EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,325
Mkuu unategemea Chavez atabadilisha msimamo pia? Au nae amepotoka kwa kupinga uhalifu unaofaywa na US-NATO huko Libya na kwa Gaddafi? Ile ndoto ya African Monetory fund na benki za Afrika ndio inazimwa.....ukoloni unaendelea na sisi wenyewe ndio tunafurahia.. kazi kweli kweli.
Mkuu kwani Chavez ni Mwafrika?