
 

Simply because his post was a propaganda well written. Alianza post yake kwa kusema "Natoa tahadhari ifuatayo kwa wana jf:" as if sie Wana JF tuna haja ya kupewa tahadhari. Do you? Me no. That is how the people on the top do to the people on the lower. Kuwatahadharisha. That we should only listen to what the people on the top say. Full propaganda. Hapa JF everyone is equal. Hakuna kutahadharishana hapa. Believe on what you believe and don't believe on what you don't but don't warn people to induce them to believe on what you believe or what you don't believe.

Then akasema "Kwa mujibu wa alternative news nilizokuwa nazo ni hivi" Hiyo nayo propaganda. Kwanza ukiangalia hiyo quote, ni past tense. Anaongelea alternative sources alizokuwa nazo, ambazo zinaweza kuwa outdated by now. After all, there is no such a thing as alternative news. B'se hata link ya alternative source aliyoweka hapa ina copy news from Reuters ambayo ni moja ya western media anazosema zinaeneza propaganda.

Gaddafi kama anajiamini aache kuwa confirm hao foreign jornalists kwenye hoteli. Kama anajiamini na anafikiri anaonewa, then why he is confining them in an hotel? B'se vipi na mimi nikisema kuwa baada ya NATO ku drop bomu kwenye target za kijeshi, Gaddafi forces nao wana drop bomu kwenye residential area, then wanawafungulia hao foreign journalists na kuwapeleka sehemu ya residential ambayo Gaddafi forces wamelipua na kudai eti NATO ndio wamelipua? Would believe me on this? If not how then can you believe what Gamba la Nyoka wrote?

Soma pia na signature yake. Hataki Chadema kupokea misaada nje wakati Kikwete mwenyewe yuko nje muda mwingi akitembeza bakuli. Kama sio hypocrisy ni nini? You cannot fight a losing battle.
 

Sasa CHADEMA inahusika vipi? Hii mada inahusu mapambano yanayoendelea Libya siyo unatuletea pumba zako. Watu kama wewe huwaga mnaboa kwa kuwa so opinionated on everything, while in fact you know nothing. Kama hujui kinachoendelea huko Libya siyo lazima uchangie. Nenda kwenye siasa zako za CHADEMA na CCM.
 

Haha haaa. Losers utawajua tuu. You getting mad on me? Its not my opinion which is making Gaddafi to go down sir. Kama nakuboa huna hata haja ya kusoma "pumba" zangu. Hulazimishwi mkuu. Au kama posts zangu zinakuboa, bofya hapo "REPORT ABUSE" wataarifu Mods. Otherwise, it is better to remain silent and appear to be a fool, than to open your mouth and remove all doubt. Na fool utamjua tuu. S/he would pick the least important issue on the subject and try to make it the a big issue.
 

CHADEMA ina umuhimu gani kwenye hii maada? Jibu swali siyo unatumwagia pumba zako kama huna akili nzuri.
 
CHADEMA ina umuhimu gani kwenye hii maada? Jibu swali siyo unatumwagia pumba zako kama huna akili nzuri.

Mkuu do yourself a favor. Acha kurukia. Kwa vile hii ni post yako ya pili kwenye hii thread, pitia kwanza posts zote ili ujue issue ya Chadema imeingiaje hapa. Pia watu wame mention Kikwete kwenye hii thread mbona na wao huwaulizi? Don't make yourself look too sloppy by picking the easiest issue.
 
Audio message from Gaddafi broadcasted by Libyan state TV .

"I can't understand how Libya is now in this state... you need to find the people behind this state... behind this tragedy.
"You need to Love Libya... how can you allow those people to play with Libya? Instead of being happy we're sad.
"People who were happy last Ramadan are sad this Ramadan.

He said he expected the opposition to claim his message was pre-recorded:
"They will say this message is recorded ... It's Sunday, the 21st of August. Time is 1:37 Libya time. "It (the uprising) is not a Libyan project. No Muslim can follow this project... It's not an Islamic project, it's not a Libyan project, it's not a reasonable project. Those people are destroying Libya."
 

