The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Hii habari kama ni kweli,basi lazima kuna majadiliano as to whether to aanounce him captured either alive or dead.Kama ni kweli zile habari za wakati mgumu waliokuwa wakiupata hao rebels ni za kweli.Basi kumkamata Gaddafi hao itakuwa ni mwiba mbaya kwao.Bottoline nadhani uamuzi ni wa kina Sarkozy.This time mawasiliano wanafanya kwa kasi.

Naam Mkuu sasa hivi kutakuwa na majadiliano makali ambayo yanaongozwa na Taifa kubwa nini kitangazwe kwa dunia. Na si ajabu wanaweza kuiacha habari hi ikiwa na utata mwa muda kidogo ili kuhakikisha kuna ulinzi wa kutosha katika sehemu muhimu kule Libya kabla ya kutangazwa rasmi kwamba ameuawa kwa kuhofia vurumai toka kwa wale ambao bado walikuwa ni supporters wake.
 
information minister wao anadai wanataka Gaddafi ashitakiwe ndani ya Libya.Hii shughuli naona ndo kwanza inaanza.Lets wait and c what they gonna do with him,naamini bado ana karata zake valid in the game.
I think you must be dreaming tulikwambia rafiki yako atakuwa anapigapiga miguu kama kuku aliyekatwa kichwa hukuamini na bado hujaamini.
 


Continue reading the main story[h=2]Libya Crisis[/h]

Commanders for Libya's transitional authorities say they have captured ousted leader Col Muammar Gaddafi.
The reports came after transitional forces claimed control of Sirte, Col Gaddafi's birthplace, following weeks of fierce fighting.
Col Gaddafi is said to be wounded. There is no independent confirmation of the reports.
The colonel was toppled in August after 42 years in power. The International Criminal Court is seeking his arrest.
"He's captured. He's wounded in both legs," National Transitional Council (NTC) official Abdel Majid told Reuters news agency.
"He's been taken away by ambulance."
AFP news agency quoted another NTC official, Mohamed Leith, as saying that Col Gaddafi had been captured in Sirte and was "seriously wounded" but still breathing.
Continue reading the main story[h=2][/h]


A soldier who says he captured Muammar Gaddafi told the BBC the colonel had shouted: "Don't shoot!"
The BBC's Caroline Hawley in Tripoli says although the capture is unconfirmed, ships and cars have been sounding their horns in the capital and guns are being fired in celebration.
Earlier, NTC commanders in Sirte - about 360km (220 miles) east of Tripoli - said the city had been liberated.
"There are no Gaddafi forces any more," Col Yunus al-Abdali told Reuters. "We are now chasing his fighters who are trying to run away."
There was no confirmation from the NTC leadership.
But fighters in Sirte celebrated by firing in the air, and chanting "Allah akbar" ("God is great").
Interim government forces had been facing heavy resistance from snipers in the city, and used heavy artillery during its offensive. Thousands of civilians have fled.
The NTC has also suffered heavy casualties in the town of Bani Walid, south-east of Tripoli, in recent weeks.
On Monday the NTC said it had captured 90% of the town, including the centre.

Source BBC News
 
Mnakumbuka ilisemekana kuwa kulikuwa na duplicates (watu waliofanana na Gaddaffi) ambao mara nyingi walikuwa wanatumika kumreplace yeye katika baadhi ya matukio? Isijekuwa wamekamata au kuua one the the duplicates.
Let's wait kwani bado ni fununu tu hakuna picha yoyote.
 
Atakuwa amekufa kishujaa,shahidi na kama alivyoahidi kwa watu wake.Hakukimbia mapambano.
Na ikiwa wamemkamata basi watamnyonga siku ya idi inayofuata kama walivyofanya kwa Saddam.
Ghadafi hakuna alichopoteza kwa umri ule kifo kilikuwa karibu.Hawa rebels nao hakuna walichopata zaidi ya fedheha hapo mbeleni.
 
Kwa mujibu wa shirika la habari la BBC, hatimaye Gadafi amekamatwa na majeshi ya serikali ya mpito ya Libya na kujeruhiwa miguu yake yote katika juhudi za kuutoroka mji wa Sirte alikokuwa amejificha.
 
All in all sasa NATO waondoke.They should end their military mission in Libya!Only if kama wamemwua ama kumkamata kama inavyosemekana!

Inaelekea msisitizo ni kuwa keshakufa!Mods naona mnaunga unga tu!Mngeacha hadi itakapokuwa confirmed kuwa kweli kafa ama kajeruhiwa.

Wanadai alikuwa anajaribu kutoroka baada ya mapigano makali!

Wanadai ilibidi wa destroy the whole convoy ili kumfikia.

Yani jamaa inawezekana bado ana sapoti kubwa tu kama bado alikuwa anatemebea na convoy!Halafu ndo leo wamemkamata ama kumwua!
 
kwa taarifa toka aljazira..... ameuwawa ,,,,,,wakati akijaribu kukimbia toka sirte
 
Hizi habari inabidi kwanza tusubiri at least 12hrs ili kama wanazo picture zake watuonyeshe, maana wafuasi wake wamepinga kukamatwa kwake.
Kutokana na mazoea ya NTC kusema uongo aka propaganda inawezekana hii ni move ambayo inataka itoe ujumbe kwa wapiganaji wa Gaddfi huko Sirte na Bani Walid waache kupigana, wasalimu amri ili rebels wajitwalie hii miji kiulani ili watangaze kuwa Libya sasa imekombolewa yote.

Lakini pia inawezekana wanajaribu kunasa mawasiliano baina ya Gaddafi units ili wajue locations zao ili wapate kuwadondoshea mabomu. Kwa karibuni NATO na Rebels wanapata wakati mgumu kuwa-trace kwa sababu wamebadilisha mbinu za mawasiliano baina yao.
 
Jamaa kauawa akijaribu kutoroka! Madikteta wengine wa Afrika wakae chonjo!

Source: BBC
 
Aljazeera sources, du! MUammar Gaddafi ameripotiwa kuwa wamemuua katika mashambulizi makali huko Serti.
wazungu wameshinda, waafrika tutaendelea kuwa wa vibaraka kufuata mkumbo tu hatuna sauti na hatuna uamuzi.
 
Uthibitisho umetolewa kule Libya kwamba Gaddafi ameuwawa.
 
Aljazeera sources, du! MUammar Gaddafi ameripotiwa kuwa wamemuua katika mashambulizi makali huko Serti.
wazungu wameshinda, waafrika tutaendelea kuwa wa vibaraka kufuata mkumbo tu hatuna sauti na hatuna uamuzi.

ndo alichokua anakitaka, ameona sasa kazi ya rats?
 
Back
Top Bottom