The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi


Mkuu kwani Chavez ni Mwafrika?

 
US-NATO wanaendelea na biashara yao ya "ku-protect civilians"

 
Last edited by a moderator:
Mkuu kwani Chavez ni Mwafrika?

Mh, aisee huyu jamaa kwa ukigeugeu hana mfanowe. Au jamaa hamjui huyuuu, mi nna wasiwasi wazungu wamemlengesha wakampiga picha akiwa hajui aliyepiga naye
 
Wewe Gang Chomba ni mkorofi (yaani mtu anaependa shari) na nadhani hata bange unazichoma!

Hah hah haaah Askari Kanzu umenifurahisha sana.
Upinzani wangu mimi na wewe uko sehemu moja tu, mimi namsapoti Kiongozi wa Libya kanali Gadaffi, na wewe unawasapoti vibaraka wa wakoloni.
Nothing else
 
Hah hah haaah Askari Kanzu umenifurahisha sana.
Upinzani wangu mimi na wewe uko sehemu moja tu, mimi namsapoti Kiongozi wa Libya kanali Gadaffi, na wewe unawasapoti vibaraka wa wakoloni.
Nothing else
Hapo unakosea. Kutokumsapoti Gaddafi haina maana kwamba ninawasapoti vibaraka na wakoloni. Hebu nionyeshe ushahidi wa tuhuma zako!
 
Hapo unakosea. Kutokumsapoti Gaddafi haina maana kwamba ninawasapoti vibaraka na wakoloni. Hebu nionyeshe ushahidi wa tuhuma zako!

Kama husapoti wakoloni, ila unawaruhusu waivamie sovereign Country basi ni tatizo.
Askari kanzu ni kichwa ngumu. Nimekua nikiendeleakufatilia huu mjadala siku zote. Ila nakuona umekua kichwa ngumu sana.. Ila sio mbaya maana kila mtu na mtizamo wake, cha msingi nikuwa makini ili mtizamo usije ukakinzana na hali halisi yamambo.

Siku zote unapiga kelele bila kutoa sheria yoyote inayoruhusu UNSC kuivamia nchi nyingine kijeshi. Naomba utuonyeshe sheria inayoruhusu uvamizi kijeshi kwa member wa UN.

  • The UN Charter's prohibition of member states of the UN attacking other UN member states is central to the purpose for which the UN was founded in the wake of the destruction of World War II: to prevent war. This overriding concern is also reflected in the Nuremberg Trials' concept of a crime against peace"starting or waging a war against the territorial integrity, political independence or sovereignty of a state, or in violation of international treaties or agreements..." (crime against peace), which was held to be the crime that makes all war crimes possible.

UkiangaliaUN charter, chapter ya saba inasemahivi :
      • Article 41
    The Security Council may decide what measures not involving the use of armed force are to be employed to give effect to its decisions, and it may call upon the Members of the United Nations to apply such measures. These may include complete or partial interruption of economic relations and of rail, sea, air, postal, telegraphic, radio, and other means of communication, and the severance of diplomatic relations.
      • Article 51
    Nothing in the present Charter shall impair the inherent right of individual or collective self-defence if an armed attack occurs against a Member of the United Nations, until the Security Council has taken measures necessary to maintain international peace and security. Measures taken by Members in the exercise of this right of self-defence shall be immediately reported to the Security Council and shall not in any way affect the authority and responsibility of the Security Council under the present Charter to take at any time such action as it deems necessary in order to maintain or restore international peace and security


    Taarifa za mara ya kwanza zilitoka katika vyombo vya habari kwamba, Ghaddafi ameua thousands of Libyans. Hakukua na investigation yoyote ile ku-justify hilo.. Mie simuungi mkono Ghaddafi, lakini uvamizi wa NATO hauna sheria yoyote unaoiruhusu kufanyika.. Binafsi, ningepinga kwa nguvu zote, kama ushahidi ungekuwa wazi kuwa Ghaddafi kaua watu, badala yake tumekaa tukiamini BBC,CNN,FOX, ni Miungu-media ambayo sie kina kapuku tuamini chochote wanacho kisema.. Tuwe makini jamani. Sio kila ukionacho BBC ni dhahabu.

