The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi


Source please!
 

Uongozi mbovu unaokana na wanapiga kura wenyewe. If they want a positive leader, they should use their vote to do so. Niliposema wananchi ndio wawe madikteta, nilikuwa na maana kuwa kwa kutumia kura yao, wa-dictate who should lead them.
 
Mkuu nitakujibu hii mara baada ya haya mambo kwisha kama wanavyodai in a few hours Gaddafi atakuwa history.Kwasasa nafwatilia different media outlets.Nitakujibu vyema nikitulia kwani ni mjadala mzuri tu.

Ila kwa kukugusia,kuna manufaa kwa waafrika for the slavery abolition na si kwa manufaaa ya kiuchumi yaliyotokana na changes for their interests peke yake kama ulivyoainisha.Hata uhuru ulipopatiikana sababu zinazotolewa kama hizi zipo.However nii hatua yenye manufaa kwetu hata kama waliutoa kwasababu za tofauti kwasababu ukweli ni kwamba tulikuwa tuna fight against all these injustices since slavery.Kuna sababu nyingi tu kutegemeana na centric point of view ya jamii husika.Ni kweli mambo mengi yaliyotokea ie abolition,independence etc yanaweza kuwa justified in too many ways.Lakini kwa upande mwingine ni hatua kwa human dignity.Huu ni upande wa tofauti na economic reasons za walio abolish.Lakini hii haina maana kuwa ndo tumeshashinda.Ni hatua.

Posti yako hii kuna mengi ninayokubaliana nayo.Pale nisipokubaliana napo ni justifications za hao super powers(NATO) kufanya hayo wanayoyafanya kwa reasons walizotoa,kwani naamini kuwa hasara za vita hiyo zinazidi manufaa yake.(At least kwa mwananchi wa taifa husika ambaye aliambiwa kuwa ameenda kulindwa)Kama unaamini kuwa wali abolish slavery kwa manufa yao,then unawaamini vipi wanapoenda kuivamia Libya kwa reasons walizotoa?Ndugu yangu nisikufiche kama viongozi wetu wakifanya mambo ambayo yatatuondolea umasikini na kutufanya wenye furaha na jamii yenye maendeleo,basi kwa upande mwingine watakuwa wanamwudhi mnyonyaji ama hawa ma imperialists.Na hivyo watawaondoa madarakani.Huo ndo ukweli.Kuna nchi ngapi zenye watawala wenye kuwafanyia mbovu wananchi wao kwa kila namna kuanzia ufisadi nk.na kuwaacha masikini wa kutupwa lakini wanakumbatiwa na west?
Any ways ntarudi kama nilivyo kuahidi.
 
Reactions: EMT

subiri link wakati ukiiweka ya CNN.
 
Unawaita waasi sio na Gadaffi ni nani? au hata wewe ukitaka democracy and freedom we can call you muasi... poor choice of words. Its over man forget about it na tuwaachia walibya wa sort out and rebuilding their country. Gadaffi had many years to change and help his people but he chose brutality and oppressing his people. Yes, its doesn't look ok when western countries help you but Lybians need support from outside. Who's next ... kikwete, mugabe, museven,

 

Sawa mkuu. You off to Green Square? LOL
 
Plus secret services, wale walikuwa ni show off. Kulikuwa na presidential guard, I wonder imekuwaje mambo yakawa laini kiasi hicho kwa rebels

Kwenye ulinzi wa ngome, ni kawaida kujenga buffer zone kubwa ya kutosha. Kwa vile ngome ya Ghadaffi ilikuwa ni Trippoli, hivyo buffer zone ilikuwa ni hiyo miji inayozunguka Tripoli ikiwamo Al-Zawaia, Al-Zizia na mingineyo; huko ndiko kulikokuwa na ulizni mzito. Baada ya kuvunja ulinzi wa ngome huwa ni rahisi sana kuikamata ngome. Hata kwenye vita yetu na Uganda, tuliikamata Kampala kirahisi sana baada ya kubomoa Mbarara, Lukaya na Masaka. Hata huko Iraqi, majeshi ya marekani yaliingia kirahisi sana Baghdad ya kubomoa ulinzi wa buffer zone
 
Unamkumbuka huyu mhuni, sasa yupo rumande ... lesson (kwa ridhiiwan) unataka kuwa criminal kama baba yako ndio utapoishia. Elimu na money hazisaidii kama huna brain
 
Duhu, Gaddafi bado anafoka!

Muammar Gaddafi makes rallying call to his supporters to come out and fight rebels on the streets of Tripoli.

"You, you leave your houses and carry out your duty. Dead or alive, come on, go to Tripoli, from within and from outside." The women who trained to use weapons should go out and use their weapons.

You are all armed in Tripoli so there is no excuse, get out.

The agents of colonialism consist of only small groups.

How can you allow the city of Tripoli, Libya's capital, to sit under colonialism once again after the (1969 coup) revolution and freedom?

How can the armed people allow a group of mercenaries, traitors and rats to open the way for colonialism in the city of Tripoli? This is rejected, it's a dangerous thing.

If Tripoli burns and becomes like Baghdad, what good will that do, why? How can we allow Tripoli, which was safe and beautiful, to become a stage for military operations?"

Al-Jazeera blog

 
Walinzi wa hoteli ya waandishi wametimua!!!!!!!

