The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

No wonder wanadai eti situation ni fluid,kwani hawakujuwa itakuwa fluid kabla ya mission yao ya kwanza ambayo hata hivyo haikutakiwa iwe ya kuiondoa serikali madarakani?Mission primarily ilikuwa ya no fly zone kuwaprotect civilians.Ikageuka ya bombing,then kusapoti rebels,sasa Gaddafi aondoke,na huku wakijiuliza mafuta yatagawanywa vipi.

Wangeweza wakambana asimamie mabadilko.Hilo lingewezekana kwa negotiations.Tatizo ni kwamba silaha zinatengenezwa kila kukicha na ndizo zinatumia pesa nyingi za bajeti za hawa watu.Na ni lazima zipate pahala pa kutumika kwani si za mapambo.Ni kibiashara zaidi.Na wataingia hasara zisipotumika.Hivyo basi matumizi yake ndo haya na malipo yatatokana na mafuta pamoja na reconstruction.
 
Last edited by a moderator:
Wameshashuka tayari special forces(covert ops)wako Tripoli.Labda waongeze wengine zaidi.Gaddafi katawanya makombora yake mengine nje ya Tripoli zikiwemo pia 20,000 shoulder to surface missiles,na mengine wanadai nchi za jirani.Kwahiyo wanaogopa hawajui mahali halisi zilipo na Gaddafi loyalists wanaweza kuzitumia any time.Hivi sasa wako wameizunguka compund yake ya Bab Al Aziziya.Ndege za NATO zinafly very low on top of it na huku ground forces zikiwa zinajaribu kuitake over.Wanaamini Gaddafi yumo ndani kwenye bunkers.Pia kwenye hoteli kuna mapigano.Hoteli hiyo ndipo walipo waandishi wa kimataifa,na pia iko karibu sana na compund ya Colonel Gaddafi.
Lets wait and c.
 
Obama urges Gaddafi loyalists to lay down arms

UPDATE 2-Obama urges Gaddafi loyalists to lay down arms | News by Country | Reuters

Hawa wapenda rasilimali za watu wamechanganyikiwa. Wakati wao wanawapa silaha "waasi" wanataka jeshi la serikali lidondoshe chini silaha zao na wasalimu amri.


U.S. stepped up pace of Libya air strikes -Pentagon

FACTBOX-U.S. stepped up pace of Libya air strikes -Pentagon | News by Country | Reuters

Wale wanaosema US iko pembeni katika hii vita ni vita ya Franca na Britain. Jiridhisheni kwa kujisomea hapo.


Na huu hapa ndio unafiki mwengine. Wakati wanawapa silaha "rebels" aka wanajeshi wa NATO na US wa ardhini hawaoni au hawazingatii athari yoyote.

After the fall, US concerned about Libyan weapons

After the fall, US concerned about Libyan weapons | News by Country | Reuters
 
Gaddafi son rallies loyalists for Tripoli fightback

A son of Muammar Gaddafi, previously reported captured, made a surprise appearance with jubilant supporters in Tripoli overnight, urging loyalists to fight off rebels who say they control most of the Libyan capital.

He took journalists to his father's fortified Bab al-Aziziya bastion in central Tripoli early on Tuesday. Saif smiled, waved, shook hands with supporters and flashed victory signs.

"We broke the back of the rebels. It was a trap. We gave them a hard time, so we are winning," he said.

"Take up arms today," Saif told cheering supporters waiting to be given weapons. "Inshallah (God willing), we will attack the rats today."

http://af.reuters.com/article/topNews/idAFJOE77M00320110823
 
Nakubaliana na ushauri wako na ndio maana nimeamua kurudi.Kiburi kama cha NATO si kizuri.
Mimi nadhani kama ni kuendelea hii thread basi kichwa chake hakipaswi tena kuwa hicho.Nionavyo Askari ana cheo fulani hapa JF kama si hizo payroll,ndio maana imekuwa hivyo.

Mmoja kati yetu amebainisha kuwa sasa NATO watamwaga mabomu kama kichaa ili aibu yao isiendelee.Hilo ndilo pia lililofanyika siku ya 21Aug wakati wahuni wakimiminwa Tripoli kutokea baharini.Hapo ilishindikana.

Kwa kweli ni aibu kubwa kwamba wazungu,NATO na western media zinafanyiziwa na kuendeshwa puta kiasi hichi na wahuni wachache waliobebeshwa jina la rebels.

Siko na mawazo kwamba Ghadafi atadumu milele lakini naridhika kwamba ni mwamba na amewatoa jasho wazungu na NATO.
 
Mohammed Gaddafi, one of three sons of the Libyan leader captured by rebels during the takeover of Tripoli, has escaped house arrest with the help of loyalist fighters...!
 
NATO wanaendelea na mvua ya mabomu

Rebel forces attack Gaddafi compound... HAPA panatatiza vipi Saif aliweza kuwapeleka journalist hiyo sehemu kama rebels wapo hapo?

Britain's Sky TV also reported that smoke could be seen billowing from the compound following a NATO air strike.

Rebel forces attack Gaddafi compound | Top News | Reuters

Explosions around Gaddafi compound

Smoke seen rising from Libyan leader's fortress as loyalists and rebels battle for control of Tripoli's streets.

