Punguza mapovu ulitaka afe nani...saa hizi anaongea na kina Sadam na Osama rafiki zake, leo nimefurahi sana ngoja nikajipongeze.....waiter lete mbili za baridiiii!!!!!!!Acha ujinga na maudenda yako.Nenda kayafute kwanza ndo uongee.
Iko wapi?
Wahuni hawa wamemmalizia!Nadhani badala ya kumpa medical attention,wao walimgombania labda na kummalizia.Wanyama sana hawa!Mtu amelitoa taifa mbali sana lakini wapi!Huu sana sana ni uadui wa kikabila huu!Dah! halafu jamaa wakasema eti kajeruhiwa miguuni!!!!
True!Ukiona pentagon wanasita ku confirm,basi ni kweli tusubiri!I'm still kinda hesitant to just accept these pics knowing full well what people are capable of these days.
BAK,kuna picha wameitoa looks valid.Wameshatangaza rasmi.Wamemua.Wanaonekana wamemkamata kama wanachinja mbuzi kwenye hiyo picha,blood everywhere!This photo looks credible.
Aliwaita wenzake panya, sasa wamemng'ata.