The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Ooh Kadaffi ohh Kadaffi simba wa vita umepotelea wapi Kadaffi. Mashabiki zako tanzania wanakumiss, toka huko uliko japo uwahakikishie wewe bado ni mfalme wa wafalme, kamanda wa vita usiyeweza kukaa frontline, toka japo uonekane kwa sekunde moja tu uwape mashabiki wako nguvu ya kukutetea hapa JF. Ukimya wako unawapa wakati mgumu mashabiki wako wa kuanza kuguess your next move. Kadaffi wewe si kanali wa ukweli. U wapi basi kanali? Ulituahidi utakufa martyr kuliko kukimbia lakini ulichofanya ni kinyume, hujafa martyr ila umekimbilia kusiko julikana. Tuseme ulikuwa unatulisha propaganda tupu? Yaani ina maana ulikuwa unawajaza hamasa tu vijana wa kilibya wabebe mibunduki mizitomizito afu wafe kwa niaba yako wakati wewe hata bastola huwezi ikamata kwenda uwanja wa vita?
Sitaki kuamini eti sasa unaishi kama zile siku za mwisho za sadam husein katika tundu dogo! Kaka kwa nini hutimizi ahadi zako? Basi tu unatupa headache ya moyo mashabiki wako.

Wasalaam
Utantambua
(Kwa niaba ya washabiki wako)
 
<br />
<br />
unajua wajnga wasiokaa na kupma mambo kwa upana wake watamlaumu gadaf. Inkera unapoona mtanzania/mwafrka anasifia kung'olewa kwa ghadaf

KOSA KUBWA LA GADAF, NI YEYE KUTENGENEZA WAFUASI, BADALA YA KUTENGENEZA VIONGOZI. Ni ujinga huo huo unaofanywa na Mugabe. Maana angekuwa ametengeneza viongozi, asingekuwa na haja ya kutawalla nchi kwa miaka 42! Hivi Mandela na Ghadaf, nani hasa kajitolea nafsi yake kuwatetea wanyonge?. Mbona mzee wa watu aling'atuka mapema? Uongozi raha yake ni kupokezana kijiti. Kwa hiyo ankal, wanofurahi kung'olewa kwa Gadafi si kwamba hawatambui mambo mazuri aiyofanya, no wanafurahi kung,olewa kwa element za dictatorship kwenye vichwa vya viongozi wa AFRIKA maana naona Museven naye anaelekea huko. Je akilaumiwa kwa kosa hilo ni ujinga? au ujinga ni kudhani kuwa kwa miaka yote 42 , hakuna kiongozi mwingine anayeweza kuendeleza mazuri ya Gadafi ?
 
<br />
<br />

Hii nimeipenda mkuu
 
Mnaomtukana Ghadaff hamna maji, wala umeme, achilia mbali mkiugua mnafia njia lakini hapa mnabwabwaja kama mnaishi Dunia yenye Neema nyie mlioshindwa hata kuibana serikali iwashe japo umeme tu!!! kaeni kimya nyie watu wa Libya wanampenda Kiongozi wao na Wala hiyo colonial mind inayowasumbua haitaisha...mtatawaliwa miaka na miaka hata hapa bongo wahindi wanawatawal bisheni!!!
 
Somoche, wewe unaemsapoti Ghadaff maji na umeme unao? Af unasema ati "mtatawaliwa miaka na miaka hata hapa bongo wahindi wanawatawal". Sasa wewe je hao wahindi hawakutawali? Acha hizo, mazee! Hatumtukani Ghadaff, hapa tunajadiliana tu.
 
kaeni kimya nyie watu wa Libya wanampenda Kiongozi wao...!!!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Na hao hao walibya ndio wamemfurusha kutoka katika kasri lake na sasa anaishi kwenye mahandaki kama digidigi. Sasa atakufa kwa kihoro kuona keki ya taifa aliyokuwa ameihodhi yeye na familia yake iko mikononi mwa wengine. No more luxury parties, no more spotlight, no more security from virgin ladies, atakufa siku si zake kwa mawazo
 
Somoche, wewe unaemsapoti Ghadaff maji na umeme unao? Af unasema ati "mtatawaliwa miaka na miaka hata hapa bongo wahindi wanawatawal". Sasa wewe je hao wahindi hawakutawali? Acha hizo, mazee! Hatumtukani Ghadaff, hapa tunajadiliana tu.

