Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,036
- 9,331
ashafanya mashambulizi mengine ulaya miaka ya nyuma,kwa kifupi gadafi na west ni marafik wa zamani ambao wanajuana kwa game zao chafu,sema this time,luck is not on gaddaf's side,ndo maana USA wanasema its USA policy,gadaf to leave,sasa wamepata sababu za kumtoaWatu wanadhani gadaffi ameanza kupambana na west miezi sita iliyopita, fact ni kwamba jamaa alishaipeleka vita uingereza kwa kuwasaidia ira, wale jamaa wa north ireland, na jamaa alisharushiana makombora na wamarekani kwa kugombea mpaka wa bahari ya kimataifa mwanzoni mwa miaka ya 80, na kisha wamarekani walishaishambulia tripoli na benghazi kwa ndege za kivita mwaka 1986, then ukijumlisha vikwazo walivyomuwekea vya zaidi ya miaka 15. Pamoja na struggle zote hizi jamaa alifanikiwa kujenga uchumi bora na wa kujitegemea ukilinganisha na nchi nyingi ndani ya bara la afrika.
Nafikiri unaota wakati huu watu wanachezea ndani ya bustani za ikulu ya Gaddafi.mtoto wa muammar Gaddafi seif Al islam amejitokeza katika mji Wa Tripoli na kudai kuwa ni mtego waliokuwa wamewategea waasi na kuingia mtegoni, amedai kuwa wameweza kuvunja uti wa mgongo wa kikundi hicho cha waasi, kwa mujibu wa vyombo vya habari vimethibitishwa kurudishwa nyuma, na kusema kuwa mtanange ni mkali mstari mbele.
na hii ni moja ya picha dogo akiwaambia bado yupo mjini nawaache majungu..
[/QUHOTE]
Kwa kweli hadi nalala usiku wa jana sikuwa na raha kwani kila source niliyotembelea hadi zile ambazo ni pro Ghadafi zilionesha kuwa Khatima ya Ghadafi imewadia. Leo napata nguvu kuona kuwa ilikuwa trick nzuri sana kuwaruhusu tebels waingie Tripoli then ni kuwafurusha kwa aibu. Hongereni Walibya kwa kupigania rasilimali zenu dhini ya wakoloni.
Gadafi nimemkubali
Kumbe aliona akipigana nje NATO wanamuona vizuri na wanamshambulia, sasa kawaacha rebels wakaingia Tripoli, aisiiii kawamaliza karibu wote waliobaki wanatimuka vibaya sana kutoka Tripoli. Kweli huyu ni mbabe wa kivita.
Hata mie nilikuwa nashangaa Gadafi ashindwe hata kurusha skadi moja mbili, ama kurusha ndege . Rebel wameisha kama sisimizi tripoli, bila NATO kushuka chini wasahahu kwa Gadafi
Wanajua mbinu za vita aisee
hawa wakenya kwao wana migogoro mingi sana-washuhulkie mambo yao kwanzaSerikali ya Bongo bado inasuasua!
Wakenya wanazengea mafuta ya Libya
Saitoti - Kenya Ready to Help Restore Libya
Benjamin Muindi. 23 August 2011
View attachment 35875
Nairobi - Kenya has expressed willingness to work with Libya's interim authorities in restoring the country.
Acting Foreign Affairs minister George Saitoti said Tuesday that Kenya will co-operate in restoring order, forging reconciliation and national cohesion, restoring infrastructure and reviving the economy.
"Kenya stands ready to work with the people of Libya, the African Union and the international community to help build a new Libya," Prof Saitoti said in a statement.
He asked the interim authorities to establish a political dialogue with both the AU and international community to help in formulating a new constitution and holding free and fair elections.
"With the impending collapse of the regime of Colonel Muammar Gaddaffi, Kenya urges that all efforts be exerted for the early restoration of peace and stability in Libya," he said.
"Consistent with the AU road map for Libya, Kenya has always believed that only a political solution will make it possible to fulfill the mutually reinforcing objectives of peace and democracy."
Habari zaidi
hizo data labda ukizilinganisha na maisha ya hapa tz ndo utaona walikuwa wanafaidi,ila kuna nchi zina mambo mazur kuliko hizo-then hata umpe mwanadamu nini,kaka hana uhuru wa kuzungumza,kupinga hakuna cha maana ulichofanya,ndicho alichokuwa hatoi colonel gadafI hate Askari Kanzu, and the rest who are Supporting chaos and Violences happening in Tripoli coz of NATO... Tripoli was not like this 3days back..There is no humanitarian intervention over there.. Media is under propaganda.. Special forces claimed to be deployed in Tripoli, but we are just cheering on Western recolonization!! What a shame to people like Kanzu.. Damn it!! Independent Journalists are being threatened.. NATO is operating in Tripoli with special forces claimed to be deployed.. Rebel have no any support from Libya.
The cost of one barrel of crude oil has decreased by $4 as rebels advances in Tripoli.. What does that tells u?? Why NATO not going to intervene in Syria, Bahrain, Israel? Why NATO have never supported LRA in Uganda?? Why Libyan rebels are so special?? First time UNSC claimed that thousands have been killed by Ghaddafi.. Later on ICC claimed some few hundreds have been killed by Ghaddafi.. Where is the truth?? Why is western rubbished African peace roadmap?? Cant we solve our own problems?? Why direct assassination of Ghaddafi?? Why didn't the UNSC intervene in UK riots?? Why Queen Elizabeth is in power for such a long term??
PressTV - 'West media reports on Libya false'Prison Planet.com »
LIVE UPDATES: Fighting rages at Gaddafi compoundPrison Planet.com »
MI6 Directed Rebel Terrorists In Tripoli SiegePrison Planet.com »
US, NATO Officials Openly Admit To Arming, Training Libyan Rebels, Forcing Regime Change
The truth about Libya -
108morris108's Channel - YouTube
Libya S.O.S.
Libya S.O.S.: Gaddafi
Life in Libya with Leader Gaddafi:
1. Electricity for household use is free,
2. interest-free loans
3. during the study, governmant give to every student 2 300 dolars/month
4. receives the average salary for this profession if you do not find a jobafter graduation,
5. the state has paid for to work in the profession,
6. every unemployed person receives social assistance 15,000 $/year,
7. for marriage state pays first apartment or house (150m2),
8. buying cars at factory prices,
9. LIBYA not owe anyone a cent,
10. free higher education abroad,
11. 25% of highly educated,
12. 40 loaves of bread costs $ 0.15,
13. water in the middle of the desert, drinking water,
14. 8 dinars per liter of oil (0.08 EUR),
15. 6% poor people,
16. for each infant, the couple received $ 5,000 for their needs.
[video]http://www.youtube.com/user/RussiaToday?feature=chclk[/video]
hizo data labda ukizilinganisha na maisha ya hapa tz ndo utaona walikuwa wanafaidi,ila kuna nchi zina mambo mazur kuliko hizo-then hata umpe mwanadamu nini,kaka hana uhuru wa kuzungumza,kupinga hakuna cha maana ulichofanya,ndicho alichokuwa hatoi colonel gadaf
Mkuu ndio umeigundua leo hii clip?hebu sikiliza na hii
108morris108's Channel - YouTube