The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Wese so watu wameongea mpaka mishipa ya shingo imewatoka sasa wameamua kuzichapa!
Yetu macho ila nato mngeyafanya haya somalia tungewaona wa maana sana ili angalau somalia watulie!
Kaka Somalia haiwezi kutulia, maana wakiwa na amani na serikali yenye kuaminika, nao wataanza kuchimba mafuta yao ambayo inasemekana mkondo wake ndio ule ule wa Saudi Arabia... Ina maana wakichimba tu, Saud Arabia hawana chao...!

Ila UK na USA, wakiamua kuacha kuwasaidi Al-Shabab, basi amani itapatikana tu.
 

Yes Umeishi Libya, lakini Libya mara ngapi inatangaza kuwa imesaidia nchi za kiafrika kwa mamilioni ya Dola? Umekaa Libya hukuona Majeshi ya Kiafrika? ni wale waliokuwa wanakwenda usiku na kuivamia familia na kuchukua yoyote anayempinga Gadaffi, haukuona hoa???

Oh yes they were secret Police. Wananchi wengi wa Libya wanamwelekeo tofauti na Weusi sio kwamba hawawapendi, baadhi yao walijihusisha na hiyo Secret Police under Khamis Gadaffi.

Ni sawa na Kenya wakati wa Secret Police wao well tofauti na Kenya ni kuwa walikuwa weusi so hard to distinguish

So it is a backclash of who ever black in Libya it happens in this world of one sided politics as what Libya under Gadaffi.

Read below the News from an Arabic Country -- This is from Arabic Newspaper

I wonder if it will become apparent to those millions-more Africans that will now starve without Gadhafi's aid, that maybe they should have gotten off their butts and helped Gadhafi because in doing-so they would be helping themselves? History is rewritten by the conquerors and Al-C.I.A.-duh will spin quite a yarn in the end.
 
Waafrika mnaniacha hoi. Hata hapa kwetu wapinzani kama Chadema wakiandamana kwa amani wakidai haki wanaitwa wahuni, kisa ? wanaipinga serikali kandamizi ya CCM iliyoko madarakani na vyombo vyetu vya dola viko tayari kutumia silaha za moto dhidi yao. Wananchi wa Libya hawa tunaowaita wahuni na waasi walianza kwa maandamano kwa kuchoshwa na utawala wa kidikteta na tulishuhudia Gadafi, bila huruma, alivyoamuru washambuliwe na hata kuuawa.

Nakumbuka washabiki wa Gadafi walivyowabeza waasi kuwa hawatafanikiwa na kwamba Libya si sawa na Misri, hadi wengine wanaomtetea hivi sasa kudai hawaungwi mkono na Walibya. Nakumbuka matambo ya mtoto wa Gadafi, nakumbuka silaha zilivyogawiwa kama njugu kwa raia wa kawaida eti kuilinda Libya na kumlinda Gadafi. Ni mataifa ya Kiarabu ndio yalikuwa ya kwanza kuomba umoja wa mataifa kuingilia kati kuwaokoa Walibya dhidi ya muuaji Gadafi.

Tanzania kama kawaida yetu tulikaa kimya. Sasa tupende tusipende utawala dhalimu wa Gadafi umefika ukingoni na kutambua ama kutotambua kwetu tunaowaita wahuni ni kutoa machozi ya samaki. Wimbo wa Walibya wanatumiwa na nchi za magharibi ni wa kipuuzi kwa sababu Gadafi kakaa madarakani miaka 42, hizo nchi zilikuwa zinasubiri nini muda huo wote ? Membe anajua kuwa kuitambua Libya kutawaongezea Watanzania hamasa ya kuitosa CCM.

Poleni wapenzi wa Gadafi lakini imekula kwenu, utawala wa Gadafi na familia yake umefikia kikomo na sasa Libya itaweza kupumua tena. Sisi tulioshuhudia Gadafi akimuunga mkono Idi Amin kutushambulia Watanzania, tunasema good riddance kwa huyu mlevi wa madaraka. Ilifikia hatua alikuwa anapanga hata kujipachika cheo cha mfalme wa Afrika na kweli wapo weusi wenzetu walikuwa wapo tayari kuuza utu wao kwa tamaaa ya vijisenti vya Gadafi.
 
your submission is air, you can not cheer people getting killed just because they are suspected to have fought defending Ghaddafi!!!!,,,hao waasi ni wahuni sana yaani naiona Libya+ so called NTC=Somalia upon no time....

