The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi


Huyu naye atapelekewa "domokrezi" karibuni. Hasa kwa vile ametangaza nia yake ya kuirejesha "dhahabu" ya Venezuela kutoka kwa walafi, wizi na majambazi yaliyokubuhu.

Kama Gaddafi anavyotaka Muungano imara wa Afrika, Chavez anataka Muungano wa nchi za Latini Amerika ambao utapunguza makali ya ushawishi wa US na West. The "protection of civilians " in Venezuela is in the pipeline..ajitayarishe!

AU wachukue nafasi hii kuwaweka pamoja Chavez, Ortega na hizo nchi alizozitaja ili zichukue hatua ,sio maneno hewani tu. Pia wamtake Ocampo atoe arrest warrant ya kukamatwa wakuu wa NATO, Sarkozy, Cameroon, Obama kwa "bombs" zaidi ya 30000 walizodondosha kuhami civilians na kukiuka maazimio ya UN 1970 na 1973, kabla na baada ya kupitishwa maazimio hayo.
 
[FONT=Georgia, Times New Roman, Times, Serif] INTERESTING FACTS ABOUT LIBYA

Did you know this about Libya?


Some other facts (that mainstream media will never disclose) about "Gaddafi and Libya:

Loans to Libyan citizens are given with NO interest.
Students would get paid the average salary for the profession they are studying for.
If you are unable to get employment the state would pay the full salary as if you were employed until you find employment. - When you get married the couple gets an apartment or house for free from the Government.

You could go to college anywhere in the world. The state pays 2,500 Euros plus accommodation and car allowance.

The cars are sold at factory cost. Libya does not owe money, (not a cent) to anyone. No creditors.- Free education and health care for all citizens.- 25% of the population with a university degree.



No beggers on the streets and nobody is homeless (until the recent bombing).
Bread costs only $0.15 per loaf. No wonder the US and other capitalist countries do not like Libya.


Gaddafi would not consent to taking loans from IMF or World Bank at high interest rates. In other words Libya was INDEPENDENT! That is the real reason for the war in Libya! He may be a dictator, but that is not the US problem.


Also Gaddafi called on all Oil producing countries NOT to accept payment for oil in USD or Euros. He recommended that oil get paid for in GOLD and that would have bankrupted just about every Western Country as most of them do not have gold reserves to match the rate at which they print their useless currencies.

Remember the last time someone had the "NERVE" to make a similar statement was when Saddam Hoosein advised all Opec countries not to accept payment for oil in US Dollars. Well, we all know what happened to him .

Yes, they HUNG HIM.


[/FONT]
 
Deputy Foreign Minister Khaled Kaim arrested!
Cha kushangaza, jamaa anaongea na waasi kama vile walikuwa wanajuana kwa muda mrefu

 
Last edited by a moderator:
1. Almost one third of the population do not have access to safe drinking water.
2. It is illegal to consume alcohol in Libya.
 
1. Almost one third of the population do not have access to safe drinking water.
2. It is illegal to consume alcohol in Libya.

Have you ever been in Libya ukaona pombe hakuna?!! wacha ulongo wako bana sema vitu unavyojua...wewe una maji?! kwanza Libya ni jangwa how about Tz hapa maji kila kona do u even have access ya maji?!!
 
1. Almost one third of the population do not have access to safe drinking water.
2. It is illegal to consume alcohol in Libya.

Unafiki bana kitu kibaya naomba nikujibu:-
a. Si kweli one third hawana safe drinking bali hizo ni propaganda zenu za west. Nikuulize unajua kuwa 1/3 ya wananchi wa UK , 2/3 of US citizen, 1/3 of french citizen have no access to safe drinking water??? Hebu tupatie maelezo kuhusu hayo?

b. Libya umesema alcohol hakuna wakati kama umeangalia taarifa za habari za West kama BBC, Sky, CNN walionyesha wiki iliyopita walipoingia katika compound ya Gaddafi walikuta mvinyo ya bei mbaya inayokisiwa kugharimu kama $1,000 kila chupa huoni kama huo ni unafiki??? Pia walipoenda kwa mtoto mmoja wa kiume wa gaddafi anayeitwa Hanna walikuta pombe kibao katika mabox acheni ujinga na unafiki jamani.
 
