The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

A large convoy containing between 200 and 250 military vehicles Libyan armoured vehicles has crossed into Niger.
Military sources from France and Niger told the Reuters news agency that the convoy, escorted by the Niger army, arrived in the northern desert town of Agadez on Monday.
Amid the reports about the convoy, Libyan opposition fighters have been holding talks with tribal leaders in Bani Walid to enter the town peacefully.
They are also negotiating with some tribes in Sirte, Gaddafi's hometown, to lay down arms.

Monday's convoy included officers from Libya's southern army battalions and pro-Gaddafi Tuareg fighters, and likely crossed from Libya into Algeria before entering Niger, the sources said-Aljazeera


....................................................................................
 

ASKARI KANZU nilishakueleza kuwa hivyo vyanzo vyako vya habari vinakupeleka porini (vinakupotosha) wakati mwingine uvipotezee kuvirusha hapa jamvini(Jamii Forums) maana vinakushushia hadhi unapo'post' habari ambayo siyo ya kweli. Yaani ASKARI KANZU unakubali kuwa 'Wahuni wa Bengharz'' na mshirika wao 'NaTo' waone jambo kama hilo waliache tu!? Kuwa serious Mkuu ASKARI KANZU.
 

The report is lacking credibility and does not hold water for people who think big. If you have no research you are not required to open your mouth or finger unless you will be seen as mhuni. ASKarikanzu usipoteze heshima jitahidi kuleta vitu vyenye mantiki humu JF.
 
MpigaKelele mbona sasa maandishi yako unayafanya mazito (bold) halafu hili jina langu unachanganya rangi kama bendera ya waasi vile. Ndo iweje?

1.0 Bold:

Kutumia staili hii ya uandishi sidhani kama inazuiwa hapa jamvini, ingekuwa nakadhia Mod wangekuwa wameisha nikanya. Unaweza kutafakari unavyoweza kwa nini ninatumia staili hii.

2.0 Jina kunachanganya rangi kama bendera ya waasi:

ukifuatilia uandishi wangu hapa huwa ni wa kuchanganya rangi, najisikia vyema kufanya hivyo. Kuhusu jina lako kufanana na bendera ya waasi(sijui ulimaanisha wahuni wa Bengharz),hilo wewe wasema.
 
Niko serious lakini naona ka vile nyie masapota wa Gaddafi sasa mnaanza kuelekeza frastresheni zenu kwangu badala ya kukubaliana na ukweli kwamba kamanda mechi hii imemshinda!
 
You think big? Give me a break! Who told you that it was me who "concocted" that story?
 
MpigaKelele signecha yako inasema hivi: "A well tight cornered rat can bite a Cat..." Na hivyo ndivyo ilivyokuwa huko Libya. Wahuni wa Bengharz (rats) waliposukumwa kwenye kona na Gaddafi (Cat) waliamua kumng'ata ili wapone kipigo alichowaahidi kwenye ile spichi yake ya zanga zanga!
 

Mkuu Askari Kanzu,

Hawa rats unaowasema hapa ni NATO? Au wale wanaosubiri NATO wadondoshe mabomu halafu wao waingie na pick ups na photo op na kutangaza ushindi? "rebels" hata siku moja hawawezi kuiangusha serikali ya Gaddafi...ukweli unaujua...ukisema US- NATO wamemtoa Gaddafi nitakuelewa. Hivi serikali ya Gaddafi imeshaanguka? au imehamia mafichoni kukimbia mabomu ya NATO?

allAfrica.com: Libya: Nato Warplanes Bomb Tripoli

NATO warplanes bomb Tripoli - YouTube

Libya: Nato bombs Tripoli as UN's Amos calls for pause - Worldnews.com

NATO bombs rock Tripoli, Libya rebels advance - Yahoo!

Blasts rock Tripoli, NATO targets Gaddafi compound | Reuters

After “rebels” entered Tripoli, under the cover of NATO bombing and led by foreign special forces, the abject criminality of imperialism’s takeover of Libya is becoming increasingly evident.

National Security: Fall of Tripoli; NATO does it again….

UPDATE: August 21, 2011 Extensive NATO Bombings. Street Fighting in Tripoli | Centurean2′s Weblog
 
hapo nilipo bold,hakuna tena kitu inaitwa serikali ya gaddafi-hio ni historia sasa,
 
hapo nilipo bold,hakuna tena kitu inaitwa serikali ya gaddafi-hio ni historia sasa,
Hii ni kwa sababu NATO wanalazimisha iwe hivyo,, lakini kuna nchi 196, NTC imetambuliwa na nchi ngapi?

Antara News : Venezuela`s Chavez says Gaddafi still Libya`s leader

Na mzee Mugabe, Cuba.... Mkuu US, France, UK na NATO wanacheza mchezo mchafu na kulazimisha mambo lakini kiukweli bado NTC si serikali ya Libya.
Halafu kwa nini wameua mawasiliano yote, vyombo vya habari vya serikali ya Gaddafi? Ili wapate nafasi ya kusambaza uongo na uzushi wao bila ya kupingwa.

http://www.telegraph.co.uk/news/wor...se-Libyan-rebels-as-legitimate-authority.html

http://www.dipublico.com.ar/english/?p=1401&upm_export=print
 
Niliposoma hii story hapa Ex-Saddam tracker: Gaddafi not likely to leave Libya | News by Country | Reuters

nilivutika na hiki kipande...musungu (mharibifu) anasema

.... special forces surveillance and psychological warfare to turn the local population against the deposed leader.