My Dear Friend I love life as you do; but i want to tell the truth... I'm black and if the Libyans are killing the blacks I prefer to research and come out with the fact

The fact is Khamis Ghadaffi Battalion the most equipped had Black Africans who were used to go at night and pick who ever is against the regime

So, the citizen see Blacks in one way the terrors; oh yeah there were some who were students and oil workers but after revolution U cannot differentiate them.

What i Said is We did take part to wrong the Libyans Citizens, So they Wrong some of US as well... What GOES AROUND COMES AROUND!!!
 
Now MpigaKelele you are not being fair. Una maana mimi ni msemaji wa "muhuni" Mustafa Abdel Jalil, sio?

Sikumaanisha hivyo ulivyoeleza hapo(bold) , pia nadhani/nafikiri kuwa ulielewa haswa nilichotaka uzungumzie. Tuendelee kutafakari mstakabali wa Libya.
 
Libya Rebels Now Target ‘Blacks’

Kampala

A Ugandan trapped in Tripoli has said rebels consolidating their hold on the Libyan capital are targeting, and killing, black Africans they suspect to have fought as mercenaries for Col. Muammar Gaddafi. “These black people came here to take up employment at oil fields, diplomatic missions and as domestic servants [but] the rebels are now killing them indiscriminately,” the source told this newspaper yesterday by telephone from Tripoli.

“When they arrest any black person they suspect to be a fighter (mercenary), they force them to wear an army uniform and then mutilate them using swords and machetes.”

Somalis, Eritreans, Ethiopians, Senegalese, Chadians and Nigerian nationals are the most affected, according to our source and human right groups. These revelations came as Col. Gaddafi, through regime spokesman Moussa Ibrahim, contacted the Associated Press by telephone, announcing that the Libyan leader, who is in hiding, is ready for talks with the insurgents he had mocked as “rats”!

Source: The monitor
 
<br />
<br />
Mkuu umesahau na Tz
 
your submission is air, you can not cheer people getting killed just because they are suspected to have fought defending Ghaddafi!!!!,,,hao waasi ni wahuni sana yaani naiona Libya+ so called NTC=Somalia upon no time....
<br />
<br />
Upo sahihi mkuu
 
Kuna baadhi ya mijitu mijinga humu inatamani haya yatokee tanzania; hayatatokea ng'o
 
Mkuu still Egypt si sawa na Libya,ama Egypt NATO waliwa bomb?
 
Alhaji Gaddafi kwisha kazi!!! Sasa radar ya dunia kumgeukia Alhaj Kikwete na maswahiba wake siku si nyingi sana. Amini ninachodokezea hapa.
nazan wataelekea syria,si tz kwa sasa,"he is a good boy"
 


kwani waliokuwa wanapigana pale ni wamarekani ama walibya? kaka watu walichoka bwana kiongozi gani miaka 41 na bado anang'ang'ania tu? anaweka watoto wake na ndugu zake tu? dawa ya sisi wa afrika ni kama hizo ni nato tu twanga mpaka unakimbia mwenyewe na mbwembe zote na bado akina mugabe na ccm.
 
Mke wa Gaddafi Safia, watoto Aicha, Mohammed na Hannibal pamoja na wajukuu sasa wanakula bata Algeria!

(APS) Monday 29 August 2011 17 : 25
Members of Gaddafi family entered Algeria

Safia Gaddafi


ALGIERS- Members of Muammar Gaddafi family entered Monday the Algerian territory, announces Foreign Affairs Ministry in a release.

Muammar Gaddafi's wife, Safia, daughter Aicha, sons Hannibal and Mohamed, accompanied by their children entered Algeria at 08h45 am via the Algerian-Libyan border, the same source added.

UN secretary general, UN Security Council and Mahmoud Djibril, head of Executive Council of Libyan National Transition Council were informed, the release added.
-APS
 
Tatizo Sasa hivi Sisi watanzania hatuambiwi ukweli kuhusu hayo madadiliko huko Arabuni na North Africa na tuna TV, na Magazeti Huru as long as pesa inatolewa sis tutamkubali yoyote.

Wakati wa Nyerere tulikuwa tunaambiwa Ukweli sio sasa hivi
 
Hawa wageni wanamletea mkosi mwenyeji wao - Rais wa Algeria. Tuhesabu siku kabla waarabu wa Algeria hawajamtolea uvivu unless awatose mapema.
 
Hawa wageni wanamletea mkosi mwenyeji wao - Rais wa Algeria. Tuhesabu siku kabla waarabu wa Algeria hawajamtolea uvivu unless awatose mapema.
Nadhani watakaa kwa muda mfupi kabla ya kujitoa tena. Hapo Algeria ni karibu sana na Libya kwa hiyo siyo salama sana!
 
wamewachuuza wenzao kuwa wangefia tripoli,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…