Mimi nina maji ndio na umeme pia ninao...issue hapa ni watu kuacha kuwa wakweli wanalishwa sumu na wazungu hawa hawa waliokuwa wanamwita mtu kama Mandela Gaidi na Muuaji leo hii wakimwita hivyo Ghadaff halafu waafrika mnashangilia wao wanatuona Mazuzu tuliopitilza and for that matter ni ukweli..wale wanasaka mafuta tu wala sio lingne lolote
 
Well said mkuu! kwa kuongezea tu ni kwamba wananchi wa Libya wameichoka sura yake. 42 years is more than enough! Gadaffi must go now
 
Mimi nina maji ndio na umeme pia ninao...
<br />
<br />

Si bure utakuwa wewe ni riz1 mtoto wa ikulu.

Tukirudi katika mjadala: watu wakikuchoka wamekuchoka tu hata uwape maelfu ya dola kila siku. Hoja ni rahisi: hawakutaki ondoka, kwani ni lazima yeye gadaffi tu awatawale? Yeye ataishi milele? Akifa nani atawatawala? Uongozi ni kupokezana vijiti, watu wamesubiri weeeee miaka 42 hakuna dalili ya kumpa mtu mwingine kijiti so opportunity imetokea ya arab awakening wamemlazimisha kwa nguvu akiachia kijiti
 
Ukitaka kumpiga nyani mwonyeshe mfano kwa kujipiga mwenyewe kwanza.
 

it seems like another phase of propaganda has started aimed at removing the hero from "the hearts and minds of libyans and the world". These people are the masters of deception!!!!!!!
 
African Union (AU) bado wanaweweseka. Ligi ya waarabu wawatambua "waasi".

The Arab League has given its full backing to Libya's rebel National Transitional Council (NTC) as the legitimate representative of the Libyan people and said it was time for Libya to take back its permanent seat on the League's council.

"We agreed that it is time for Libya to take back its legitimate seat and place at the Arab League
. The NTC will be the legitimate representative of the Libyan state," Nabil Elaraby, the League's secretary-general, told reporters in Cairo.&#65279;

The NTC's representative at the League, Abdelmoneim el-Houni, said Libya would resume its League membership at a meeting of Arab ministers on Saturday.

Al Jazeera
 

Hiyo ni obvious alishasema yeye si mwarabu ni mwafrika kwa hiyo hawatambui kwa nini leo wamsapoti?
 
Hiyo ni obvious alishasema yeye si mwarabu ni mwafrika kwa hiyo hawatambui kwa nini leo wamsapoti?
Sawa lakini tatizo nchi za kiafrica zimegawanyika katika kuutambua utawala wa "waasi". Hiyo inaashiria kuwa kuna mpasuko ndani ya AU kwa hivi sasa. Kwa mfano nchi kama Nigeria, Niger, Kenya, Burkina Faso, Ethiopia, Mauritania zimeshasema wazi msimamo wao wa kuwatambua NTC. Nchi zingine bado ziko kimya kama vile hazijui zifanye nini!
 

Kama bado unategemea kukinga msaada unaangalia upande ulionona. Nchi nyingi zaona aibu kusema maana zikisema hazimtambui Gadafi maana yake no shukrani ziikatumbua NTC mzee mzima marekani unampa yupo sawa. Unless uwe unaweza kujitegemea kiuchumi ndio waweza toa msimamo. Hata urusi na china hawako wazi maana wana biashara nyingi huko mbele asije EU na USA wakachukia.
 
Gaddafi aponea chupu chupu kukamatwa!


PARIS | Thu Aug 25, 2011 7:08am EDT

(Reuters) - Libyan commandos fighting Muammar Gaddafi came close to capturing the toppled leader on Wednesday when they raided a private home in Tripoli where he appeared to have been hiding, Paris Match magazine said on Thursday.

Citing a source in a unit which it said was coordinating among intelligence services from Arab states and Libyan rebels, the French weekly said on its website that these services believed Gaddafi was still somewhere in the Libyan capital.

Gaddafi was gone from the unassuming safe house in central Tripoli when agents arrived about 10 a.m. (4 a.m. EDT) on Wednesday after a tip-off from a credible source. But, the magazine said, they found evidence that he had spent at least one night there -- though it did not say how recently that was.

Reuters
 
Hatimaye atakamatwa kama Sadam tu na kunyongwa!

Akinyongwa Atakufa au hafi?!! na wewe utaishi milele hapa Duniani ama utakufa hata hao wanaomuua wataishi milele ama?!! sasa kaa kimya manake sote safari moja tu usifurahie wengne kufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…