The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Ooh Kadaffi ohh Kadaffi simba wa vita umepotelea wapi Kadaffi. Mashabiki zako tanzania wanakumiss, toka huko uliko japo uwahakikishie wewe bado ni mfalme wa wafalme, kamanda wa vita usiyeweza kukaa frontline, toka japo uonekane kwa sekunde moja tu uwape mashabiki wako nguvu ya kukutetea hapa JF. Ukimya wako unawapa wakati mgumu mashabiki wako wa kuanza kuguess your next move. Kadaffi wewe si kanali wa ukweli. U wapi basi kanali? Ulituahidi utakufa martyr kuliko kukimbia lakini ulichofanya ni kinyume, hujafa martyr ila umekimbilia kusiko julikana. Tuseme ulikuwa unatulisha propaganda tupu? Yaani ina maana ulikuwa unawajaza hamasa tu vijana wa kilibya wabebe mibunduki mizitomizito afu wafe kwa niaba yako wakati wewe hata bastola huwezi ikamata kwenda uwanja wa vita?
Sitaki kuamini eti sasa unaishi kama zile siku za mwisho za sadam husein katika tundu dogo! Kaka kwa nini hutimizi ahadi zako? Basi tu unatupa headache ya moyo mashabiki wako.

Wasalaam
Utantambua
(Kwa niaba ya washabiki wako)
 
<br />
<br />
unajua wajnga wasiokaa na kupma mambo kwa upana wake watamlaumu gadaf. Inkera unapoona mtanzania/mwafrka anasifia kung'olewa kwa ghadaf

KOSA KUBWA LA GADAF, NI YEYE KUTENGENEZA WAFUASI, BADALA YA KUTENGENEZA VIONGOZI. Ni ujinga huo huo unaofanywa na Mugabe. Maana angekuwa ametengeneza viongozi, asingekuwa na haja ya kutawalla nchi kwa miaka 42! Hivi Mandela na Ghadaf, nani hasa kajitolea nafsi yake kuwatetea wanyonge?. Mbona mzee wa watu aling'atuka mapema? Uongozi raha yake ni kupokezana kijiti. Kwa hiyo ankal, wanofurahi kung'olewa kwa Gadafi si kwamba hawatambui mambo mazuri aiyofanya, no wanafurahi kung,olewa kwa element za dictatorship kwenye vichwa vya viongozi wa AFRIKA maana naona Museven naye anaelekea huko. Je akilaumiwa kwa kosa hilo ni ujinga? au ujinga ni kudhani kuwa kwa miaka yote 42 , hakuna kiongozi mwingine anayeweza kuendeleza mazuri ya Gadafi ?
 
KOSA KUBWA LA GADAF, NI YEYE KUTENGENEZA WAFUASI, BADALA YA KUTENGENEZA VIONGOZI. Ni ujinga huo huo unaofanywa na Mugabe. Maana angekuwa ametengeneza viongozi, asingekuwa na haja ya kutawalla nchi kwa miaka 42! Hivi Mandela na Ghadaf, nani hasa kajitolea nafsi yake kuwatetea wanyonge?. Mbona mzee wa watu aling'atuka mapema? Uongozi raha yake ni kupokezana kijiti.
<br />
<br />

Hii nimeipenda mkuu
 
Mnaomtukana Ghadaff hamna maji, wala umeme, achilia mbali mkiugua mnafia njia lakini hapa mnabwabwaja kama mnaishi Dunia yenye Neema nyie mlioshindwa hata kuibana serikali iwashe japo umeme tu!!! kaeni kimya nyie watu wa Libya wanampenda Kiongozi wao na Wala hiyo colonial mind inayowasumbua haitaisha...mtatawaliwa miaka na miaka hata hapa bongo wahindi wanawatawal bisheni!!!
 
