The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

kuna tetesi kwamba mashushushu kutoka ufaransa,uingereza na qatari waliokuwa wanafanya kazi za NATO wamekamatwa na majeshi yanayomtii gaddafi katika mji wa ban walid.mwenye taarifa kamili atujuze p'se!.mia
 
Setback in bid to streamline government even as NTC fighters are bogged down by battles for Gaddafi strongholds.

Last Modified: 19 Sep 2011 02:53





in
[COLOR=#333333 !important][COLOR=#333333 !important]Share

[TD="class: articleTitle"]ibyans fail to form new cabinet[/TD]

[TD="class: Tmp_hSpace10"][/TD]
[/COLOR]​

Email


Print


Share


Feedback




[TD="class: DetailedSummary"]
Libya's interim leaders have failed to agree on a new cabinet even as battles raged with pro-Muammar Gaddafi forces.
The cabinet -- or executive committee -- was dissolved last month after procedural errors in the handling of the unexplained shooting dead of the newly ruling National Transitional Council's (NTC) military chief.

A new executive committee, to include officials responsible for defence and interior affairs, was supposed to be appointed by Mahmoud Jibril, the interim prime minister, on Sunday. But the talks broke down when his proposals did not receive full backing from all current members.
"We had an advisory meeting with the NTC in order to form a new cabinet. We have agreed on a number of portfolios. We still have more portfolios to be discussed," Jibril told reporters at a news conference on Sunday.
[TABLE="width: 33, align: right"]
[TR]
NTC officials, including the head of the committee for political affairs, Fathi Baja, told the Reuters news agency that Jibril proposed a "transitional government" which would rule until at least the official liberation of the country.
It is not clear what liberation entails but it is likely to be conditional upon the capture of Gaddafi and the defeat of his loyalists who still hold three key towns in the country.
"The meeting was to form a transitional government. (The NTC) reduced the number of portfolios from 36 in the original proposal to around 24 but no names are confirmed," NTC spokesman, Jalal el-Gallal, told Reuters.
A list of the approved ministries was not available, though sources familiar with the negotiations said that the position of Jibril himself was a sticking point during the talks.

Jibril, a former Gaddafi regime official, stands accused by some of his colleagues of failing to consult enough with groups such as the Muslim Brotherhood, an NTC official said.
However, Jibril is expected to retain his post as interim prime minister, while Ali Tarhuni was touted to be named vice president in charge of economic affairs.
The defence portfolio was expected to go to Osama al-Juwili and oil to Abdel Rahman bin Yezza.
"What we know for sure is that it will be 36 people representing different parts of Libya," Al Jazeera's Hashem Ahelbarra said earlier from Tripoli.
[TABLE="class: Skyscrapper_Body, width: 200"]
[TR]
[TD]
Libyan pilots return home after defecting to Malta​
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
"They would like to ensure a representation that takes into account all different ethnic groups and all different cities.
"We know that they have offered five to six ministries to the Islamists. And there are attempts to combine the prime minister post with the minister of foreign affairs.
"They do understand that the stakes ahead and the challenges facing this post-Gaddafi Libya are going to be incredibly high, and for this they want people who have no affiliations with the Gaddafi time."
There was also disagreement about whether it is necessary to form a transitional government before the declaration of liberation.

The NTC has drawn up a roadmap, setting out plans for a new constitution and elections over a 20-month period, which should start once that declaration is made.
In other developments on Sunday, two Libyan fighter jet pilots who had defected to Malta in February returned home to a hero's welcome.
The men told reporters they were ordered to bomb protesters in Beghazi, but diverted their planes at the last minute.
'Mercenaries captured'
On the battle front, NTC fighters were pushing closer to Sirte, one of the final stronghold of Gaddafi's loyalist troops. There has been no progress in the other battle to take Bani Walid.
[TABLE="width: 33, align: right"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
The NTC forces said they had suffered many casualties in Sunday's fighting, with at least five dead, and 14 injured.
The injured were being treated in Harawa field hospital, close to Amrah, with the more seriously wounded being transferred by ambulance to the hospital in Ras Lanouf in eastern Libya.
"We have won several battles against the NATO collaborators and managed to push them out of Bani Walid and Sirte", Mussa Ibrahim, Gaddafi's spokesman told Syria-based Arrai television channel by telephone.
Ibrahim said the Gaddafi forces have captured a group of 17 "mercenaries" in Bani Walid.
"They are technical experts and they include consultative officers. Most of them are French, one of them is from an Asian country that has not been identified, two English people and one Qatari," he said.
He said they would be shown on television at a later time, but did not give more details.