    Kwa mujibu wa UN charter chapter ya 7 article ya 41, inaonesha wazi kabisa UNSC haikutaka Ghaddafi aendelee kutawala, kwa sababu Ghaddafi alikua tayari watu watumwe kwenda kufanya Investigation ili ukweli ujulikane kama kweli aliua watu. Badala yake akatumiwa Rockets,CIA na M16 kwenda kuendeleza Conspiracy za uhakika ili kumwondoa.

    Hakukomea hapo, akasema kama wanataka a step down, it is fine , ila cha msingi wa-Libya waamue kwa kupiga kura, either abaki au aendelee.. Hakuna aliesikiliza. Do you think UNSC are there for peace?? If yes, Pima ubongo.


    Kwa upande mwingine swala la Libya linaturudisha kutafakari structure ya UNSC. Kwa sasa tunachekelea Ghaddafi kaangushwa na NATO, ila ipo siku tutajuta hao UNSC wakigeukia kwetu bila kuheshimu International laws. Western wanapenda serikali dhaifu zitakazowapigia magoti. Nashangaa miTanzania inayounga mkono westerns bila kuangalia between the lines ukweli wa mambo. Jiulize, kama UNSC ndo inaweza ika-determine future ya nchi flani, kwa nini isifanyiwe marekebisho ili i-reflect watu dunia nzima? Tafiti, jinsi UNSC inavyoundwa.
    Kama UNSC ni chombo kizito
 
Kabla sijamaliza kusoma mada yako (maana ni ndefu sana) wacha nikomenti hapo nilipoweka bold:
1)unaposema ninawaruhusu unamaana gani haswa?
2)kuhusu kukuonyesha sheria inayoruhusu uvamizi kijeshi ningeomba umuulize Mheshimiwa Ban Ki Moon maana yeye ndio Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (chombo kilichoidhinisha, kupitia UNSC) kutekeleza Resolution 1973. Mimi sipo hapo kabsaaa!
 
  1. Ni lugha ya picha imetumika, nikimaanisha dhamira yako inaona sawa uvamizi huo kufanyika..

  2. Sasa kama wewe haupo kabisa unachangia ili iweje? Onyesha sheria hapa! Tunaingia kwenye vifungu vya sheria sasa.. Tumeishachoka na BBC,CNN na Al Jazeera wako hapa.. Media zina fabricate vitu ku cover up maovu.. Kama Ghaddafi alikua anaua raia Benghazi? Na NATO ika protect civillians kwa Bombs, kwa nini NATO hai protect civilians Sirte, Sabha na Bani Walid ambao wameapa kuwa wao ni pro-Ghaddafi? Why NATO is not protecting civilians against Rebels in this area? Wao ni Mbwa mwitu?????? Au hapa Resolution 1973 inafunga macho? Kweli dunia ina mambo.. MSULUHISHAJI GANI ANAKUA ONE SIDED??
 
Rolando Segura

Kama lug(h)a ni tatizo, google translate.

[video]http://translate.google.com/translate?sl=es&tl=en&js=n&prev=_t&hl=en&ie=UTF-8&layout=2&eotf=1&u=http%3A%2F%2Frolandotelesur. bl ogspot.com%2F[/video]
 
Naamini kwa mambo kama haya Dunia haitakaa iwe salama kamwe manake chuki dhidi ya hawa wakoloni inazidi siku hata siku
 
  1. Ni lugha ya picha imetumika, nikimaanisha dhamira yako inaona sawa uvamizi huo kufanyika..
Hiyo dhamira uisemayo unao ushahidi? Eti "tunaingia kwenye vifungu vya sheria". Wewe usianze kunibabaisha aisee. Sheria sikuanza kuisikia leo. Sheria nimeisoma UDSM na kuhitimu mwaka 1983, na baadhi ya walimu wangu niwakumbukao walikuwa maProf. Issa Shivji, Mugongo Fimbo, Masumbuko Lamwai na Josaphat Kanywanyi. Je ulikuwa wapi miaka hio? Labda tukumbushane!

Wacha kujifanya unajua. Sote ni wajuaji.
Tumeishachoka na BBC,CNN na Al Jazeera wako hapa..
Sina tabia ya kuangalia tiivii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…