Mnaomtukana Ghadaff hamna maji, wala umeme, achilia mbali mkiugua mnafia njia lakini hapa mnabwabwaja kama mnaishi Dunia yenye Neema nyie mlioshindwa hata kuibana serikali iwashe japo umeme tu!!! kaeni kimya nyie watu wa Libya wanampenda Kiongozi wao na Wala hiyo colonial mind inayowasumbua haitaisha...mtatawaliwa miaka na miaka hata hapa bongo wahindi wanawatawal bisheni!!!
Somoche, wewe unaemsapoti Ghadaff maji na umeme unao? Af unasema ati "mtatawaliwa miaka na miaka hata hapa bongo wahindi wanawatawal". Sasa wewe je hao wahindi hawakutawali? Acha hizo, mazee! Hatumtukani Ghadaff, hapa tunajadiliana tu.
 
kaeni kimya nyie watu wa Libya wanampenda Kiongozi wao...!!!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Na hao hao walibya ndio wamemfurusha kutoka katika kasri lake na sasa anaishi kwenye mahandaki kama digidigi. Sasa atakufa kwa kihoro kuona keki ya taifa aliyokuwa ameihodhi yeye na familia yake iko mikononi mwa wengine. No more luxury parties, no more spotlight, no more security from virgin ladies, atakufa siku si zake kwa mawazo
 
Somoche, wewe unaemsapoti Ghadaff maji na umeme unao? Af unasema ati "mtatawaliwa miaka na miaka hata hapa bongo wahindi wanawatawal". Sasa wewe je hao wahindi hawakutawali? Acha hizo, mazee! Hatumtukani Ghadaff, hapa tunajadiliana tu.

Mimi nina maji ndio na umeme pia ninao...issue hapa ni watu kuacha kuwa wakweli wanalishwa sumu na wazungu hawa hawa waliokuwa wanamwita mtu kama Mandela Gaidi na Muuaji leo hii wakimwita hivyo Ghadaff halafu waafrika mnashangilia wao wanatuona Mazuzu tuliopitilza and for that matter ni ukweli..wale wanasaka mafuta tu wala sio lingne lolote
 
KOSA KUBWA LA GADAF, NI YEYE KUTENGENEZA WAFUASI, BADALA YA KUTENGENEZA VIONGOZI. Ni ujinga huo huo unaofanywa na Mugabe. Maana angekuwa ametengeneza viongozi, asingekuwa na haja ya kutawalla nchi kwa miaka 42! Hivi Mandela na Ghadaf, nani hasa kajitolea nafsi yake kuwatetea wanyonge?. Mbona mzee wa watu aling'atuka mapema? Uongozi raha yake ni kupokezana kijiti. Kwa hiyo ankal, wanofurahi kung'olewa kwa Gadafi si kwamba hawatambui mambo mazuri aiyofanya, no wanafurahi kung,olewa kwa element za dictatorship kwenye vichwa vya viongozi wa AFRIKA maana naona Museven naye anaelekea huko. Je akilaumiwa kwa kosa hilo ni ujinga? au ujinga ni kudhani kuwa kwa miaka yote 42 , hakuna kiongozi mwingine anayeweza kuendeleza mazuri ya Gadafi ?
Well said mkuu! kwa kuongezea tu ni kwamba wananchi wa Libya wameichoka sura yake. 42 years is more than enough! Gadaffi must go now
 
Mimi nina maji ndio na umeme pia ninao...
<br />
<br />

Si bure utakuwa wewe ni riz1 mtoto wa ikulu.

Tukirudi katika mjadala: watu wakikuchoka wamekuchoka tu hata uwape maelfu ya dola kila siku. Hoja ni rahisi: hawakutaki ondoka, kwani ni lazima yeye gadaffi tu awatawale? Yeye ataishi milele? Akifa nani atawatawala? Uongozi ni kupokezana vijiti, watu wamesubiri weeeee miaka 42 hakuna dalili ya kumpa mtu mwingine kijiti so opportunity imetokea ya arab awakening wamemlazimisha kwa nguvu akiachia kijiti
 
Ukitaka kumpiga nyani mwonyeshe mfano kwa kujipiga mwenyewe kwanza.
 
gaddafi's fleeing mercenaries describe the collapse of the regime
by jovo martinovic / montenegro wednesday, aug. 24, 2011

View attachment 35963

right from the start, mario, an ethnic croatian artillery specialist from bosnia, suspected it was a lost cause.