It was not immediately possible to verify Ibrahim's claims. The French foreign ministry said it had no information regarding the report.

NATO, French and British officials had on Saturday denied a report by Arrai TV that some NATO troops had been captured by Gaddafi loyalists.

Western special forces are known to have been in Libya and to have liaised with anti-Gaddafi officials during the conflict. Private security firms have also been helping anti-Gaddafi forces, according to Western media reports.

Libyans fail to form new cabinet - Africa - Al Jazeera English
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/COLOR]​
 
MAUAJI YA KIMBARI KUHAKIKISHA KIZAZI CHA WAAFRIKA WEUSI HUKO LIBYA KINATOWEKA YAFUMBIWA MACHO NA UMOJA WA MATAIFA



KWA SASA TUNAZO SABABU ZA MSINGI KUJITOA KATIKA UMOJA WA MATAIFA. WAAFRIKA WOTE KWA NAMNA YOYOTE ILE AMA KWENDA AU KUWEZESHA KWENDA LIBYA, AU KUCHANGIA KWA NJIA YOYOTE ILE KUWEZESHA KUSTISHA MAUAJI HAYA YA WAAFRIKA.

UN sio tena mlinzi wa amani ya waafrika, ni mlizi wa wauaji mifano ipo mingi. Na hii inajidhihirisha kwa Nato kuwapa wahuni wa bengharz mapanga na visu kuchinja Waafrika weusi.

Massacre of Blacks in Libya By NATO-backed Rebels Continues As World Watches
United Nations Says "No Comment" On Ethnic Cleansing Of Black Libyans

by Milton Allimadi



The Wall Street Journal
reports today that Black people have been emptied from the City of Tawergha in Libya, their homes razed, and that the words "slaves" and "negroes" are scribbled on their abandoned buildings in the now ghost town by the NATO-backed rebels.

The chilling account of
ethnic-cleansing of Black people in Libya, occurring right before our eyes, appears under the headline "Revenge Feeds Instability in Libya."

These are the "liberators" that President Barack Obama, President Nicolas Sarkozy and Prime Minister David Cameron helped install in Libya to replace Maummar al-Quathafi? They all rejected an African Union proposal that would have brought a ceasefire and the warring parties to a table to create a constitution and to hold elections
.

Meanwhile, the so-called "prime minister" of the "rebels" Mahmoud Jibril, is quoted in the Journal, with respect to the fate of the Black citizens of Tawergha, saying: "Regarding Tawergha my own viewpoint is that nobody has the right to interfere in this matter except the people of Misurata," who are actually the ones doing the cleansing. Surely Jibril knows that he's inciting to further ethnic cleansing.


An earlier Wall Street Journal article had reported that the Misurata unit carrying out the deed is called "The Brigade for Purging Slaves, black Skin." So we are witnessing genocide of Black people in Africa again and doing nothing. Simply because Washington, London, and Paris happen to support the "rebels" who are committing the targeted killings.

"Now, rebels have been torching homes in the abandoned city 25 miles to the south," of Misurata, reports the Journal. The Journal's reporter also witnessed the burning of "more than a dozen homes," and adds, "On the gates of many vandalized homes in the country's only coastal city dominated by dark-skinned people, light-skinned rebels scrawled the words 'slaves' and 'negroes.'"

The White House has yet to issue a single statement condemning this ethnic cleansing of Black people. Hillary Clinton's Department of State remains mute. The leaders of organizations that profess to protect the rights of Black people, such as the NAACP's Ben Jealous and the National Urban League's Marc Morial, have yet to make statements. Surely, someone must read The Wall Street Journal.

This is the second article detailing the specific campaign to wipe out Black Libyans that The Journal has reported on; the first article was on June 21, 2011.

Other major corporate media, such as The New York Times, CNN, and BBC, all of which to varying degrees surrendered pretense at "objectivity" and openly supported the NATO bombardments are now in a bind. They have yet to report major stories on the ethnic cleansing in Misurata and Tawergha. Rather than concede that the side they supported in the
civil war is carrying out
war crimes they would rather suppress the story
.

Welcome to the 21st Century; the Newspeak George Orwell feared.