Hiki kitu ndio kinachotusumbua wengi...inaonekana sisi miafrika bado hatujawafahamu hawa US-NATO, UK, France na mchezo wao mchafu.
 
Wamarekani sasa wawakwida Niger kiubabe-ubabe!

U.S. urges Niger to detain Libyan convoy

Reuters

The U.S. government on Tuesday urged Niger to detain senior officials from the Gaddafi government who it believes crossed into the country in a convoy from Libya, the U.S. State Department said.

Niger officials informed the U.S. ambassador that the convoy carried several senior members of Gaddafi's government, but gave no indication that Gaddafi himself was among them, State Department spokesperson Victoria Nuland said.

"We have strongly urged the Nigerien officials to detain those members of the regime who may be subject to prosecution, to ensure that they confiscate any weapons that are found and to ensure that any state property of the government of Libya, money, jewels, etcetera, also be impounded so that it can be returned to the Libyan people,"
Nuland said.

She said the United States had also urged Niger to work with Libya's ruling interim council to ensure that its interests are served in bringing the convoy's passengers to justice.

"All of them would be subject to the U.N. travel ban which is why we're working closely with the government of Niger," Nuland said.

Niger officials said Mansour Dhao, Gaddafi's personal security chief, crossed into Niger Sunday and a U.S. national security official said Washington believed the convoy also carried several other prominent Libyan passengers.

A second U.S. official said that one of the convoys was of a "configuration" which suggested it was carrying high-ranking figures from Gaddafi's regime.

However, this official said he had no information about Gaddafi himself travelling in the convoy or fleeing Libya, and Nuland said Niger had given no indication that any Gaddafi family members were among the passengers.

Military sources told Reuters that a convoy of between 200 and 250 vehicles had been escorted to the northern city of Agadez by Niger army personnel. U.S. officials said that Gaddafi's regime had close ties to Niger-based Tuareg rebels, some of whom had gone to Libya to help defend Gaddafi.

A French military source told Reuters it was possible that Gaddafi and his son and would-be heir, Saif al-Islam, could join the convoy later and head for neighboring Burkina Faso.

Nuland said the United States was in touch with all of Libya's neighbours to underscore the necessity that Gaddafi be brought to justice.
 
Msafara wa magari wenye ulinzi na silaha kutoka Libya umevuka mpaka kuingia nchini Niger, ripoti zinasema.
Msafara huo unaaminika ni wa wapiganaji wa Tuareg waliopewa mafunzo na Kanali Muammar Gaddafi aliyekimbia nchi kupigania utawala wake ukielekea katika mji wa Agadez.
Haijafahamika wazi iwapo kuna mwanafamilia yeyote wa Kanali Gaddafi katika msafara huo. Msemaji wake alisema Gaddafi mwenyewe bado yuko Libya.
Kanali Gaddafi ameapa atapigana mpaka kufa, ingawa amepoteza sehemu kubwa ya udhibiti wake nchini Libya.
Nato, ambayo imekuwa ikiendesha harakati za kijeshi za anga kuunga mkono Maamuzi ya Umoja wa Mataifa kuwalinda ria wa Libya, imekataa kusema chochote katika ripoti yake.
'katika ari yahali ya juu'
Msafara huo wenye silaha umevuka mpaka na kuingia Niger na kufika mji wa Agadez Jumatatu, taarifa za kijeshi kutoka Ufaransa na Niger zimelifikia Shirika la Habari la Reuters.
Wamesema msafara huo una magari kati ya 200 na 250 na unasindikizwa na jeshi la Niger.
Wasemaji kutoka Agadez wameiambia BBC kuwa kati ya magari hayo 200, 60 ni ya Libya na yaliyosalia ni kutoka Niger.
Baadaye afisa mmoja kutoka Baraz la Mpito la Taifa Libya (NTC) aliliambia Shirka la Habari la Reuters kuwa msafara huo umebeba dhahabu na fedha na umevuka kuingia Niger kutoka katika mji unaoshikiliwa na Gaddafi wa Jufra.
"Usiku wa Jumatatu, magar 10 yaliyokuwa yamebeba dhahabu, fedha za Euro na dola na kuvuka mpaka kutoka Jufra na kuingia Niger wakisaidiwa na wapiganaji wa Tuaregs kutoka kabila moja Niger," Fathi Baja alisema.
Madai haya hayajathibitishwa na vyombo huru.

Source: bbc swahili
 
Chavez Calls for a "Counter Attack" in Lybia
Featured News, The World | Monday, September 05, 2011
Source:: EFE

Venezuela's President Hugo Chavez today called the BRIC countries (Brazil, India, China and Russia) and ALBA to launch a "counterattack" to "barbarism" of international operations against the regime of Muammar Gaddafi.

Chavez made the proposal to the BRIC countries because, in his point of view, they have expressed themselves "very strong" against attacks by U.S. and "Old European Empires" to Lybia and also to the countries of the Bolivarian Alternative for the Americas (ALBA), which supported the proposal in February to mediate the conflict.

"We have to go on a counteroffensive. We can't sit idly by," he said after ruling out the "peace" proposal made by the African Union.


On September 1st, Chavez called for resuming the plan launched in late February for the creation of an international commission of countries that could mediate between the government headed by Gaddafi and the rebels to stop fighting.

Source
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…