"my men were mainly from the south [of libya] and chad, and there were a few others from countries south of libya," said mario, who spoke on condition that his last name not be published. A veteran of the wars of the former yugoslavia, he had been hired by the gaddafi regime to help fight the rebels and, later, nato. "discipline was bad, and they were too stupid to learn anything. But things were o.k. Until the air strikes commenced. The other side was equally bad, if not worse. [muammar] gaddafi would have smashed the rebels had the west not intervened."

by early july, mario said, more than 30% of the men under his command had deserted or defected to the rebel side. Nato missiles scored several direct hits on his forces, causing "significant casualties." at that point in the war, he said, "military hardware stopped having the role it [once did]. We had to use camouflage and avoid open spaces."

away from the front, at the heart of the regime, mistrust and excess further undermined gaddafi's hold on power, mario said. "life in [gaddafi's] compound and shelters was so surreal, with partying, women, alcohol and drugs," said mario, 41. "one of the relatives of gaddafi took me to one of his villas where they offered me anything i wanted. I heard stories about people being shot for fun and forced to play russian roulette while spectators were making bets, like in the movies."

tension between two of gaddafi's sons contributed to the sense that gaddafi's cause was doomed. "i noticed profound rivalry between gaddafi's sons," mario said, speaking en route from the southern city of sabha to libya's border with niger. "once, there was almost an armed clash between mohammed's and saif [al-islam]'s men. I saw one group interrogating the other at gunpoint, and then more of the other group arrived fully armed, and it was a standoff for several minutes, with both sides cursing each other."

mario respected and liked gaddafi's most prominent son, saif al-islam, who in 2009 threw himself a lavish 37th birthday party on the coast of the former yugoslav republic of montenegro, one of europe's newest glamour spots for the superrich. The ties between the gaddafi family and the former yugoslavia stretch back to the days of josep broz tito, yugoslavia's storied communist leader, who was a friend and ally of gaddafi's. Mario said that gaddafi had hired several former yugoslav fighters, most of them serbs, to help him in his fight against nato and the rebels. One by one, mario said, these foreign advisers and commanders left tripoli. Some senior libyans joined them.

"i noticed that many libyans pretended loyalty just out of fear and were just seeking a way to turn against [gaddafi],"
mario said. "many officers admitted to me they stood no chance against nato, and one of them told me he was in touch with the people in benghazi." benghazi is the rebel stronghold in the east of the country.

Mario left tripoli 12 days ago after receiving a warning from a comrade. "two weeks ago, a friend who brought me here told me i should leave tripoli, as things were going to rapidly change and that deals have been made," he said. He noticed gaddafi's south african mercenaries beginning to leave. Mario decided with a fellow mercenary to flee tripoli. "i tried to get ahold of saif before that, but he was beyond reach," he said. "later he called my companion to ask if we needed something and to say that they would win back all of libya."

another former yugoslav soldier, a retired general in the old yugoslav army and a longtime military adviser to gaddafi, cut things tighter, leaving tripoli on aug. 21. The man, who spoke on condition that his name not be published, spoke to time as he traveled through libya toward tunisia. "back there is chaos," he said, referring to tripoli, which was then being overrun by the rebel forces. "the whole system has collapsed. I knew it was coming. I haven't spoken to [gaddafi] in four weeks. He wouldn't listen."

like mario, the former general had sensed that the regime would soon fall. "everything seemed normal until recently, but we could feel the deal breaking behind the stage," he said. The former general, who had lived in tripoli and ran a business there for many years, described gaddafi as a "fool" and compared him to slobodan milosevic, the serbian leader who took on nato during the 1999 war in kosovo and ultimately died in a prison cell at the international criminal tribunal for the former yugoslavia in the hague. "you can't fight nato and play a stubborn lunatic like that guy," the former general said.

time.com

it seems like another phase of propaganda has started aimed at removing the hero from "the hearts and minds of libyans and the world". These people are the masters of deception!!!!!!!
 
African Union (AU) bado wanaweweseka. Ligi ya waarabu wawatambua "waasi".