Had it not been for The Wall Street Journal breaking ranks with other corporate media, this genocide might well have been concealed and attributed to a figment of al-Quathafi's imagination.

Even the United Nations was unable to respond today to the ethnic cleansing reports when contacted by The Black Star News, and after the Journal's reports were forwarded. A spokesman for Secretary General Ban Ki-Moon was asked whether: the targeted actions qualified as ethnic cleansing; whether they qualified as war crimes, and; whether the United Nations is demanding for an investigation.

The spokesman, Eduardo del Buey, ignored the specific questions and responded with a statement from the UN's High Commissioner for Human Rights, Navi Pillay, which in part states that "In situations of transition or unrest, restraint must be observed."

Small comfort to the now depleted citizenry of Tawergha.

"We are not commenting on media reports. The High Commissioner speaks to the issue of human rights, and this is what she has said to date in Libya," Eduardo del Buey added.

When contacted for reaction, Brenda Jones, a spokesperson for Congressman John Lewis, stressed that Rep. Lewis, the civil rights hero, as a matter of principle, opposes warfare as solutions for resolving disputes even though there might have been legitimate human rights concerns. "He does not agree with war because of its ramifications, because it leads to these moral compromises," she said. "It puts you in a difficult position, where you have to commit the same crimes that you are intending to stop."

More U.S. elected officials and ordinary Americans of all races should read The Wall Street Journal's accounts and weigh in on the reported crimes being committed by the rebels. They are, after all, in power due in part to American support.

The Journal articles also quotes a Misratan rebel leader, Mohammed Ben Ras Ali, saying, "Tawergha is no more."

How many times does the world have to keep saying "never again"?

Editor's Note: Readers are not obliged to stand by and watch the ethnic cleansing of Black people in Libya. Please call The New York Times at (212) 556-1234 and ask Foreign editor Joe Kahn why the Times hasn't done major stories on the Tawergha and Misurata war crimes. Also pose the same question to Times Publisher Sulzberger.

"Speaking Truth To Empower."

http://www.globalresearch.ca/index.php?context=va&aid=26643



 
utabiri wangu mwingine Gaddafi atapigana na kuchukua tena madaraka
utabiri mwingine rebel wataenda tena kujipanga na watapigana tena na watachukua madaraka

Kama ni hivi hata mimi naweza kutabiri vile vile. Natabiri JK ataenda Kilosa mwaka huu.
Na utabiri mwingine vile vile JK hataenda Kilosa mwaka huu.
 
there is a lot to come with NTC as they look to depend everything to US-NATO.
 
Mtoto wa Gaddafi aonekana kwenye uwanja wa mapambano!

‘Gaddafi son Seif seen in fight for Bani Walid’

On September 19, 2011 · In News

BANI WALID (AFP) – Fierce fighting raged Monday in Bani Walid as new regime fighters attacked the town where Muammar Gaddafi’s son Seif al-Islam is holed up, possibly with his father, said the new authorities.

“The revolutionaries came to Bani Walid this morning and engaged in a hard battle,” Abdullah Kenshil, a senior official in the National Transitional Council (NTC), told AFP.

Kenshil said the battle for control of Bani Walid, one of the few remaining bastions of fighters loyal to Gaddafi southeast of Tripoli, was a “done deal and will be completed in the next two days.”

On Sunday, the NTC’s forces were beaten back after pushing into Bani Walid. Correspondents heard loud explosions and intermittent gunfire from inside the oasis town, and rockets exploded near NTC positions on the outskirts.

“We folded because of the intensity of the bombing by the loyalist forces against our positions,” Kenshil said, adding negotiations were underway for the evacuation of about 50,000 civilians in the city.

The NTC official said that Seif al-Islam, the most prominent son of ousted Libyan leader Gaddafi, had been seen in Bani Walid, and that it is likely that his father is also in the oasis town.

“Seif al-Islam was seen in Bani Walid; this is 100 percent certain. As for his father, he was there too; we are 70 percent sure,” Kenshil told AFP.

Gaddafi, his son Seif al-Islam and intelligence chief Abdullah al-Senussi are all at large and wanted by the International Criminal Court for alleged crimes against humanity.

“Those fighting in Bani Walid are not necessarily Gaddafi’s brigades, whose members joined the NTC forces,” said Kenshil, adding they were “mercenaries from Chad, Niger and Togo, according to the bodies we have recovered.”