Explosions around Gaddafi compound - Africa - Al Jazeera English
 
Hawa jamaa wa MATHABA wanaongoza kwa propaganda za kitoto. Nimewafwatilia kwa muda lakini sioni kama wanalo la maana wanaloongea. Wanatumia taktiki za mfumo wa habari wa kikomunisti (umepitwa na wakati). Hebu soma hivi vipengele:

From the start of this attempt to take out Africa's most popular hero but also the man who is responsible for setting much of Africa free -- including South Africa -- and who has continued to provide infrastructure investments in Africa's future in the shape of health, education and communications -- from the start of this war of aggression on Africa's Crown, Libya, and her King of Kings, Qaddafi, this has been a media war.

So, as Mathaba *alone*
has promised not only in March when NATO started its attack, but also this past weekend when all the world media -- the entire world media who dutifully echo western media in their reports: Malaysia, Thailand, China, Australia, Latin America, all except Cuba alone as the only country which is not echoing western propaganda (even Iran, China, Russia are) and North Korea which has no media -- the entire world media stood against Mathaba's reports throughout, which have always proven accurate and which have brought us even more readers than before.

Halafu hapo hapo wanatembeza bakuli kinyemela:

Isn't it time that you supported us? Unlike the compromised media, we are not in the pay of advertisers who would dictate terms, nor do we use Google ads which would bring in plentiful revenue give our reader numbers, out of principle as their ads are not appropriate nor quality, nor are we owned by any zionist media barons, nor are we funded by donations from political parties, or owned by intelligence services. It is you, the reader alone, who keep us functioning. So, DONATE NOW or SUBSCRIBE.

My take: Ni watu kama akina Ami na MpigaKelele ndio wanawasomaga na kuwapapatikia hawa jamaa MATHABA (halafu wanatulazimisha na sisi eti tuwaunge mkono!) Tafadhali enyi watu wawili jihadharini sana na propaganda zisizo na mashiko!
 
<br />
<br />
Nani alisema mzungu akiua ni halali?
Uliza kilichompata hitler, slobodan, mladic, mussolini na madikteta wengineo wa kizungu hawa hatimae walface justice.

Kwa hiyo mzee mziam Sarkozy nadni ya ICC alikiri kudondosha silaha kwa waasi against the NATO mission na Mzee cameoun Ndani the hague kwa kuua raia 90 wasio na hatia akidai ni compound ya gadafi??. Vipi Bush nae mtamshitaki kwa Kuvamia Iraq bila kuzipata silaha za hatari. Acha maneno wathungu wanatu... Gadafi alikuwa kinga yako wewe mtoeni halafu utaniambia afriak itakavyokuwa kama nyanya bovu. mweee
 

media zote hasa za west wanapiga propaganda sana, jana nilikuwa na switch over channel ukiangalia hii wanakuonyesha wanashangalia lakini wanaoshangilia ushindi ni wale wale hasa wale jamaa wawili waliokuwa wanabebana, ukienda kwingine wanakwambia rebel wapo hapa green guard lakini haionekani hicho kiunga cha green, ukirudi kwingine wanakuonyesha rebel eti wamepumzkia chini ya mwembe wanapanga jinsi ya kuingilia compund ya Gadafi.

Lakini hata wakimuondoa Gadafi atakuwa amewachemsha sana na jana Kameruni alivyokuwa anahutubia ukimwangalia vizuri kama amedata data hivi,
 
wengi wanaweza kuwa wamefurahia kilichotokea libya lakini sishangai hata siku majeshi ya marekani yalipo uteka mji mkuu wa iraq baghdad watu walishangilia hivyo hivyo lakini leo wanalia wanajuta na washaona kwamba uhuru waliokuwa wanadhani wataupata hakuna lolote.
japo kuna mengi mabaya yamefanywa na gadaf lakini mazuri pia ni mengi. nchi ngapi barani afrika zina azina ya mafuta lakini ni libya tu ambapo huduma za msingi za kibinadam ni bure. hakuna mtu kulala njaa, elimu bure, serikali inajinga hata nyumba kwa wananchi bure, afya bure na mengine mengi tu. lakini nina hakika sasa yote yamefika kikomo wewe ngojea tu tutakuja kuambiana\
kwanza sidhani kama kutakuwa na amani, hao hao waasi wataanzisha makundi baina yao kugombea madaraka kwa kuwa ni wazi watu wajitolea kupigana na gadafi ili akianaguka waweze kuambulia madaraka sasa najua watakapo yakosa hapatakalika.
AU haina lolote na hao Waarabu aliosimamia kuwatetea mpaka leo wanafaidi mafuta nao wamemgeuka. but Kwangu Gaddaf was one among many leaders whom i do respect.
 
Sikatai kwamba Gaddafi amewachemsha sana NATO na kwa namna fulani ameonyesha uwezo wa kutanua kifua na kutokukubali kuachia kiti kirahisi. Nisipokubali ni hapo jamaa wa MATHABA wanapodai eti Gaddafi ni Africa's most popular hero au Africa's Crown, and her King of Kings. Who the hell are they to make such patronizing assertions?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…