The Arab League has given its full backing to Libya's rebel National Transitional Council (NTC) as the legitimate representative of the Libyan people and said it was time for Libya to take back its permanent seat on the League's council.

"We agreed that it is time for Libya to take back its legitimate seat and place at the Arab League
. The NTC will be the legitimate representative of the Libyan state," Nabil Elaraby, the League's secretary-general, told reporters in Cairo.&#65279;

The NTC's representative at the League, Abdelmoneim el-Houni, said Libya would resume its League membership at a meeting of Arab ministers on Saturday.

Al Jazeera
 
African Union (AU) bado wanaweweseka. Ligi ya waarabu wawatambua "waasi".

The Arab League has given its full backing to Libya's rebel National Transitional Council (NTC) as the legitimate representative of the Libyan people and said it was time for Libya to take back its permanent seat on the League's council.

"We agreed that it is time for Libya to take back its legitimate seat and place at the Arab League
. The NTC will be the legitimate representative of the Libyan state," Nabil Elaraby, the League's secretary-general, told reporters in Cairo.&#65279;

The NTC's representative at the League, Abdelmoneim el-Houni, said Libya would resume its League membership at a meeting of Arab ministers on Saturday.

Al Jazeera

Hiyo ni obvious alishasema yeye si mwarabu ni mwafrika kwa hiyo hawatambui kwa nini leo wamsapoti?
 
Hiyo ni obvious alishasema yeye si mwarabu ni mwafrika kwa hiyo hawatambui kwa nini leo wamsapoti?
Sawa lakini tatizo nchi za kiafrica zimegawanyika katika kuutambua utawala wa "waasi". Hiyo inaashiria kuwa kuna mpasuko ndani ya AU kwa hivi sasa. Kwa mfano nchi kama Nigeria, Niger, Kenya, Burkina Faso, Ethiopia, Mauritania zimeshasema wazi msimamo wao wa kuwatambua NTC. Nchi zingine bado ziko kimya kama vile hazijui zifanye nini!
 
Sawa lakini tatizo nchi za kiafrica zimegawanyika katika kuutambua utawala wa "waasi". Hiyo inaashiria kuwa kuna mpasuko ndani ya AU kwa hivi sasa. Kwa mfano nchi kama Nigeria, Niger, Kenya, Burkina Faso, Ethiopia, Mauritania zimeshasema wazi msimamo wao wa kuwatambua NTC. Nchi zingine bado ziko kimya kama vile hazijui zifanye nini!

Kama bado unategemea kukinga msaada unaangalia upande ulionona. Nchi nyingi zaona aibu kusema maana zikisema hazimtambui Gadafi maana yake no shukrani ziikatumbua NTC mzee mzima marekani unampa yupo sawa. Unless uwe unaweza kujitegemea kiuchumi ndio waweza toa msimamo. Hata urusi na china hawako wazi maana wana biashara nyingi huko mbele asije EU na USA wakachukia.
 
Gaddafi aponea chupu chupu kukamatwa!

r

PARIS | Thu Aug 25, 2011 7:08am EDT

(Reuters) - Libyan commandos fighting Muammar Gaddafi came close to capturing the toppled leader on Wednesday when they raided a private home in Tripoli where he appeared to have been hiding, Paris Match magazine said on Thursday.

Citing a source in a unit which it said was coordinating among intelligence services from Arab states and Libyan rebels, the French weekly said on its website that these services believed Gaddafi was still somewhere in the Libyan capital.

Gaddafi was gone from the unassuming safe house in central Tripoli when agents arrived about 10 a.m. (4 a.m. EDT) on Wednesday after a tip-off from a credible source. But, the magazine said, they found evidence that he had spent at least one night there -- though it did not say how recently that was.

Reuters
 
Hatimaye atakamatwa kama Sadam tu na kunyongwa!

Akinyongwa Atakufa au hafi?!! na wewe utaishi milele hapa Duniani ama utakufa hata hao wanaomuua wataishi milele ama?!! sasa kaa kimya manake sote safari moja tu usifurahie wengne kufa
 
Back
Top Bottom