Source: Vanguard
 
Hizi ndio mass graves ambazo US-NATO watasema Gaddafi ndio aliwazika watu kwa halaiki.


 
Last edited by a moderator:
US-NATO inaendelea ku-protect civilians huko Libya.Walisema Gaddafi kafanya mauaji ya kama raia 6000, lakini NATO wao wako 10X tu mpaka mida hii na bado kazi ya ku-protect civilians inaendelea. Ahadi yao ni ku-mprotect Gaddafi na familia yake vile vile.

 
Last edited by a moderator:

Huu ni uwongo mtupu, sana hii ndiyo njia pekee ya kuwapa matumaini Wahuni wa bengharz waendelee na kupigana wakiaminishwa kuwa sasa wako karibu kumkamata Rais wa Libya Mheshimiwa Gaddaf. maana inasemekana kuna baadhi wanata wamwachie Mh.Gaddaf maeneo aliyobaki nayo ilikupunguza maumivu wanayopata kutokana na kichapo kutoka kwa mheshimiwa, Lakini NaTo wamewakatalia , sasa wanawalazimisha kupigana kwani mpango huo wa kumwacha Mh.Gaddaf utakuwa unaiabisha NaTo.
 
Huu ni uwongo mtupu, sana hii ndiyo njia pekee ya kuwapa matumaini Wahuni wa bengharz waendelee na kupigana wakiaminishwa kuwa sasa wako karibu kumkamata Rais wa Libya Mheshimiwa Gaddaf. .

 
Last edited by a moderator:
Hii vita imejaa unafiki sana na si muda wazee wazima NATO wataumbuka maana haiji kichwani waseme wameteka zaidi ya asilimia sabini halafu mpaka leo wameshindwa kumdaka mzee mzima. Hii yaonyesha hawakujiandaa na huyu jamaa angekuwa mpole fulani nadhani wangeshatupa silaha chini . sasa wanaogopa kuchinjwa ndio maana bado wanarusha ngumi za kike na kung'ata.
 
FAMILIA YAANDAA MAZISHI YA GADDAFI

Posted by GLOBAL
on September 20, 2011 at 8:41am 4 Comments 0 Likes


Mwandishi Wetu na Inteneti
MAMBO yameshageuka, tajiri mkubwa duniani kugeuka maskini, kiongozi wa heshima kuwa mkimbizi, hali ni tete kwa aliyekuwa Kiongozi wa Libya, Muammar Gaddafi, kwani familia yake imekata tamaa ya kunusurika.

Kutokana na hali hiyo, inaelezwa kuwa hivi sasa familia ya Gaddafi inaandaa mazishi ya heshima ya kiongozi huyo, kwani kuna asilimia nyingi akajiua kabla ya kukamatwa. Mke wa Gaddafi, Safia, alitorokea Algeria mwishoni mwa mwezi uliopita akiwa na watoto wake watatu, Aisha, Hannibal na Mohammed.

Habari zinasema kuwa baada ya kuwasili nchini humo, aliieleza serikali ya Algeria kuwa mambo ni magumu, bado Gaddafi anapambana lakini kama familia watamzika kwa heshima kwa sababu ni mtu mwema.

Safia alisema, wananchi wengi wa Libya wanamuunga mkono Gaddafi, kwa hiyo alitabiri kurejea madarakani lakini akatia shaka: "Mapinduzi siyo ya wana-Libya, kuna uvamizi unaoshinikiza kuipora Libya, watu nyuma ya uvamizi huo hawataki kumuona kiongozi halali (Gaddafi) akiwa hai.

"Naye (Gaddafi) hatakubali kukamatwa, bora kufa kuliko kuuawa kwa kudhalilishwa. Hata mwanangu Saif al-Islam anatafutwa. Ikitokea bahati mbaya, sisi kama familia tutakuwa tayari kwa mazishi ya heshima, hilo ni jukumu letu na wana-Libya wote wanaopenda utawala wa haki."

GADDAFI YUKO WAPI?
Jumamosi iliyopita, Baraza la Taifa la Mpito la Libya, lilitangaza kuwa halijui mahali ambapo Gaddafi yupo.

Msemaji wa baraza hilo (serikali ya waasi), Kanali Ahmed Omar Bani Walid alisema kuwa hakuna taarifa yoyote kuhusu mahali alipo Gaddafi.