Unaharibu mlolongo wa hii thread kwa kuingiza upuuzi na kujifanya unafahamu vitu ambavyo hujui. Bora hata mtu anaye copy-and-paste latest news developments from Tripoli from Reuters/CNN kuliko wewe kuingiza ujinga wako wa CHADEMA sehemu ambayo haileti maana yoyote.
 

Mkuu tafadhali, heshimu uhuru wa maoni na jitahidi kujijengea uwezo wa kushawishi umma kwa hoja zenye akili kama baadhi ya wana JF waliochangia hoja hii. Si sahihi kumtukana mchangiaji mwingine kwasababu tu alichoongea/alichoandika ni kinyume cha mtazamo wako. Dhoofisha hoja kwa hoja na si kwa matusi wala chuki zisizo na tija.
 

Ndio maana nimekwambia usome posts zote ili ujue Chadema imeingiaje hapa. Sio unarukia thread kama kiruka njia. Kama naingiza "upuuzi" na kujifanya kufahamu vitu ambavyo unadai sifahamu kinakuuma nini? Kama hupendezwi na "upuuzi" na "ujinga" wangu then badala ya kulalama bofya hapo "REPORT ABUSE". Simple. Hasira zako huko huko. Hazinihusu. Watu wamejadili mpaka akina Nyerere na Kikwete huku. lakini umeyaona ya Chadema tuu?
 
CNN:Tunisian government recognizes rebel Transitional National Council as the legitimate government of Libya.
 
Ninyi wote munatuboa. Ustaarabu, ukiona kuwa wewe unayefikiri amepotea ukamuelemisha halafu response yake si ya kujifunza au kuelimisha pia with facts, mpuuze ili wengine tusiendelee kusoma kujua tu ni watu munatupiana maneno kwa ajili ya kushambuliana kila mmoja kulazimisha ushindi kwa hoja za kulazimisha. Hadi sasa sioni hoja wala mshindi kati ya pande mbili hizi. Ninawashauri mukaishia hapa.
 
.....................................
wanafikiri Gadaffi ni kama Rostam?
Akijambishwa anaachia madaraka?

teh teh Gaddafi ni nguli, na hata wakifanikiwa kuuondoa utawala wake wakae wakijuwa hicho wanachokitolea udenda hawatakipata...
Hapo umesema kweli Wengi wangependa kupata dalili ya ukweli wa haya maneno.
Kama ambavyo tunajua hali zilivyo kwenye sayari ambako hatujafika kwa kutumia vile tulivyonavyo hapa ardhini.Vivyo hivyo kwa kutumia akili tulizonazo na matukio yaliyopita hatuhitaji kuingia mitaani Libya au ndani ya ngome za majeshi yanayopigana kujua hali inayofuatia baada ya hapa.
Ukweli tunaujuwa kwa kuangalia hali kule ambako US na allies waliingia kiulaini na hata kuungwa mkono na watu kabla hawajaerevuka baadae.Kwa sasa ni sahihi kusema Amerika na sera zote za vita tangu Bush kule Afghanistan hawajawashinda Taliban kiasi kwamba tishio lao linawafanya US washauriane kuondoka hata kwa aibu.
Iwapo hali kule ni hivyo, kwa Libya ambako mambo yamekwenda kombo tangu mwanzo itakuwa mbaya zaidi.Haitowezekana kuiteka Libya na kuikalia kwa vyovyote na mafuta hayatochimbika kama ilivyopangwa.
Gadhafi kama binadamu hatodumu lakini uhakika atawacha umma ambao hauna urafiki na waasi wala NATO.Baada ya hapo kilicho sahihi ni kuwa UN,NATO na US watakuwa wamefanikiwa kuivuruga nchi ya Libya lakini malengo yao yako hewani kama ambavyo wamefanikiwa kujenga barabara Afghanistan lakini wananchi hazijawashawishi kukubali ukoloni.Nafasi ya kutungua helkopta wakiipata wanaitumia.
Swali ni jee na Amerika nayo ina uwezo wa kuhimili hali hiyo kwa muda gani huku ulimwengu tofauti na zamani wanawaangalia kwa mtazamo wa watu waovu badala ya wakombozi na watetezi?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…