Gaddafi is GONE and GONE for GOOD... STOP YAWNING & DAY-DREAMING!
 
1. Almost one third of the population do not have access to safe drinking water.
2. It is illegal to consume alcohol in Libya.

Wacha uongo, soma hapa:

Great Man-made River


In 1953, efforts to find oil in southern Libya led to the discovery of large quantities of fresh water underground. The Great Man-made River Project (GMRP) was conceived in the late 1960s and work on the project began in 1984. The project's construction was divided into five phases. The first phase required 85 million m³ of excavation and was inaugurated on August 28, 1991. The second phase (dubbed First water to Tripoli) was inaugurated on September 1, 1996.
The project is owned by the Great Man-Made River Project Authority and funded by the Gaddafi government. Brown & Root and Price Brothers were responsible for the original design, and the primary contractor for the first phases was Dong Ah Consortium (a South Korean construction company) and present main contractor is Al Nahr Company Ltd. This company was registered in England and Wales as a foreign company FC017848 until July 31, 2003.

Source: Great Manmade River - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Tunajua alikojificha, tumemzingira na hana pa kutokea - waasi wadai!
Rebels 'have Gaddafi surrounded'


07/09/2011 - 10:37:21
Libyan rebels say they know where former leader Muammar Gaddafi is hiding, and it is only a matter of time until he is captured or killed.

Spokesman Anis Sharif said Gaddafi was still in Libya, and had been tracked using human intelligence and technology .

He refused to say where he was, but said he was trapped in a 40-mile- radius area surrounded by rebels.

"He can't get out," Mr Sharif said, adding that the rebels were preparing to either detain him or kill him.

Locating Gaddafi would help seal the new rulers' hold on the country.

Convoys of Gaddafi loyalists fled across the Sahara into Niger earlier this week.

Source
 
Walishawai kusema wamemteka mtoto wake baadae akajitokeza mzima kabisa.Msemaji wa habari hii hapaswi kutoka kwenye moja kati ya makundi yanayopigana otherwise third party ataaminika zaidi. Nemo iudex in causa sua.
 
Mpaka wamwonyeshe kama alivyoonyeshwa Saddam huseini hizi zitabakia kuwa mbinu za Kivita tu ili wafuasi wake waweke silaha chini.
 
Tuseme ikijulikana kwamba yuko Niger vita itahamia huko.Na wasipomwona Ghadafi ikawa kajifia kama Osama watamsaka mpaka lini ndipo wahamie Tripoli.
Hawa waasi hawana furaha na hawatopata amani milele.Wapuuzi!.
 
Gadaff tunakaribia kumsahau acheni kumwota soon he will be killed by rebels
 
Gaddafi 'last tracked in southern Libya' - Africa - Al Jazeera English

Gaddafi kishachomoka Ban Walid, Negotiations was a delay tactic kumpatia fursa ya kutokomea Niger. Jamaa ana Dollar, ana Gold na Weapon. Kitu kikubwa alichofanya ni ku-invest katika nchi za Africa ambapo watamuhifadhi. Usalama wa Gaddafi ni Libya kuwa na amani, ila kama tutaanza kuona suicide bombers ni dhahiri ataingizwa kwenye kundi la most wanted na kama yupo nchi za Africa watampata tu, labla akajifiche Afghanistan. Kinachomfanya akimbie ni ICC, Mbona mawaziri wake wa mambo ya nje wamejisalimisha?
 
If life was so great in Libya and for Libyans then why do you think that there was so many people who hated him enough to topple him over.... and secondly do you think a country which has more oil then any other African country and only the population of Dar and maybe Morogoro deserve to live in the kind of housing you see daily in Al jazeera or any other TV channel.... WAKE UP BRO!!!! libyan have so stop trying to make it out that they need your pity.... they had all that but there was something they wanted more than that and thats Freeedom and Democracy... with those and true opportunities they dont need hand outs for Education or bread they will be able to provide it themselves and also donate money this Begging state of Country called Tanzania.....
 

I do agree, you might be very right , LAKINI MWANADAMU HAISHI KWA MKATE PEKE YAKE!!!!!!!!!!!!! PEOPLE NEED FREEDOM, BASIIIIIIIIIIIIIIIIII
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…