Mara ya mwisho, iliaminika Gaddafi yupo kwenye Kijiji cha Josh akilindwa na wanajeshi wanaomtii lakini baada ya waasi kukivamia na kufanya utekaji lakini hawakufanikiwa kumpata.

Zipo taarifa kuwa kiongozi huyo amejichimbia kwenye Milima ya Nafusa, huku habari nyingine zikieleza kuwa kiongozi huyo yupo nchini Zimbabwe siku nyingi zilizopita.

Aisha Gaddafi ‘Ayyesha' alitoa machozi baada ya kupata taarifa akiwa Algeria kuwa nyumba yake iliyopo Tripoli, ilivamiwa na waasi, milango ikafunguliwa na kila mmoja akachukua kitu kinachomfaa.

Habari zinasema kuwa waasi baada ya kuingia kwenye nyumba ya Aisha, mamia ya watu waliingia kwa zamu, wakaogolea kwenye bwawa la kifahari la binti huyo wa Gaddafi, wakavuruga samani zilizopo ikiwemo kukaa bila nidhamu kwenye sofa za dhahabu zilizopo sebuleni.
Nyumba ya kifahari ya Saif al-Islam iliyopo Tripoli, imevurugwa vibaya na sasa inashikiliwa na waasi.

Kabla ya hapo, Machi mwaka huu, kikundi kinachojiita Mapinduzi ya Udhalimu (Topple The Tyrants), kilivamia nyumba ya Saif al-Islam iliyopo London, England na kuiteka. Kikundi hicho kilitoa msimamo kwamba hakitaiachia nyumba hiyo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 26.

Vyanzo vinasema kuwa Gaddafi ana utajiri wa kati ya shilingi trilioni 45 na 51, huku akiwa amehifadhi zahabu Benki Kuu ya Libya, zenye thamani ya shilingi trilioni 16. Imebainika kuwa Gaddafi anamiliki shilingi trilioni 32 ambazo amewekeza kwenye biashara ya vimiminika nchini Uingereza. Tayari serikali ya Uingereza imeshatangaza kufilisi mali zote hizo.

WATOTO WAKE WAKO WAPI?
Gaddafi, 69, alikuwa na watoto wanane, mkubwa ni Muhammad ambaye ni mtoto wake wa pekee kutoka kwa mtalaka wa ndoa yake ya kwanza, Fatiha al-Nuri. Inadaiwa kuwa alijisalimisha kwa waasi lakini wapiganaji wanaomtetea baba yake, walimteka na kumpeleka kusikojulikana.

Saif al-Islam, anasakwa siyo tu na waasi bali pia Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Uhalifu (ICC). Hajulikani alipo, ingawa alishatanguliza tamko kuwa atapambana kuwamaliza waasi. Saadi ambaye alitikisa kwenye soka, akichezea mpaka klabu za Ulaya, naye hajulikani alipo.

Saadi, alishachezea Klabu za Alahly Tripoli, Libya pamoja na Perugia, Udinese na Sampdoria za Italia. Muttassim, inaelezwa yupo nje ya Libya lakini naye hajulikani alipo. Katika utawala wa baba yake, alikuwa mshauri wa kijeshi wa serikali. Saif al-Arab, aliuawa mapema na mashambulizi ya Nato, wakati Khamis hajulikani alipo ingawa waasi wanatangaza wameshamuua. Milad Abuztaia na Hanna, hawajulikani walipo wakati Mohammed, Hannibal na Aisha wapo Algeria na mama yao.

GARI LAKE LA KIFAHARI LIPO WAPI?
Gaddafi anamiliki gari la kifahari ambalo dunia nzima hakuna, ilielezwa na wana usalama wake kwamba ndilo salama kuliko yote duniani.

Ndani ya nchi hiyo, gari hilo lilijulikana kwa jina la Libyan Rocket. Lina muundo wa kipekee na linatajwa kuwa ghali zaidi duniani.

ANAMILIKI HOTELI KUBWA DAR?
Zipo habari kuwa Gaddafi anamiliki hoteli yenye hadhi ya Nyota Tano, Dar es Salaam lakini umiliki wake hautaji jina lake moja kwa moja.

Uwazi limefuatilia umiliki wa hoteli hiyo (jina tunalo) mpaka kwa msajili wa makampuni, Brela, lakini haikuonesha popote kama kiongozi huyo ana mkono kwenye hoteli hiyo.

Chanzo cha habari: Global Publishers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…