Lazima walale mbele hapo. Mkuu what is your opnion on this? Is this really a true revolution? Nilikuwa nawasikiliza experts wanabishana.Mmoja anasema, ukulinganisha na Tunisia na Egypt, this is the true revolution because they will have to rebuilt the country from the scratch including jeshi na kila kitu. Hii ni totauti na revolutions za Egypt na Tunisia because majeshi hayakubadilishwa. Yamebaki vile vile. Mwingine anasema, unlike Egypt and Tunisia, this is not a true revolution because wamesaidiwa zaidi na external forces, i.e Nato.
 
Tripoli, Libya (CNN) -- Two of Moammar Gadhafi's sons -- Saif al-Islam and Saadi -- have been arrested by opposition forces in Tripoli, rebel officials said.
There was no immediate reaction from Libyan government officials to the claims. CNN could not confirm the arrests, and there was no documentation provided by the rebels to verify the report.
The arrests come as pictures began to emerge early Monday from Tripoli's Green Square, where Gadhafi supporters have gathered regularly, showing those opposed to the regime celebrating the rebel fighters' inroads. Joyous people could be seen celebrating, waving the rebel flag and even flashing the "victory" sign.

Ali Said, general secretary of the Benghazi-based Transitional National Council, said late Sunday that Saif al-Islam Gadhafi, a top official in the regime, had been arrested in the capital.In the rebel hub of Benghazi, meanwhile, CNN iReporter Sammi Addahoumi showed video of large, boisterous crowds in the city's Freedom Square reacting as reports of the developments played on a large screen
"This is the hour of victory," he said. "This hour is the hour of defiance."

CNN's Raja Razek, Jomana Karadsheh, Matthew Chance, Sara Sidner, Christine Theodorou, Kamal Ghattas, Greg Botelho, Mark Phillips, Kareem Khadder, Roba Alhenawi and Barbara Starr and journalist Mike Mount contributed to this report.


 

Lakini mpaka sasa, pamoja na Lybian TV kutokuwa hewani tena, Walibya wengi bado hawaamini. 40 years under gadaffi rule sio mchezo kaka. Unaweza ukafikiria unaota vile. Gaddafi mwenyewe hapo alipo atakuwa anaona mauzauza vile. Ulevi wa madaraka mbaya sasa hasa unapoondolewa kama hivi.

Ningependa kujua hali ya yule news presenter wa Lybian TV aliyechimba biti mchana kuwa haingii rebel studio. Rebel wametinga ndani ya Libyan Radio sasa.
 
Libyan rebels capture Tripoli and arrest dictator's son Saif: 'We'll give Gaddafi safe passage. . . if he steps down'
  • Forces claim the city is totally under their control
  • Thousands gather in Green Square to celebrate victory
  • Gaddafi's security forces surrender to the rebels
  • 375 people dead with at least 1,000 injuries
  • Gaddafi says Tripoli 'is now like Baghdad' in latest audio message
  • Rebels chant 'We are coming for you, frizz-head' as they enter city
  • Downing Street says 'end is near' for regime
  • By ANDREW MALONE
Last updated at 12:53 AM on 22nd August 2011
Rebel leaders have taken control of Tripoli and arrested Colonel Gaddafi's son Saif al-Islam.
On a night of extraordinary developments in the Libyan capital, the rebels advanced through the city capturing the central Green Square as the regime crumbled.
Thousands took to the streets to celebrate the rebels' success, firing guns into the air, chanting loudly and destroying symbols of Gaddafi.

During their advance the rebels also confirmed that they had captured Gaddafi's son Saif. There were also unconfirmed reports another son, Muhammad, had surrendered.
Sidiq al-Kibir, the rebel leadership council's representative for the capital Tripoli, confirmed the arrest, before leader Mustafa Abdel Jalil, gave further details.


Read more: Libya: Tripoli captured by rebels as Colonel Gaddafi's son Saif arrested | Mail Online
 
Gaddafi ameadhirika! Swali ni je serikali yetu itawapongeza au kuwatambua "waasi"? Mh. Membe kazi unayo!
 
According, to Al Jazeera reporter, reporting live in Benghazi, says the celebrations at Benghazi square have changed completely after receive information that the International Criminal Court has ordered Gaddafi's son, Saif al-Islam, to be handed to them. They are absolutely angry. They want him to face justice in Libya.

According to ICC Chief Prosecutor Luis Moreno-Ocampo, the ICC will hold talks on Monday with Libyan rebels on transferring Saif al-Islam Gadhafi, to its custody.
 
mtoto mwingine wa gadaffi kakamatwa.so watoto watatu wa gadaffi wapo chini ya ulinzi.kuna ndege mbili za south africa zimetua uwanja wa ndege tripoli.na inasemekana gadaffi wamemzingira nyumbani kwa mtoto wake wa kiume mkubwa.mia
 
***** mno...

south africa wangewapokea...
zimbabwe pia..
saudia arabia pia.....

but ujanja mwingi mbele kiza....
 
Gaddafi ameadhirika! Swali ni je serikali yetu itawapongeza au kuwatambua "waasi"? Mh. Membe kazi unayo!

According to constitutional law, a revolutionary government, is legal and valid government. Serikali yetu inaweza isiitambue serikali mpya kisiasa, but that will not nullify the legality of the new government. It is going to be a revolutionary government na serikali yetu si iko chini ya Chama cha Mapinduzi? Wanamapinduzi si huwa wanatambuana Mkuu? 🙂
 
Some reports that two South African aircraft were seen fleeing out of Tripoli airport.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…